rais samia suluhu

  1. Mshana Jr

    Wanawake wa JF mmeheshimishwa: Msimuangushe Rais Samia Suluhu, msijiangushe

    Kwa mara ya kwanza tangu kujulikana kwa Taifa la Tanganyika na baadae Tanzania. Hakujapata kutokea rais mwanamke Kama bahati ya mtende Mungu kawashushia mana. Nyota ya jaha imewawakia! Ni wakati wenyu sasa. Kuna wakati niliwahi kuandika hapa kwamba wanawake wa JF ndio wanawake bora zaidi...
  2. Greatest Of All Time

    Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

    Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli. Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na...
Back
Top Bottom