richmond

Richmond is a town in south-west London, 8.2 miles (13.2 km) west-southwest of Charing Cross. It stands on a meander of the River Thames, and features many parks and open spaces, including Richmond Park, and many protected conservation areas, which include much of Richmond Hill. A specific Act of Parliament protects the scenic view of the River Thames from Richmond.Richmond was founded following King Henry VII's building in the 16th century of Richmond Palace (so-named in 1501), from which the town derives its name. (The palace itself commemorates King Henry's earldom of Richmond, North Yorkshire, the original Richmond.) The town and palace became particularly associated with Queen Elizabeth I (r. 1558–1603), who spent her last days there. During the 18th century, Richmond Bridge connected the two banks of the Thames, and many Georgian terraces were built, particularly around Richmond Green and on Richmond Hill. Those that have survived remain well-preserved and many have been designated listed buildings on account of their architectural or historic significance. The opening of Richmond railway station in 1846 was a significant event in the absorption of the town into a rapidly expanding London.
In 1890 the town of Richmond, formerly part of the ancient parish of Kingston upon Thames in the county of Surrey, became a municipal borough, which later extended to include Kew, Ham, Petersham and part of Mortlake (North Sheen). The municipal borough was abolished in 1965, when local-government reorganisation transferred Richmond from Surrey to Greater London.Since 1965 Richmond has formed part of the London Borough of Richmond upon Thames. As of 2011 it had a population of 21,469 (in the North Richmond and South Richmond wards). It has a significant commercial and retail centre with a developed day and evening economy. The name "Richmond upon Thames" often refers, incorrectly, to the town of Richmond: in fact (unlike the case of nearby Kingston upon Thames), the suffixed form should properly apply only to the London Borough.

View More On Wikipedia.org
  1. TataMadiba

    Said Kubenea: Mkataba Wa Richmond Ulisainiwa Na Lowassa Kikwete Akiwa Nje Ya Nchi

    Aidha Mkataba huo haukujadiliwa na Kikao cha Makatibu Wakuu ambacho kinaongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi wala kikao cha Baraza la Mawaziri ambacho mwenyekiti wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa Makala ya Saidi Kubenea kupitia gazeti lake la Mwanahalisi, alisema Waziri...
  2. TataMadiba

    KUBENEA Tuambie LOWASSA Alishajibu Hii Makala Yako Kuhusu RICHMOND?

    MJADALA juu ya Edward Lowassa, mbunge wa Monduli, kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), unaendelea kushika kasi. Anaandika Saed Kubenea … (endelea). Hili limetokea muda mfupi baada ya vyama vinavyounda Muungano wa Kutetea Katiba ya...
  3. Return Of Undertaker

    Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

    Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu. Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe. Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana...
  4. Return Of Undertaker

    Kigogo Richmond aibwaga serikali kortini, ndo naelewa kwanini Mwakyembe/CCM hawaendi mahakamani

    Na KULWA MZEE, DAR ES SALAAM MAHAKAMA imemuachia huru mfanyabiashara Naeem Adam Gire, aliyekuwa akikabiliwa na makosa mawili, likiwamo la kughushi hati ya uwakilishi wa Kampuni ya Richmond LLC ya Texas, Marekani, hapa nchini. Uamuzi huo, uliotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya...
  5. Return Of Undertaker

    Swali kwa Mwakyembe: Ina maana alilidanganya Taifa juu ya Richmond? Ukweli upi atauleta ulio kweli?

    HOJAJI 1. Kwamba amekiri kuwa ALILIDANGANYA Bunge Je, Ambacho HAKIKUWA cha kweli katika taarifa ile ya kamati ni kipi? Je, alidanganya kwa faida ya nani? Kama hakuona haja ya kumhoji mtuhumiwa kwa kuwa ushahidi ulikuwa wazi, Je ni ushaidi upi ambao ulikuwa wazi? Je nao ni miongoni mwa UONGO? 2...
  6. Crimea

    Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

    Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni. Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona! Dk Mwakyembe, Nassari wapimana Waziri wa Habari...
  7. Mchumi90

    Kwa mwenendo wa Mwakyembe, Richmond tuna mashaka nayo

    Wakuu, Naomba nikiri kati ya mawaziri niliowaamini kwenye awamu hii ya tano ni huyu Mwakyembe. Kinachotokea sasa nabaki mdomo wazi, yeye ni mtu wa kuwaza tumbo lake tu (anauwezo wa kukataa hata jina lake huko tunakoenda). Kwenye bunge la katiba alianza kuonesha haya mambo ya ajabu, alikuwa...
  8. figganigga

    Hukumu kesi ya wakala Richmond Aprili 21, 2017, hii ni hukumu ya pili kwa kesi moja

    Heshima kwenu wakuu, Hii kesi ya Richmond siielewi, yaani sijui Sheria inafanyaje kazi kwenye hii kesi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Aprili 21, 2017 itatoa hukumu katika kesi ya Richmond inayomkabili mshtakiwa Naeem Gire, hukumu itakayotelewa na Hakimu Mkazi Mkuu Mfawidhi, Cyprian Mkeha...
  9. Pascal Mayalla

    Kama Kashfa Escrow ni "Richmond", Then, Lowassa Alionewa?, Kama Ni "EPA!" Then, Wahusika Wasionewe!

