richmond

Richmond is a town in south-west London, 8.2 miles (13.2 km) west-southwest of Charing Cross. It stands on a meander of the River Thames, and features many parks and open spaces, including Richmond Park, and many protected conservation areas, which include much of Richmond Hill. A specific Act of Parliament protects the scenic view of the River Thames from Richmond.Richmond was founded following King Henry VII's building in the 16th century of Richmond Palace (so-named in 1501), from which the town derives its name. (The palace itself commemorates King Henry's earldom of Richmond, North Yorkshire, the original Richmond.) The town and palace became particularly associated with Queen Elizabeth I (r.โ€‰1558โ€“1603), who spent her last days there. During the 18th century, Richmond Bridge connected the two banks of the Thames, and many Georgian terraces were built, particularly around Richmond Green and on Richmond Hill. Those that have survived remain well-preserved and many have been designated listed buildings on account of their architectural or historic significance. The opening of Richmond railway station in 1846 was a significant event in the absorption of the town into a rapidly expanding London.
In 1890 the town of Richmond, formerly part of the ancient parish of Kingston upon Thames in the county of Surrey, became a municipal borough, which later extended to include Kew, Ham, Petersham and part of Mortlake (North Sheen). The municipal borough was abolished in 1965, when local-government reorganisation transferred Richmond from Surrey to Greater London.Since 1965 Richmond has formed part of the London Borough of Richmond upon Thames. As of 2011 it had a population of 21,469 (in the North Richmond and South Richmond wards). It has a significant commercial and retail centre with a developed day and evening economy. The name "Richmond upon Thames" often refers, incorrectly, to the town of Richmond: in fact (unlike the case of nearby Kingston upon Thames), the suffixed form should properly apply only to the London Borough.

View More On Wikipedia.org
  1. Godbless Lema na wenzake anacheza michezo ya siasa za enzi za Lowassa wa Richmond?

    Anachokifanya Lema na wenzake sasa kwa hivi kwa Mbowe ni sawa na kile walichokifanya CHADEMA enzi za Lowassa kumgeuza kuwa mbuzi wa kafara na kumuhusisha na kila ufisadi mkubwa nchini? Soma Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha...
  2. S

    Nasubiri kwa hamu hotuba ya Harrison Mwakyembe aliyetumika kumchafua Lowassa kwenye sakata la Richmond

    Wanyakyusa wamefanya mengi ya kishujaa nchi hii yanayokumbukwa. Lakini Dr. Harrison Mwakyembe alifanya jambo ambalo mpk kesho linashikilia rekodi ya ushubwada. Alikubali kutumika na maadui/wasaliti wa Lowasa kufanya kazi haramu ya kumuangushia zigo la ufisadi kisha kumchafua. Na mhe. Rafael...
  3. Mwakyembe alitumika kumuumiza Lowassa kwenye kashfa ya Richmond

    Wakati wa mjadala mkali wa kashfa ya Richmond bungeni, huku tume iliyochunguza kashfa hiyo ikibanwa kuwa haikutoa nafasi kwa watuhumiwa hasa Lowassa kujitetea, aliibuka mwenyekiti wa tume ile Mwakyembe na kusema kuwa kama watu hawaridhiki waombe kanuni zitenguliwe ili aweze kuwasilisha upya...
  4. Edward Lowassa umeondoka bila kufumbua fumbo la Richmond

    Edward Lowassa kiongozi aliyekuwa katikati ya kisa cha Richmond, kampuni tata ya kufua umeme iliyosemekana kuwa feki na ya kwenye briefcase tu na iliyohusishwa na ufisadi mkubwa amehitimisha safari yake ya dunia bila kufumbua fumbo hilo mbele ya umma. Kwa nini Lowassa hakuwahi kufikishwa...
  5. Mzee Lowassa hawezi kusahau kipindi hiki cha Richmond

    Naamini mzee wetu Lowasa hatokaa asahau mzimu wa Richmond. Kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwa waziri mkuu mstaafu. Alikutana na bunge lenye meno chini ya wabunge wa upinzani ambao bado walikuwa hawajabinafsishwa na ccm. Mzee wetu aliongea sana hadi akafikia kutoa machozi kwa uchungu wa...
  6. Ilala Dar: Watoto watembea kilomita 15 kufuata elimu

