real madrid

Real Madrid Club de Fútbol (Spanish pronunciation: [reˈal maˈðɾið ˈkluβ ðe ˈfuðβol] (listen), meaning Royal Madrid Football Club), commonly referred to as Real Madrid, is a Spanish professional football club based in Madrid.
Founded on 6 March 1902 as Madrid Football Club, the club has traditionally worn a white home kit since inception. The word real is Spanish for "royal" and was bestowed to the club by King Alfonso XIII in 1920 together with the royal crown in the emblem. The team has played its home matches in the 81,044-capacity Santiago Bernabéu Stadium in downtown Madrid since 1947. Unlike most European sporting entities, Real Madrid's members (socios) have owned and operated the club throughout its history.
The club was estimated to be worth €3.8 billion ($4.2 billion) in 2019, and it was the second highest-earning football club in the world, with an annual revenue of €757.3 million in 2019. The club is one of the most widely supported teams in the world. Real Madrid is one of three founding members of La Liga that have never been relegated from the top division since its inception in 1929, along with Athletic Bilbao and Barcelona. The club holds many long-standing rivalries, most notably El Clásico with Barcelona and El Derbi Madrileño with Atlético Madrid.
Real Madrid established itself as a major force in both Spanish and European football during the 1950s, winning five consecutive European Cups and reaching the final seven times. This success was replicated in the league, which the club won five times in the space of seven years. This team, which included Alfredo Di Stéfano, Ferenc Puskás, Francisco Gento, and Raymond Kopa, is considered by some in the sport to be the greatest team of all time.In domestic football, the club has won 66 trophies; a record 34 La Liga titles, 19 Copa del Rey, 11 Supercopa de España, a Copa Eva Duarte, and a Copa de la Liga. In European and worldwide competitions, Real Madrid have won a record 26 trophies; a record 13 European Cup/UEFA Champions League titles, two UEFA Cups and four UEFA Super Cups. In international football, they have achieved a record seven club world championships.Real Madrid was recognised as the FIFA Club of the 20th Century on 11 December 2000 with 42.35% of the vote, and received the FIFA Centennial Order of Merit on 20 May 2004. The club was also awarded Best European Club of the 20th Century by the IFFHS on 11 May 2010. In June 2017, the team succeeded in becoming the first club to win consecutive Champions League titles, then made it three in a row and four in five seasons in May 2018, extending their lead atop the UEFA club rankings. As of 2020, Real Madrid are ranked third behind Bayern Munich and Barcelona.

View More On Wikipedia.org
  1. Sultan MackJoe Khalifa

    Leo ni Real Madrid Vs Man City wanafamilia wa soka mpo?

    wapenzi wa soka leo ni Madrid Vs Man City wanaanza rasmi safari ya kumaliza ubishi ipi timu bora kwenye michuano ya champions league msimu huu 2023/2024. kuna wanaosema bingwa wa champions msimu huu atatoka kwenye moja ya hizi timu za awa majini! haya sasa washkadau tupieni hints chache kulekea...
  2. JanguKamaJangu

    Tetesi: Cristiano Ronaldo ajipeleka Real Madrid, aomba mkataba wa miezi 6

    Inadaiwa kuwa Cristiano Ronaldo amewaambia Real Madrid kuwa yupo tayari kujiunga na klabu hiyo kwa muda wa miezi sita. Ronaldo (37) ambaye yupo mbioni kuachana na Manchester United anataka kwenda kuziba nafasi ya Karim Benzema ambaye ni majeruhi. Man United inaendelea kujipanga kisheria ili...
  3. T

    Oppah Clement angekuwa anatokea Africa ya Magharibi sasa hivi angekuwa anachezea Real Madrid W/Barcelona W au Bayern Munich W, Mawakala mbona mmelala?

    Igweeee igweeee!! Nimekaa nikitafakari jinsi gani tunakosa mawakala wa kuwavusha wachezaji wetu kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya na Marekani. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mchezaji mahiri sana katika soka la wanawake naye si mwingine bali ni muwindaji wa magoli, Oppah Clement. Huyu...
  4. JanguKamaJangu

    Kiungo wa Real Madrid, Casemiro akubali kwenda Man United kwa Paundi Milioni 60

    Manchester United imekubali kutoa Paundi Milioni 60 (Tsh. Bilioni 167) kwa ajili ya kumsajili kiungo mkabaji wa Real Madrid, Casemiro baada ya klabu hizo kufanya mazungumzo kwa siku kadhaa. Inaelezwa kuwa Mbrazili huyo anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wikiendi hii na kila kitu kikienda...
  5. Mwamuzi wa Tanzania

    TFF na CAF waipe adhabu Yanga kwa kumchezesha Mayele ambaye kiwango chake ni cha kuchezea timu kama PSG, Barcelona, Real Madrid, Manchester

    Huu mpira anaoupiga Mayele sio wa Afrika hii. Kuna namna Yanga wamefanya. Haiwezekani mchezaji hatari kama Mayele achezee timu hizi za Kitanzania. CAF na TFF waimulike Yanga na ikiwezekana waiadhibu . Mayele analeta imbalance uwanjani.
  6. M

    SI KWELI Eduardo Camavinga alipata mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 11

    Kulikuwa na uvumi kuwa kiungo wa Real Madrid, Eduardo Bamavinga ana umri wa miaka 19 na mwanaye ana miaka 8. Hali inayooonesha kuwa alimpata mtoto huyo akiwa na miaka 11. Picha1: Camavinga akiwa na mtoto aliyehisiwa ni mwanaye Picha2: Camavinga akiwa na wazazi wake na ndugu zake
  7. L

    Mchezaji wa Real Madrid ana umri wa miaka 19 na mwanae wa miaka 8

    Ina maana mchezaji huyu alipata mtoto akiwa na miaka 11
  8. Greatest Of All Time

