richmond

Richmond is a town in south-west London, 8.2 miles (13.2 km) west-southwest of Charing Cross. It stands on a meander of the River Thames, and features many parks and open spaces, including Richmond Park, and many protected conservation areas, which include much of Richmond Hill. A specific Act of Parliament protects the scenic view of the River Thames from Richmond.Richmond was founded following King Henry VII's building in the 16th century of Richmond Palace (so-named in 1501), from which the town derives its name. (The palace itself commemorates King Henry's earldom of Richmond, North Yorkshire, the original Richmond.) The town and palace became particularly associated with Queen Elizabeth I (r. 1558–1603), who spent her last days there. During the 18th century, Richmond Bridge connected the two banks of the Thames, and many Georgian terraces were built, particularly around Richmond Green and on Richmond Hill. Those that have survived remain well-preserved and many have been designated listed buildings on account of their architectural or historic significance. The opening of Richmond railway station in 1846 was a significant event in the absorption of the town into a rapidly expanding London.
In 1890 the town of Richmond, formerly part of the ancient parish of Kingston upon Thames in the county of Surrey, became a municipal borough, which later extended to include Kew, Ham, Petersham and part of Mortlake (North Sheen). The municipal borough was abolished in 1965, when local-government reorganisation transferred Richmond from Surrey to Greater London.Since 1965 Richmond has formed part of the London Borough of Richmond upon Thames. As of 2011 it had a population of 21,469 (in the North Richmond and South Richmond wards). It has a significant commercial and retail centre with a developed day and evening economy. The name "Richmond upon Thames" often refers, incorrectly, to the town of Richmond: in fact (unlike the case of nearby Kingston upon Thames), the suffixed form should properly apply only to the London Borough.

View More On Wikipedia.org
  1. Uhusika wa Rais Kikwete katika utapeli wa Richmond...kwa mujibu wa Lowassa ?

    HATIMAYE Edward Lowassa ametoka hadharani na kuonyesha kuwa anataka kupimana ubavu na Rais Jakaya Kikwete. Ameeleza hadharani kuwa Rais Kikwete anahusika kwenye mkataba tata wa Richmond/Dowans; lakini pia, kuwa hafuati taratibu katika kuongoza chama chake. Lowassa ambaye alikuwa nguzo muhimu...
  2. N

    Kesi ya Richmond: JK, Mwakyembe, Lowasa............who is a winner?

    Wana Jamvi, Kuna kila dalilil CCM kupasuliwa na mjadala wa Richmond. JK ametuhumiwa, na akanyamaza. Bila shaka atakuja na suluhisho zimamoto kama kawaida, ama la kumfukuza kinyemela Lowasa kwa kutumia kamati ya maadili, au kumtia hatiani kwa kumfungulia kesi. Vyovyote vile, njia hii...
  3. Malenga wetu na sakata la Richmond

    Nova Kambota Kalamu yangu nashika, shairi nakutungia Kamanda umeongea, kiwingu umeondoa Hukutaka kusinzia,makosa kuyarudia Jibu umetupatia, viva kamanda Lowassa Mwananchi nimesoma, la jana nilinunua Machoya yakatuama, dukuduku umetoa Uliyosema Dodoma, Kwakweli yanavutia Jibu...
  4. K

    Kikwete tambua kuwa Watanzania hatuwezi kufunga jalada la Richmond Kirahisi hivi!

    Na Nova Kambota Mwanaharakati, Nianze makala yangu kwa kutamka wazi kuwa sikubaliani na kauli mbiu ya miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania bara ''tumeweza, tumethubutu, tunasonga mbele'' sikubaliani na dhana hii na kamwe sitakubaliana nayo kwasababu kila Mtanzania anayejua ukweli tena ni...
  5. Malipo ya downs/richmond, kati ya JK na Lowasa nani anatudai?

    Kwa kuwa Lowasa amekana mbele ya JK kuhusika kwake na Richmond/Downs, na huku akidai kuwa alitaka kuvunja mkataba huo lakini JK akamkatalia, na kwa kuwa JK mwenyewe ameshindwa kukanusha madai hayo ndani ya NEC. Kwa kuwa JK alidai kuwa hajui Richmond/Downs, na Kwa kuwa mtoa taarifa za ukweli Dr...
  6. Kama JK ni Rafiki Mkubwa wa Lowassa ni Nani anaweza kuwatenganisha sakata la Richmond????

    Lowassa alipata kusema yeye Mwenyewe kuwa Kikwete ni Rafiki yake Mkubwa na hawakukutana Barabarani sasa sisi tunajua kabla ya Lowassa kusema kuwa Suala la Richmondi Walikuwa pamoja!! Nani asiyehua kwamba Kikwete ndiye aliyekuwa anampa maelekezo Lowassa ?? Hapa wote Hao Marafiki hawana...
  7. Dr. Mwakyembe na Powerpool: Kuna mgongano wa maslahi na Dowans/Richmond?