    Watoto wadogo wa shule za msingi Msongola, Yangeyange na Msongola Mpya kata ya Msongola wilaya ya Ilala waishio Chakenge Richmond, na Yangeyange wamekuwa wakipata adha kubwa ya kutafuta elimu kwa kutembea kwa zaidi ya Km 15 kwenda katika shule za Msongola, Yangeyange na Msongola Mpya ambapo...
  7. C

    EPA, ESCROW na RICHMOND nazo zilitetewa kama inavyotetewa DP World

    Wakuu, Kwenye hizo kashfa za epa, escrow, richmond, kagoda, meremeta, na kashfa kibao nazo zilipata waliozitetea kwa nguvu kubwa sana. Na baadhi ya vyombo vya habari vilijitoa kutetea na baadhi ya waandishi waliandika kutetea sana hizo kashfa lakini mwisho waliishia kuaibika tu. Hivo...
  8. Kama bunge liliwahi kumwajibisha Waziri Mkuu kwa ufisadi wa Richmond kwanini lishindwe hawa waliotajwa na report ya CAG?

    Wadau naamini Bado mnakumbuka SAKATA la RICHMOND lilivyomwondoa MADARAKANI aliyekuwa WAZIRI MKUU Mh.EDWARD LOWASSA kutokana na Tuhuma za Ufisadi wa Kampuni ya RICHMOND. Juzi CAG Wakati anakabidhi Report yake kwa Mh.RAIS ametaja Madudu mengi yakionyesha UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA za UMMA...
  9. Hukumu ya Assad, ili RichMond Mpya iingize mtambo Kimyakimya!

    Huku tunapumbazwa na hukumu ya Assad isiyo na Tija na iliyopitwa na wakati. Kumbe yoote ni ili kuingiza mitambo ya "Richmond" mpya kinyerezi/Tanesco.! Hii ilipitishwa na kikao gani cha bunge? Je, hii itakuwa suluhisho la kudumu la kukatika Umeme nchini? Tuliambiwa Tatizo ni service ya...
  10. Baada ya Richmond je, bandari ya Dar es Salaam itafuata?

    Nazir Karamagi na Yogesh Manek watafanikiwa kuendelea kuinyonya Tanzania kupitia bandari ya DSM? Na Juma Kambi, Kuli Bandarini DSM Wawili hawa ni wamiliki wa kampuni ya kusimamia makontena katika bandari ya Dar (TICTS).Kwa miaka mingi wamekuwa wakipokea mabilioni ya fedha huku utendaji wa...
  11. Mwaka 2008,Katibu Mkuu akiwa Daktari Wilbroad Slaa,Chadema ilifufuka baada ya kutokea kashfa ya "Richmond" na kuendesha "Operation Sangara"

    NIWAKUMBUSHE KUFUFUKA KWA CHADEMA MWAKA 2008. Leo 11:02am 19/03/2022 Mwaka 2008,Katibu Mkuu akiwa Daktari Wilbroad Slaa,Chadema ilifufuka baada ya kutokea kashfa ya "Richmond" na kuendesha "Operation Sangara" nchi nzima, mikutano yao ilivutia watu wengi kwa hoja zao motomoto za kashfa ya...
  12. Hayati John Pombe Magufuli alitutoa kwenye giza totoro lililoleta kashfa kubwa ya Ufisadi wa Richmond na Escrow

    KAMA JPM ALIKULA MKOPO NA KUWAFUMBUA MACHO WATANZANIA,BASI TUWAACHE WATANZANIA WAAMUE. Fuatana nami๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ Rais John Pombe Magufuli alitutoa kwenye giza totoro lililoleta kashfa kubwa ya Ufisadi wa Richmond na Escrow na kutupeleka kwenye nuru na mwanga kwa kutujengea Bwawa kubwa la Umeme la Rufiji...
  13. Tusifurahie uwekezaji wa Rostam Azizi tukasahau tulivyopigwa kupiti Kagoda, Epa na Richmond

    Naona sasa viongozi wa chama dume CCM mmesahau kilichotokea mwaka 2011 ambapo CCM ilijinasibu kujivua gamba. Ccm ilijinasibu kujivua gamba kwa kuwa ilikuwa imechafuka kwa ufisadi na mafisadi wengi waliokuwa wanaliibia taifa letu walikuwa ni viongozi wa Ccm. Mmoja wa watu waliosadikiwa kuwa...
  14. Richmond case study: Je, Waziri Mkuu Majaliwa atavuka kikwazo cha Lowassa kwa ma-V 8 haya?

