Kuna rekodi hazivunjiki kama vile;
Young Africans ndiyo Klabu ya kwanza Tanzania kuingia robo fainali klabu bingwa 1969
Simba ndiyo klabu ya kwanza kuingia nusu fainali klabu bingwa 1974
Kuna rekodi zinavunjika kama;
Yanga kuwa klabu pekee ya Tanzania kuingia ROBO FAINALI klabu bingwa kwa...
Jameni tuanze kuachia achia, ila hamna mwendo huo huo mbele kwa mbele.
Kenya's Angela Tanui celebrates her victory at Xiamen Marathon on April 11, 2021
Kenya's Angela Tanui has broken the course record to win the Amsterdam Marathon, Netherlands.
She clocked in at 2 hours 17 minutes 57...
Msanii Wizkidayo Ameweka Rekodi Ya Kuwa Msanii Muafrika Wa Kwanza Kufikisha Zaidi Ya Streams Milioni 300 Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Audiomack, Audiomack Wameshare Taarifa Hiyo Katika Ukurasa Wao Wa Instagram Huku Wakimpongeza Msanii Huyo Kuweka Rekodi Hiyo.
Saa moja Baada Ya Wizkid...
Heshima mbele wadau
Najua hapa kuna manguli wa kutosha na wazee wa kusuka private cars pale wanapofanya safari.
Kuna wazee wa Druti za Dar - Arusha, DOM-DAR, DOM -MBEYA, DAR MWANZA. Wakati tukielekea msimu wa likizo mwezi Disemba.
Share uzoefu wako, ni safari gari umewahi kwenda kwa muda...
MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWEKA REKODI MAKUSANYO YA KODI 1.9 TRILIONI MWEZI SEPTEMBER
Na, Mwandishi wetu,
Dar es salaam
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa Rais wa kwanza Tanzania kuweka rekodi ya makusanyo ya Tshs. 1.9 trilioni kwa Mwezi September pekee. Taarifa hii ipo kwa usahihi...
Siku chache tu baada ya kutambulishwa... msanii mwenye talent ya kushangaza aitwae Mac Voice kutoka kampuni ya muziki ya Nextlevel, ameanza kuandika rekodi nzuri kwenye mauzo.
EP yake ya my voice imeshapiga streams laki 5 ndani ya muda mfupi sana.
Hapa Rayvanny alilamba dume.
Earnings from horticulture recorded the biggest growth among Kenya’s main agricultural exports in the eight months to August, fresh data shows, cancelling out poor performance by tea.
An update by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that horticulture earnings jumped by a quarter to Sh87.8...
Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine...
Yaani hadi raha....hii nchi tunapaa
The share of new vehicles assembled locally rose to a record 70.9 percent in the eight months ended August, signalling increased demand for models put together at plants such as Isuzu East Africa and Kenya Vehicle Manufacturers (KVM).
Data from the Kenya...
Goalkeeper Bora wa mwaka wa Uefa wa msimu uliopita anayechezea timu ya Chelsea Edouard Mendy na raia wa Senegal ameweka record hii tangu ajiunge na Mabingwa hao wa Ulaya
61 Mechi alizocheza
37 clean sheets alizopata (kwenye hizo mechi alizocheza)
34 magoal aliyoruhusu (kwenye hizo mechi...
💰 £187m in shirt sales
👕 Fastest selling shirt in Premier League history
🙌 Almost twice as many ‘Ronaldo 7’ shirts bought than ‘Messi 30’ shirts
🤑 Man Utd recouped entire transfer fee before Ronaldo's kicked a ball
Nobody sells shirts quite like Cristiano Ronaldo
Naona Haji Manara ngozi anasifiwa leo eti kawapa jina simba wanaitwa makorokoro fc, hivi huo ndio ubunifu aliowahiidi? kabla hata hajaja huko si mlishajaribu majina kama mikia, simbilisi, utelembwe??
Mnajua ni kwa nini jina la utopolo lilibamba? Mlijipa wenyeweeeeeeee yaaani wenyeweeeee sisi...
Habari za hivi punde ni kwamba jezi mpya zaidi ya Milioni 1 za klabu ya Yanga zimenunuliwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuzinduliwa kwake.
Eng. Hersi amethibitisha rekodi hii iliyowekwa na timu ya wananchi na kushangazwa na mapokeo makubwa ya jezi hizo mpya.
Jezi hizo zinauzwa Tshs. 28,000/= kwa...
Kwanza nawaambieni ndugu zangu, dunia ya sasa usikiamini tena kiumbe kinachopumua.
Level ambayo mwanadamu amefikia inafaa kumwamini tu siku ukiona anaingia kaburini kufukiwa.
1. Mwaka 2015 tunakumbuka wanasiasa mahiri na mawaziri wastaaf, Edward Ngoyai Lowassa na Frederick Sumaye. walienda...
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana,
hebu tufuatilie kidogo hizi clips fupi fupi sana
hapa askofu alizungumza wazi wazi mbele ya waumini wake na kutuhumu dini za watu lakini...
Yaani huyu jamaa kachukua salama, akaweka nzi wale wakubwa watatu na kisha akajivisha kwenye mahala pake (akaivaa ..ndom na nzi wakiwemo ndani ya sox kwa mbele.
Sasa...... Wale nzi walipo anza kurukaruka ndani ya ile nailoni na wakiwa wanamuuma na kumkanyaga mwamba kwenye kichwa kidogo, kumbe...
Wakati hali ya joto ambayo imetajwa kuvunja rekodi ikiendelea Nchini Canada, Polisi huko British Columbia imepokea ripoti za takriban vifo 70 vilivyotokea ghafla tangu Jumatatu.
Imeelezwa, wengi kati ya waliofariki dunia ni Wazee na joto lililopo katika eneo hilo limetajwa kuchangia kwenye vifo...
Nasema irudiwe na irudiwe tena na tena.
Huyu mtalaam lazima atakuwa mwanaCCM kindakindaki maana haya ndo mawazo chanya ya wana CCM.
Twende pamoja.
CCM CCM CCM nimewaita mara tatu. Mpeni usajili huyu mwamba tena jezi namba 9 striker kabisa tumalize mechi zetu mapemaaaaa.
=========
USAFI...
MESSISTATS ALL TIME INTERNATIONALS ALL TIME
73GOALS
43ASSISTS
146APPS
165 mins per goal
104 mins per goal contribution
RONALDOSTATS ALL TIME INTERNATIONALS ALL TIME
106GOALS
30ASSISTS
176APPS
132 mins per goal
103 mins per goal contribution
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.