real madrid

Real Madrid Club de Fútbol (Spanish pronunciation: [reˈal maˈðɾið ˈkluβ ðe ˈfuðβol] (listen), meaning Royal Madrid Football Club), commonly referred to as Real Madrid, is a Spanish professional football club based in Madrid.
Founded on 6 March 1902 as Madrid Football Club, the club has traditionally worn a white home kit since inception. The word real is Spanish for "royal" and was bestowed to the club by King Alfonso XIII in 1920 together with the royal crown in the emblem. The team has played its home matches in the 81,044-capacity Santiago Bernabéu Stadium in downtown Madrid since 1947. Unlike most European sporting entities, Real Madrid's members (socios) have owned and operated the club throughout its history.
The club was estimated to be worth €3.8 billion ($4.2 billion) in 2019, and it was the second highest-earning football club in the world, with an annual revenue of €757.3 million in 2019. The club is one of the most widely supported teams in the world. Real Madrid is one of three founding members of La Liga that have never been relegated from the top division since its inception in 1929, along with Athletic Bilbao and Barcelona. The club holds many long-standing rivalries, most notably El Clásico with Barcelona and El Derbi Madrileño with Atlético Madrid.
Real Madrid established itself as a major force in both Spanish and European football during the 1950s, winning five consecutive European Cups and reaching the final seven times. This success was replicated in the league, which the club won five times in the space of seven years. This team, which included Alfredo Di Stéfano, Ferenc Puskás, Francisco Gento, and Raymond Kopa, is considered by some in the sport to be the greatest team of all time.In domestic football, the club has won 66 trophies; a record 34 La Liga titles, 19 Copa del Rey, 11 Supercopa de España, a Copa Eva Duarte, and a Copa de la Liga. In European and worldwide competitions, Real Madrid have won a record 26 trophies; a record 13 European Cup/UEFA Champions League titles, two UEFA Cups and four UEFA Super Cups. In international football, they have achieved a record seven club world championships.Real Madrid was recognised as the FIFA Club of the 20th Century on 11 December 2000 with 42.35% of the vote, and received the FIFA Centennial Order of Merit on 20 May 2004. The club was also awarded Best European Club of the 20th Century by the IFFHS on 11 May 2010. In June 2017, the team succeeded in becoming the first club to win consecutive Champions League titles, then made it three in a row and four in five seasons in May 2018, extending their lead atop the UEFA club rankings. As of 2020, Real Madrid are ranked third behind Bayern Munich and Barcelona.

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    Baada ya Liverpool kutolewa jana, leo ni zamu ya Real Madrid kuaga mashindano

    Jana kulikuwa na mechi nzuri sana kati ya Liverpool dhidi ya PSG katika usiku wa Ulaya. Mechi ikaisha kwa PSG kushinda kwa matuta huku wakiubonda sana mpira mwingi. Ikawashtua mashabiki wengi wa soka ambao hawakutarajia kama Liverpool ingeondolewa hasa katika uwanja wake wa nyumbani. Leo ni...
  2. Camilo Cienfuegos

    Full Time: Real Madrid 3 - 1 Man City | UCL | Knock out stage | Estadio Santiago Bernabeu | 19.02.2025

    Leo kuna mchezo wa marudiano baina ya Real Madrid vs Man City. Ni mchezo wa aina yake mara baada ya mechi ya kwanza ambapo Real Madrid aliibuka na ushindi wa 3-2. Je Man City wafanyeje ili waweze kufuzu? Mechi ni saa 5:00 usiku
  3. T

    Makocha wa vilabu vikubwa (Barcelona, Real Madrid) huwa wanawafundisha nini wachezaji wao? Mbona kama wote wanajua?

    Luis Figo, Zinedine Zidane, Rolando De Lima, Raul Gonzalez, Gonzalo Higuain, Ronaldinho Gaucho, Steve MacManaman, Michael Owen, Patrick Cluvert, Rivaldo, Ricardo Kaka na wengineo wengi, watu kama hawa huwa makocha wanawafundisha nini?? Kocha kama wa Ihefu au Ken Gold at least utasema kocha ana...
  4. Damaso

    El Clásico: The Ultimate Derby in the World of Football

    Katika dunia ya soka, hakuna mechi inayosikika sana, kuvutia mashabiki wengi, na kuwa na mvuto mkubwa kama El Clásico, mechi kati ya FC Barcelona na Real Madrid. El Clásico ni moja ya michezo inayohusisha siyo tu timu mbili kubwa za Hispania, bali pia ni tukio la kihistoria, lenye mvuto mkubwa...
  5. JanguKamaJangu

    Real Madrid yakata tamaa kumsajili Trent Alexander-Arnold katika dirisha la Januari

    Imeelezwa kuwa Klabu ya Real Madrid imekata tamaa zoezi la kumsajili beki wa pembeni Trent Alexander-Arnold kutoka Liverpool katika Dirisha Dogo la Usajili wa Januari, hiyo ni baada ya ofa yao ya Pauni Milioni 20 kudaiwa kukataliwa. Trent (26) anaelekea mwishoni mwa mkataba wake na kama...
  6. Acehood

    Chaneli gani inaonyeshwa fainali ya supercup Barcelona vs real Madrid

    Chaneli gani inaonyeshwa fainali ya supercup Barcelona vs real Madrid
  7. M

    SI KWELI Roberto Carlos anatumia eneo la mazoezi ya klabu ya Real Madrid kama makazi baada ya kutaka kutalikiana na mkewe