    Balozi wa USA Mark Green kipindi cha Richmond aimbia dunia kuwa kilichomponza Lowassa ni kuonekana ni tishio kwa wanaotazamiwa kumrithi Kikwete (alipaniwa). Hapa kuna mtu anayeonekana kuwa frontline kumrithi Magufuli kwa uwezo, utendaji, dini, ukanda na umri, Kassim Majaliwa anazunguka zongo...
  15. Naomba kuuliza; hii symbion power ndo ile Dowans/Richmond ya Lowassa?

    Wasalam, nakumbuka miaka ile 2005 iliibuka kambuni ya kufua umeme ya Richmond. Kambuni hii baadae ilikujagundulika kuwa ni kampuni hewa kitu kilichopelekea aliekua waziri mkuu wakati ule ndugu lowassa kujiuzuru uwaziri mkuu. Baadae serikali hii ya ccm ilibadili jina la Richmond kuwa symbion...
  16. Huyu kweli ndio Mwakyembe wa Richmond? Huyu ndio aliomba aombewe apone na leo anakataza asiulizwe Azory Gwanda?

    YUKO WAPI MWAKYEMBE YULE WA RICHMOND? Madaraka yana tabia moja mbaya sana hususani kwa Waafrika. Tabia hii mbaya ya madaraka ni kulevya. Madaraka ni kama Pombe tu, wengi wanashindwa kuyanywa kwa ustaarabu, wanajikuta wanakuwa ni walevi wa kupindukia wa madaraka. Viongozi wengi wanasumbuliwa na...
  17. Richmond ya Korosho ishapigwa, gazeti la East Africa ladai kampuni ilinunua Korosho ni hewa, Bei kushuka Kuna wakubwa wanawala wakulima

    Hapa nazikumbuka bil 967 zilizohamia vote 20 isiyo hojiwa Soma Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond Miaka 10 ya Kashfa ya Richmond bila ya Lowassa kufikishwa mahakamani!
  18. Miaka 10 ya Kashfa ya Richmond bila ya Lowassa kufikishwa mahakamani!

    Siku tano zilizopita yaani tarehe 7/2/2018 ilitimia miaka kumi kamili tangu Edward Lowassa ajiuzulu uwaziri Mkuu tarehe 7/2/2008 kutokana na kuhusishwa na Kashfa ya utoaji Tenda kwa kampuni ya kufua umeme ya richmond. Lakini mpaka leo mbali ya kutuhumiwa tu na mahasimu wake wa kisiasa Lowassa...
  19. TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada.

    Msemaji wa TAKUKURU, Mussa Misalaba amesema, kwa sasa taasisi yake iko kwenye uchunguzi wa kina kuhusu kashfa za RICHMOND, EPA na Rada na pindi itakapokamisha uchunguzi wake watalitaarifu taifa. Misalaba alienda mbali zaidi na kusema, kesi za kijinai hazina muda maalum katika mashitaka na kwa...
  20. S

    Tumeamua kufukuza watumishi zaidi ya 9000;vipi kuhusu mafisadi wa KAGODA, EPA, RICHMOND, DEEPGREEN, n.k?

    Jinai na jinai tu bila kujali imefanywa na nani maana hakuna alie juu ya sheria. Kwa msingi huo,kama tumeamua kuadhibu watumishi hawa zaidi ya 9000 kwa kosa la kutumia vyeti feki,ni kwanini mafisadi wa EPA, RICHMOND ,KAGODA,MEREMETA,KIVUKO KIBOVU,n.k nao wasiwajibishwe japo kwa kutakiwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