ramadhani

Ramadhani may refer to the following people

Given nameRamadhani Athumani Maneno, Tanzanian politicianSurnameJohn Ramadhani (born 1932), Tanzanian Anglican archbishop
Nabeel Siddiq al-Ramadhani (born 1954), British businessman
Nia Ramadhani (born 1990), Indonesian actress, singer, rapper, and dancer
Samson Ramadhani (born 1982), Tanzanian marathon runner
Sara Ramadhani (born 1987), Tanzanian long-distance runner
Waso Ramadhani (born 1984), Burundian football defender

View More On Wikipedia.org
  1. Replica

    Ramadhani Brothers kukutana na rungu kodi zaidi ya 180M kwenye 600M waliyoshinda

    Wale wana walioshinda kule Marekani TRA Tanzania inawasubiri kwa hamu, hela walizoshinda zitakatwa kodi ya 30%, yaani mtu ambae hajaruka sarakasi hata moja anakinga mkono apewe 30%. Akishaichukua wenyewe ndio wagawane 50% each kwenye kilichobaki. 600m-180m inabaki 420m, wakishapata hiyo...
  2. P

    Ramadhani Brothers waibuka washindi shindano la America's Got Talent Fantasy League, wanyakua Tsh milioni 637

    Ramadhani Brothers kutoka Tanxania wameibuka washindi kwenye shindano la America's Got Talent Fantansy League na kujinyakulia kitita cha dola 250,000. Kwa ushindi wao wanaweka historia ya kuwa Waafrika wa kwanza kutoka Afrika kuwahi kushinda shindano hilo. ==========For English Audience...
  3. Webabu

    Netanyahu apata kiwewe cha vita.Ataka vita vimalizike Rafah kabla mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Mashinikizo ya vita yameanza kumuelemea waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu na kuanza kuona dalili mbaya mbele yake. Marekani mbali na kutofautian naye katika sera za kivita vile vile imesimamisha misaada kifedha katika wakati ambapo uchumi wa Israel unadidimia kiasi kwamba bondi za miamala...
  4. bryan2

    Simba wanalia na refa Ramadhani Kayoko wajiulize ni lini mara ya mwisho wameifunga Azam.

    Shida Simba wakikosa matokeo wanayoyataka wao ni lazima watafute mtu wa kumfunga kengele, badala ya kula kile kichapo cha goli tano toka kwa Yanga mpaka leo naona bado dishi linasearch. Kile kipigo cha goli tano alifungwa kengele Tinyo boy mwisho wa siku wakaishia kumla kichwa hilo halitoshi...
  5. Justine Marack

    Refa Ramadhani Kayoko jiandae kwa Albabadili

    Tumeamua Sasa kukomesha tabia za kuhongwahomgwa. Tunatambua kuwa GSM walikulipia mahari na kukolea Mke. Kisha GSM waligharamia harusi yako. Mkataba wako na GSM ni kuhakikisha mechi zote za Simba utakazo Samamia basi Simba wasishinde. Sasa nakupa Taarifa kuwa tumeamua kumlilia Mungu. JIANDAE...
  6. Stephano Mgendanyi

    Waziri Bashungwa: Barabara ya Ramadhani - Iyayi KM 74 (Wanging'ombe) Kujengwa kwa Kiwango cha Lami

    WAZIRI BASHUNGWA: BARABARA YA RAMADHANI – IYAYI KM 74 (WANGING’OMBE) KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amesema kuwa Serikali inakwenda kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya Ramadhani – Iyayi yenye urefu wa kilometa 74 ambayo imekuwa ni kilio kikubwa cha...
  7. Mwl.RCT

    Golden Buzzer: Acrobatic Shock! Ramadhani Brothers Defy Gravity & Steal AGT Spotlight | AGT: Fantasy League 2024

    https://youtu.be/f4cibI2UnRk https://youtu.be/yAKF2bOrZ1A Pia soma: Australia's Got Talent 2022 The Amazing Ramadhani Brothers from Dar es salaam Tanzania Ramadhani Brothers waibuka washindi shindano la America's Got Talent Fantasy League, wanyakua dola 250,000
  8. Roving Journalist

    Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani SACP Ng'anzi asema "Toeni taarifa za Madereva wasiotii Sheria na Kanuni za Usalama"

    Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ramadhani Ng'anzi amewataka abiria wanaosafiri ndani na nje ya Mkoa Ruvuma kutoa taarifa za baadhi ya madereva wanaokiuka Sheria za Usalama Barabarani. Hayo amesema Desemba 23, 2023 alipotembelea...
  9. chiembe

    Humphrey Polepole: Jaji Ntemi alitufuata CCM akatuomba tumpelekee orodha ya Mawakili tunaotaka wafungiwe

    Mbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa? Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na...
  10. mdukuzi

    Ramadhani Lenny aliwezaje kucheza mpira ligi kuu akiwa na miaka 50 na yale matege?