    Nyota wa zamani wa Real Madrid, Roberto Carlos anadaiwa kuingia kwenye mgogoro na mkewe hali iliyopelea atumia majengo ya uwanja wa mazoezi wa Real Madrid kama makazi wakati akishughulikia suala lake la talaka na mkewe waliodumu kwa miaka 15 Wenzi hao, waliofunga ndoa mwaka 2009, sasa...
  8. Shooter Again

    Hivi Kuna klabu kubwa na Bora duniani zaidi ya real Madrid

    Naomba kujibiwa hili swali wakuu hivi Kuna klabu kubwa na Bora duniani zaidi ya hii timu ya real Madrid hapa tunaongea ki mpira na si kishabiki
  9. Shooter Again

    Rasmi nimeongeza timu ya kushangilia ambayo ni Real Madrid ili nifurahie makombe

    Siku ya Leo kwa akili zangu timamu rasmi NIMEONGEZA TIMU ya kushangilia ambayo ni real Madrid sitaki ushauri wowote sababu arsenal siioni ikichukua kombe la UEFA hivyo nimeona Madrid ni timu sahihi kwangu kunipa furaha sababu ni wababe wa dunia kwenye suala la soka na niseme ukweli tu nilikua...
  10. Minjingu Jingu

    Hii Yanga ya sasa ikikutana na Real Madrid, Barcelona, Liverpool isipozifunga hizo team nipigwe ban milele

    Hii Yanga unaifungaje? Dube gari limewaka moto. Majini yote yametoka baada ya kuombewa na wachezaji wengine wamemwelewa kocha. Aziz Ki mnamwona? Hatari sana Chama je? Ikitokea Yanga hii inacheza na Real Madrid au Liverpool au Barca. Isiposhinda Yanga nipigwe ban. Sifai kabisa kuwemo humu. Hizo...
  11. Damaso

    Kylian Mbappé na Mgogoro Wake katika Real Madrid

    Kylian Mbappé, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa soka duniani, amekuwa katika hali ngumu tangu kujiunga na Real Madrid akitokea PSG. Licha ya uzoefu wake mkubwa na uwezo wake wa kuamua mechi, amekuwa akipitia kipindi kigumu cha kutengeneza matokeo katika timu yake mpya. Kuhama kutoka klabu kubwa...
  12. Waufukweni

    Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu

    Mchezaji nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr, hatasafiri kwenda Paris kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo ya Ballon d’Or baada ya kujua hatashinda tuzo hiyo mwaka huu. Uongozi wa klabu hiyo umeamua kwamba hakuna mwakilishi yeyote wa Real Madrid atakayehudhuria hafla hiyo ya kifahari. Soma Pia...
  13. Waufukweni

    Vipigo vikubwa alivyowahi pokea Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye El Clasico

    Baada ya jana kuchapika bao 4-0 pale pale Bernabeu. Hivi hapa ndio vipigo vikubwa alivyowahi pokea Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye El Clasico
  14. Teko Modise

    Full Time El clasico: Real Madrid 0-4 Barcelona | La Liga | Santiago Bernabeu | 26.10.2024

    Saa 4:00 usiku wa leo, kunapigwa mchezo mkubwa wa el clasico. Real Madrid dhidi ya Barcelona kule Santiago Bernabeu, Barcelona wako form huku Madrid wakiwa wa moto. Ni El clasico nzuri baada ya miaka mingi sana kuwa mechi ya kawaida. Nini kitatokea? Nani atafungwa? Huku kuna Mbappe, Vini Jr...
  15. mdukuzi

    Kwa sasa hakuna mchezaji bora zaidi ya Vinicius Junior(vini jr)

    Mpappe,Messi,Robaldo,taja mwingine,ukuwajumlisha kwa pamoja kwa sasa ndio unampata Vini Jr
  16. JanguKamaJangu

    Deschamps ashangaa Mbappe kuipotezea Ufaransa upande wa pili akubali kuichezea Real Madrid

    Kocha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps amesema ameshangazwa na uamuzi wa Kylian Mbappe kuomba kupumzishwa katika Timu ya Taifa ili awe fiti baada ya kupona majeraha lakini mchezaji huyo ameonekana akicheza klabu yake ya Real Madrid. Mbappe (25) alipata majeraha ya thigh injury...
  17. oko majimaji

    Thibaut Courtois alitupiwa mfuko wenye Kinyesi

    Jana tarehe 29 Septemba kwenye Madrid derby golikipa wa Real Madrid, Thibaut Courtois alitupiwa kifuko cha Kinyesi a.k.a Nnyaa na mashabiki wa Atletico Madrid.
  18. Chachu Ombara

    Raphael Varane atangaza kustaafu mpira wa miguu wa Kulipwa Akiwa na Miaka 31

    Raphael Varane, beki wa Ufaransa, ametangaza rasmi kustaafu kutoka mpira wa miguu wa kulipwa akiwa na umri wa miaka 31. Varane soka lenye mafanikio makubwa, akishinda mataji mengi, ikiwa ni pamoja na mataji manne ya UEFA Champions League na mataji matatu ya La Liga wakati akiwa Real Madrid. Pia...
  19. SAYVILLE

    Real Madrid ilipomaliza mechi bila kuwa na shot on target hata moja

    Kuna wakati unasikiliza baadhi ya watu huku mitandaoni unabaki kujiuliza hawa watu wanaujua kweli mpira au naongea na bots (kwa wasiojua bots ni mifumo ya kicomputer inayoact kama binadamu mitandaoni ikiwemo kupost comments). Mambo mengi ambayo tunashadadia ni ya kawaida sana kwenye ulimwengu...
  20. Eli Cohen

    Aisee Barcelona msimi huu hawataki mchezo azidi kutembeza vipigo

    Kama mshabiki wa R Madrid roho yangu ipo juu juu
Back
Top Bottom