    Wanabodi, Azimio la Bunge kuhusu Escrow, limetolewa leo, na mjadala wa Escrow, umefungwa rasmi, wakati mjadala huu unaanza, nilisema humu, Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia Hakuna Atakayewajibika!. Jee leo baada ya mjadala kumalizika, vipi kuna yeyote...
  10. lee Vladimir cleef

    Kasoro zilizomo ktk kamati za uchungzi za Richmond, ESCROW .n.k

    Kwa miaka miaka mingi hapa Tanzania unapotokea ubadhirifu na ufisadi mkubwa ambao unapowahusisha vigogo wa nchi hii huundwa kamati au tume kuchunguza. Kinachotokea tume au kamati hizo zikigundua kua wahusika wakubwa wa ufisadi huo huwa ni vigogo wakubwa kabisa wa nchi hii.Hufanya kosa la...
  11. Companero

    Kabla ya IPTL na RICHMOND pale TANESCO kulikuwa na...

    "Prior to the completion of the Kidatu project the maintenance problems of TANESCO were exacerbated by the need to run all generating systems at near maximum capacity, in order to meet the demands for electrical power. In fact, that was not entirely successful because TANESCO was forced to make...
  12. Kaka Mtenga

    Nani anatakiwa kutuambia ukweli kuhusu Richmond kati ya Lowassa na Dr. Mwakyembe?

    Wanajamvi, Ni ukweli usiopingika kuwa Watz tumeumia sana na bado tunaendelea kuumia kutokana na lile JANGA LA RICHMOND ambalo liliisababishia serikali hasara kubwa sana ya kulipa Tsh.152ml. kila siku miaka miwili mfululizo bila kupata hata MW 1 ya umeme Dr.H.Mwakyembe akiwa m/kiti wa tume...
  13. willy ze great

    "Zimwi" la Richmond bado linamtesa Edward Lowassa na mbio za urais

    VIONGOZI waliokuwa serikalini wakati wa mkataba wa kuzalisha umeme wa dharula wa Richmond bado wanaendelea kung'ang'aniwa kwenye kashifa ya kushiriki kwenye ufisadi wa mkataba huo. Wanaotajwa kushiriki kikamilifu, ni Edward Lowassa aliyekuwa waziri mkuu. Wengine waliokuwa mawaziri kwa nyakati...
  14. mgt software

    Lowassa aliyekataliwa akimnadi Sioi atakubalika na Mzimu wake wa Richmond kwenye Urais?

    Ni wiki mbili sasa tangu Mbunge wa Monduli atawanye ubwabwa na Nyama lundo kwa wale anaowasema kuwa ni Rafiki wake, au Mashabiki wake, wakiwemo wenye viti wa mikoa na wilaya, hata baadhi ya mawaziri, na akaamua kutoa yaliyo moyoni, kwa kujinadi kuwa ni Rais au Mngombea Urais mtarajiwa, bila...
  15. Mwamba Usemao Kweli

    Lowassa ana dhambi nyingine dhidi ya Richmond?

    Lowassa ana dhambi nyingine zaidi ya Richmond? Huyo mtu hakuanza kuhusishwa na kashfa za ufisadi leo wala jana,... wewe kama unapenda sura yake nenda kanywe nae chai. (By J.K.Nyerere). ANA LAANA YA MWALIMU NYERERE, NO WONDER HIZI RECENT CAMPAIGNS ZA KUMDISCREDIT MWALIMU ZINA LENGO MAHSUSI LA...
  16. kbm

    Kesi ya Richmond kufufuliwa

    Dar es Salaam. Wakati kesi ya Richmond ikiwa imepangiwa tareheya kuanza kusikilizwa tena Juni 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mshtakiwa katika kesi hiyo, Naeem Gire, ameanza mchakato wa kwenda Mahakama ya Rufani. Gire ambaye alikuwa wakala wa kampuni inayodaiwa kuwa ni kampuni hewa...
  17. Meitinyiku L. Robinson

    Edward Lowassa Richmond kuibuliwa 2008 kama si mapenzi ya Mungu Israel na aseme

    Binafsi niungane na wale wasemao kila jambo linapotokea kuna sababu. Zaidi ya hili kuna wasemao apangalo Mungu mwanadamu hawezi kulipangua. Nasema haya kwa moyo wa dhati kabisa baada ya kukaa na kufikiri dhoruba aliyoipata Mhe. Edward Lowassa mwaka 2008 jambo ambalo wahuni wachache waliamua...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Richmond mpya wizara ya nishati

    KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi anakabiliwa na lundo la tuhuma ikiwa ni pamoja na kilichoitwa kujipa mamlaka ya kuendesha Shirika la Umeme la Taifa (Tanesco), imefahamika.Aidha, Maswi anatuhumiwa kushinikiza kusimamishwa kazi Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo...
  19. P

    Mzimu wa Richmond warejea bungeni leo katika mjadala wa gesi asilia

    Mzimu wa Richmond leo umejitokeza kwenye mjadala bungeni kuhusu utekelezaji wa maazimio 26 ya Bunge juu ya gesi asilia. Aliyerejesha kwa kishindo mzimu huo ni mbunge wa Ubungo John Mnyika ambaye alidai kuwa maazimio ya bunge kuhusu gesi asilia hayana tofauti na yale yaliyopitishwa mwaka 2008...
  20. Ngongo

    Richmond kutikisa Bunge

    NI HOJA BINAFSI ILIYOWASILISHWA NA JOHN MNYIKA WA UBUNGO Imeandikwa na Shakila Nyerere SAKATA la Richmond linatarajiwa kurudi upya bungeni baada ya Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika kuwasilisha hoja binafsi kuhusu utekelezaji wa Maazimio 13 yaliyobaki ya Bunge, juu ya mkataba baina ya...
Back
Top Bottom