    Dr. Mwakyembe na Powerpool: Kuna mgongano wa maslahi na Dowans/Richmond? Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Toleo No. 4689 la tarehe 15 Machi 2009 chini ya kichwa cha habari "Dk. Mwakyembe Aumbuliwa" imeripotiwa kuwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mmoja wa wamiliki wa kampuni ya kufua umeme na ndio...
  8. Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    Lowassa amekana rasmi kuwa yeye hahusiki na mkataba wa Richmond! Nanukuu: Mwisho wa kunukuu Hii leo si sahihi hata yeye (Lowassa) kuhukumiwa kwa kuzingatia kile kinachodaiwa kuwa ni mtizamo wa umma dhidi yake unaompa sura ya ufisadi, jambo ambalo amedai kwamba siyo la kweli. Chanzo...
  9. M

    Richmond mpya nayo tunasubiri kamati teule

    Wadau tunauliza, yawezekana siku hizi bila kamati teule hata kama kitu kinasemwa kibaya kwa taifa serikali inakaa kimya mpaka ibanwe bungeni ndo inaunda kamati teule. Tunasema kuna richmond inapikwa singida.na tunasema kuwa tangu tarehe 25 august 2008 kituo cha taifa cha uwekezaji (tic) ilitoa...
  10. Lowassa: Wakining'oa NEC nitaeleza ukweli kuhusu Richmond

    Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond. Chanzo: Tanzania...
  11. Zimwi la Richmond bado lamuandama Lowassa

    Zimwi la Richmond bado lamuandama Lowassa Na Jacob Daffi - Imechapwa 02 November 2011 VIONGOZI waliokuwa serikalini wakati wa mkataba wa kuzalisha umeme wa dharula wa Richmond bado wanaendelea kunganganiwa kwenye kashifa ya kushiriki kwenye ufisadi wa mkataba huo, MwanaHALISI limeelezwa...
  12. Ufisadi wa mabilioni kama Richmond - Umeme wa dharura - Mipango ya utapeli yakwama Marekani

    Umeme wa dharura Waandishi Wetu Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja Mipango ya utapeli yakwama Marekani Ngeleja mikononi mwa Bunge UTAPELI mithili ya ule wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond,ambao nusura uchote Sh bilioni 85 kupitia mpango wa Serikali wa umeme wa dharura...
  13. Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

    Wakuu, Muda si mrefu tutaweza kwenda Live kutokea Monduli ambapo Mhe. Lowassa (Waziri Mkuu aliyejiuzulu) atakapoongea na vyombo vya habari. Tumefanikiwa kupenyeza mtu hivyo tutaweza kuwaletea alichoongea. Nita-update 1st post kulingana na atakavyokuwa anaongea. Shukrani * Soma updates hizi...
  14. N

    Tuzo ya DOWANS kwa TANESCO ni utapeli kama Richmond ilivyokuwa; Hakukuwa na hukumu ICC!

    Imenibidi nilete changamoto hii kwa jukwaa la jamii forum ili ifanyiwe kazi haraka iwezekanavyo maana sisi kama watanzania tunaweza tukawa tumeingizwa mkenge uleule kama yalivyotokea mambo ya Richmund kwamba kampuni iligundulika feki kwa kujifanya mambo yao yamefanyika USA na kwingineko ulaya...
  15. Sitta: DOWANS iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria; Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa!

    *Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa Dowans *Asema iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria *Wanaharakati watangaza siku 10 za maandamano *Yaelezwa TANESCO kukata rufaa changa la macho Na Waandishi Wetu SIKU chache baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya sh. bilioni 94...
  16. B

    Elections 2010 Chimbuko la Dowans/Richmond na uchaguzi wa Igunga

    Hukumu ya Dowans imetoka wakati Muafaka ambao kampeni za mwisho zinafanyika igunga, Wapiga kura wa igunga tambueni kuwa ubovu na ufisadi wa CCM na Rostam Azizi ndio uliopelekea taifa hili lilazimike kulipa mabilioni haya, Tarehe 2 October iwe siku ya kuwapa Chadema ushindi ili kuowaongezea nguvu...
  17. M

    Kwanini middleman wa Richmond, Dowans na Symbion hakamatwi?

    Ndugu zangu, miezi michache iliyopita, ndugu yangu ambaye ni mbunge alinipa taarifa kuwa kuna baadhi ya wabunge waliokuwa wameongwa pesa nyingi kuitetea Dowans na kusaidia kufanikisha uuzwaji wake. mmoja wapo ya wamiliki alikuwa akisafiri kwenda Dodoma na sanduku lililojaa pesa na kuwagawia...
  18. Mbunge Mnyaa aishangaa serikali kuhusu maagizo ya Richmond

    Mbunge Mnyaa aishangaa serikali kuhusu maagizo ya Richmond Na Kizitto Noya, Bukoba MJUMBE wa Kamati ya Bunge iliyochunguza zabuni ya kufua umeme wa dharura iliyoipa ushindi Kampuni ya Richmond, Habib Mnyaa, amesema haridhiki na kasi ya serikali katika kutekeleza mapendekezo ya Bunge kuhusu...
  19. Mrithi wa Richmond auza mitambo

    Kampuni ya Dowans Tanzania Ltd imetangaza rasmi zabuni ya kuuza mitambo yake ya kuzalisha umeme ikiwa ni miezi mitatu baada ya serikali kusitisha mkataba wake na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Dowans Tanzania Limited ilirithi mkataba wa kuiuzia umeme wa megawati 120 Tanesco kutoka kwa...
  20. Richmond Tanzania kufutwa rasmi leo

    Richmond Tanzania kufutwa rasmi leo *Siku 30 zimekwisha, notisi kutolewa leo Na Ramadhan Semtawa KAMPUNI ya Richmond Tanzania Limited inatarajiwa kufutwa rasmi katika orodha ya makampuni iliyo katika Ofisi ya Wakala wa Usajili wa Makampuni na Majina ya Biashara (Brela), kutokana na kushindwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…