    Huyu mchezaji alikuwa classmate wa mzee fulani mtaani,huyo mzee sasa ni mzee kweli hakosi miaka 70 shule ya msingi, Jamaa alikuwa na matege fulani hivi yanastaajabisha. Kama ungeambiwa ni namba sita bora kuwahi kutokea hapa nchini huwezi kuamini. Alimudu hiyo namba kwa kiwango cha juu sana...
  11. hamza mahundu

    Naomba kufahamishwa kuhusu mchongo wa viazi vitamu kuuza ramadhani

    Mfano; unalima VIAZI VITAMU sasa hivi target ni mauzo muda wa ramadhani na ndiyo mda wa kuvuna huo. Bei zinakuwaje? Gunia shiling ngapi? Nahitaji ya kulima yapoje?
  12. Nyanswe Nsame

    Katibu UVCCM azuia mkutano wa vijana uliokusudia kumpongeza Rais Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary Amez

    Katibu UVCCM azuia mkutano wa vijana uliokusudia kumpongeza Rais Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary amezuia mkutano wa chama hicho wenye lengo la kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongizwa na Mheshimiwa Rais Samua Suluhu...
  13. R

    The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5

    Maulid njema wapendwa ndg zangu Waislam. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkuu. Ila tunamchosha Kwa kutokuchungulia fursa alizotupatia. The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5. Ni shindano gumu lenye kuleta vipaji mbalimbali kwenye jukwaa moja duniani. Isijurudie tena 1. Wamesafiri Kwa...
  14. D

    Kumbe bondia wetu Nasibu Ramadhani kapigwa Norway na hatuambiwi

    Juni 09, Mwaka huu Bondia Nasibu Ramadhani alipanda ulingoni nchini Norway kupambana na Bondia Bernard Torres katika ukumbi wa Chateau Neuf ulioko mji wa Oslo. Katika pambano hilo Bondia wa Norway Bernard Torres mwenye rekodi ya kushida mapambano 18 na kupigwa moja, alimshinda Bondia wa...
  15. peno hasegawa

    Kipenzi cha wana Hai huko Kilimanjaro kinawakaribiisha kwenye kombe la Ramadhani cup

    Mtanzania Shaban Mwanga anawakaribisha wanahai wote kwenye finali ya Ramadhani Cup leo tarehe 15.4.2023. Jimbo la Hai, leo watapata furaha kubwa iwapo kuna kijana mmoja roho itamuuma sana ila ajiandae kwenda kuchunga mbuzi muda ukifikia.
  16. fundi radio

    Tuungane kwenye maombi ya amani wakati tukisherehekea Pasaka na Ramadhani - Guterres

    Tuungane kwenye maombi ya amani wakati tukisherehekea Pasaka na Ramadhani - Guterres Reem Abaza wa UN News akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kuhusu ziara zake za kila mwaka za mshikamano wa Ramadhan. 6 Aprili 2023Amani na Usalama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa...
  17. L

    Wachina waliopo nchi za nje wajumuika na waislamu duniani kutoa michango katika mwezi wa Ramadhani

    Katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani imekuwa ni ada na desturi kwa Waislamu na wasiokuwa Waislamu kuendeleza moyo wa kuchangia na kuwasaidia watu wa makundi mbalimbali. Na hii ni pamoja na kufutarisha mayatima, watu wenye maisha duni, waumini wa misikitini ama hata watu kawaida...
  18. ChatGPT

    Paka ahuzuria sala ya Ramadhani!!

    Paka: ni paka Kila mtu: OMG Wengi wetu hatukerwi na paka, hata Sheikh Walid Mehsas, akiongoza sala za usiku za Ramadhani nchini Algeria siku ya Jumatatu. Paka huyu mdadisi alionekana kufurahia maombi (huenda!, au labda alifikiri Sheikh alikuwa akificha kitu kizuri cha kula mahali fulani)...
  19. Mohamed Said

    Futari na Futuru na Balozi Ramadhani Dau na Wenzake wa Yanga Kids 1970s

    FUTARI NA FUTURU NA BALOZI DR. RAMADHANI DAU NA YANGA KIDS WATOTO WADOGO WALIONG’ARISHA SOKA LA TANZANIA MIAKA YA 1970 Kuna mshairi alikuwa anatunga shairi na mwanzo wa ubeti akajiuliza, ‘’Wapi ninaanza kueleza historia hii?’’ Akaendelea kuandika, ‘’Wapi ninaanza kueleza historia hii, historia...
  20. Binadamu Mtakatifu

    Miss u wana Mmu, ramadhani hii ukiwa na ugumu wewe sio binadamu

    😂😂😂 kwanza nafuraha sana baada ya kutoka jela segerea mitaaa ya ban thanks mod Nikitambo sana ila kikubwa ni hiki jamani mwezi huu mtukufu (mimi ni mkrito) ila nipo pamoja na nyie jua kali sana mpaka genye haziji kabisa Nashangaa kuna vijana bado wanamizika sijui wanaitoa wapi mimi tu...
Back
Top Bottom