    FT: 2022 Uefa Champions League Final | Liverpool 0-1 Real Madrid | Paris, France

    Habari zenu mabibi na mabwana! Leo ni sikukuu kubwa barani Ulaya na Duniani kwa ujumla. Ni mchezo wa Fainali ya Uefa Champions League kati ya Liverpool Vs Real Madrid. Awali fainali hii ilipangwa ifanyike jijini Saint Petersburg, nchini Urusi. Ila kutokana na Urusi kuivamia Ukraine Uefa...
  9. Poker

    Yanayojiri kuelekea Fainali ya UEFA Champions League | Real Madrid vs Liverpool

    usiku wa ulaya huko Paris #liverpool #realmadrid
  10. Poker

    Real Madrid vs Liverpool

    Nani kuibuka kidedea hio kesho saa 4 usiku! Huku benzema kule salah.
  11. N

    Sasa rasmi: Ni Yanga SC vs Liverpool au Real Madrid

    Afrika nzima tayari inafahamu bado dunia tu kujua, team yenye mafanikio kuliko zote afrika mashariki na kati na inayoongoza kwa ubora katika ukanda huo huku ikiwa team inayoogopwa zaidi kutoka Tanzania yaani yanga sc ina jambo lake msimu huu. Mabingwa wa kihistoria kama ilivyotangaza rasmi...
  12. JanguKamaJangu

    UEFA CHAMPIONS LEAGUE: Real Madrid yaingia fainali Uefa, Man City yapigika 3-1

    Real Madrid imefanya maajabu, ni baada ya kupindua matokeo dakika za mwisho na kufanikiwa kuingia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuiondoa Manchester City kwa jumla ya mabao 6-5. Hadi dakika ya 90 Madrid ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 katika nusu fainali ya pili, dakika ya 90 na 91 ilipata...
  13. Y

    Kwa mara nyingine Dimba la Santiago Bernabeu leo moto utawaka REAL MADRID vs MANCHESTER CITY nani kucheza fainali?

    Hakika wiki iliyopita tulishuhudia mechi nzuri na yenye mvuto miamba hiyo na mechi iliisha 4:3 sasa leo kwa mara nyingine ni marudiano huko dimba la santiago bernabeu , huenda mechi itakuwa ya kasi na ushindani ila atakayecheza kimbinu zaidi ndie atakaeshinda...
  14. Y

    MECHI ya kufa mtu MANCHESTER CITY vs REAL MADRID nani anaenda fainali

    Ligi ya mabingwa ulaya inaendelea usiku hatimaye imefikia hatua nusu fainali , usiku huu kuna mtanange wa kufa mtu ukikutanisha miamba kati ya real manchester city vs real madrid ni mechi kali yenye mvuto wa kipekee itakuwa mechi ya kimbinu zaidi . Mtazamo wangu...
  15. JanguKamaJangu

    UEFA: Real Madrid, Villarreal zaingia nusu fainali, Chelsea, Bayern hoi

    Timu za Real Madrid na Villarreal zimefanikiwa kufuzu Hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuziondosha mashindanoni Chelsea na Bayern Munich katika mechi za kuamkia leo Aprili 13, 2022 Chelsea ambayo ilifungwa mabao 3-1 katika mchezo wa kwanza, ilipambana na kufikisha mabao...
  16. John Haramba

    PSG yaifunga Real Madrid 1-0, Uefa Champions League, Messi akikosa penati

    Matokeo ya mechi za kwanza hatua ya mtoano, PSG ikianza vizuri nyumbani kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Real Madrid. Unadhani PSG wana nafasi ya kutoboa katika mchezo wa marudio na vipi kiwango cha Meddi ni kweli kinazidi kushuka au hajakaa sawa?
  17. GENTAMYCINE

    Nabi wa Afrika ni bora na mahiri 'Kiufundi' kuliko Pablo wa Ulaya na Real Madrid ya Manzese

    Nisiwe Mnafiki namkubali zaidi Kocha wa Yanga SC Nabi kuliko Kocha wangu wa Simba SC Pablo. Tuvumiliane tu kwa huu Ukweli wangu.
  18. Suley2019

    Kimeumana! Mbappe hataki kusaini mkataba mpya PSG, Real Madrid wadaiwa kumshawishi

    Hakuna maelewano mazuri kati ya Viongozi wa Real Madrid na PSG mpaka sasa, PSG wakiwashutumu Madrid kumlaghai kijana na ndio sababu amegoma kusaini mpaka sasa. Taarifa za leo asubuhi ni kuwa, msimamo wa Mbappe upo palepale licha ya Messi kusainiwa ila yeye anahitaji kuondoka kujiunga na Real...
  19. Suley2019

    Utata wagubika soka ya Hispania. Real Madrid na Barcelona watishia kugoma mechi zao kuoneshwa

    Soka la Hispania lipo chini ya Shirikisho lao la soka RFEF, ambao wao wana LA LIGA kama chombo huru kinachosimamia Ligi kuu na Daraja la kwanza Sasa kutokana na uhuru huo LA LIGA chini ya Javier Tebas wana mambo mengi wanafanya kinyume na mitazamo ya wengi, huku wakisema ni kibiashara zaidi...
  20. C

    Ronaldo and Messi is it coincidence?

    ▪️Cristiano Ronaldo is 869 days older than Lionel Messi ▪️ Cristiano Ronaldo Jr is 869 days older than Thiago Messi ▪️Cristiano Ronaldo’ second son is named Mateo ▪️Lionel Messi’s second son is named Mateo ▪️Cristiano Ronaldo won his first international trophy on July 10 ▪️Lionel Messi won his...
Back
Top Bottom