richmond

Richmond is a town in south-west London, 8.2 miles (13.2 km) west-southwest of Charing Cross. It stands on a meander of the River Thames, and features many parks and open spaces, including Richmond Park, and many protected conservation areas, which include much of Richmond Hill. A specific Act of Parliament protects the scenic view of the River Thames from Richmond.Richmond was founded following King Henry VII's building in the 16th century of Richmond Palace (so-named in 1501), from which the town derives its name. (The palace itself commemorates King Henry's earldom of Richmond, North Yorkshire, the original Richmond.) The town and palace became particularly associated with Queen Elizabeth I (r. 1558–1603), who spent her last days there. During the 18th century, Richmond Bridge connected the two banks of the Thames, and many Georgian terraces were built, particularly around Richmond Green and on Richmond Hill. Those that have survived remain well-preserved and many have been designated listed buildings on account of their architectural or historic significance. The opening of Richmond railway station in 1846 was a significant event in the absorption of the town into a rapidly expanding London.
In 1890 the town of Richmond, formerly part of the ancient parish of Kingston upon Thames in the county of Surrey, became a municipal borough, which later extended to include Kew, Ham, Petersham and part of Mortlake (North Sheen). The municipal borough was abolished in 1965, when local-government reorganisation transferred Richmond from Surrey to Greater London.Since 1965 Richmond has formed part of the London Borough of Richmond upon Thames. As of 2011 it had a population of 21,469 (in the North Richmond and South Richmond wards). It has a significant commercial and retail centre with a developed day and evening economy. The name "Richmond upon Thames" often refers, incorrectly, to the town of Richmond: in fact (unlike the case of nearby Kingston upon Thames), the suffixed form should properly apply only to the London Borough.

View More On Wikipedia.org
  1. Kikwete umeshindwa EPA, tunakusubiri Richmond

    Date::8/30/2008 Kikwete umeshindwa EPA, tunakusubiri Richmond Na Joyce Mmasi Mwananchi HATIMAYE ile taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu zabuni ya umeme wa dharura iliyotolewa kwa kampuni tata ya Richmond Development Limited imetolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Kila mtu...
  2. CUF waisakama serikali kuhusu Richmond, EPA, rada, ufisadi

    Date::8/28/2008 CUF waisakama serikali kuhusu Richmond, EPA, rada, ufisadi ..... Kizitto Noya na Saa Mohamed Mwananchi MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekosa maadili ya uongozi kutokana na kutowachukulia hatua za...
  3. Mizengo Pinda: Serikali ilivyotekeleza Maazimio ya Bunge Richmond

    Kwa mujibu wa tangazo la spika wa Bunge alilolitoa muda mchache uliopita ni kuwa Waziri mkuu atawasilisha taarifa yake siku ya alhamisi kuhusiana na utekelezaji wa maazimio 21 ya Bunge kuhusiana na Richmond. Hivyo basi siku hiyo itakuwa ni siku ya kusikia hatua gani zimechukuliwa na nini...
  4. Rostam, Msabaha, Kikwete and Richmond - Yes I said it again!

    Hicho ndicho nilichosema nimenotice katika maelezo ya Rostam. Siyo kwamba hakuhusika, na hajawahi kukanusha hicho. Yeye anasema walichunguza na hawakuona jina lake. Vitu hivi ni viwili tofauti. Rostam hajawahi kukana kuhusika na Richmond na Dowans. Sikiliza tena majibu yake alipoulizwa hata...
  5. M

    Mama Mongela: Mitambo ya Richmond/Dowans itaifishwe

    mama mongela anaongea sasa bungeni, na amependekeza ile mitambo ya richmond/dowans itaifishwe ili itusaidie wakati wa dharura. mimi namuunga mkono, kuwa wasiruhusiwe kuichuka hiyo mitambo, ikae hapo kama guarantee wakati tunawadai mapesa waliotuchukulia kwa mkataba feki Soma Uzi maalum wenye...
  6. Ex-Richmond power deal may be extended to 2012

    Ex-Richmond power deal may be extended to 2012 By Tom Mosoba THE CITIZEN The Dowans emergency power supply contract could be extended for another three years despite stiff opposition to the project, The Citizen can report. While the Government is under pressure from MPs and the general...
  7. K

    Tunajadili Bajeti,Tunaizika EPA,Richmond: Lakini Je,Tunayajua haya?

    Tunajadili Bajeti: Lakini wanasiasa wanayajua haya? Na Charles Kayoka Mwananchi WAKATI huu tunapoijadili bajeti sijui kama wanasiasa na watunga sera wetu wanalijua hili ninaloandika hii leo. Nilikuwa ziarani mkoani Rukwa hivi karibuni kwa ajili ya kujadiliana na waaandishi wa habari wenzangu...
  8. Bunge uchwara lataka EPA na Richmond ziwekwe kando

    Posted Date::6/16/2008 NEC yazika mzimu wa Richmond *Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi *Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando * Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi *Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mwananchi KUNDI la wabunge na...
  9. NEC yazika mzimu wa Richmond

    NEC yazika mzimu wa Richmond *Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi *Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando * Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi *Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mwananchgi KUNDI la wabunge na wajumbe wa Halmashauri...
  10. Sakata za Richmond, EPA sasa kuhamia katika vikao vya CCM

    Suala la kashfa ya Richmond na mabilioni yaliyochotwa katika Akaunti Maalum ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BOT), linatarajiwa kutawala mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM) na waliotuhumiwa kwa kashfa hizo kujieleza mbele ya wajumbe wenzao na wabunge...
  11. Kumekucha: Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker

    Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker 2008-06-01 10:45:11 By Staff Reporter The Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, said yesterday the coming budget session of the Union Parliament will discuss the External Arrears Payment Account and the Richmond power contract scandals...
  12. M

    Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji

    - Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji (Gazeti la Majira) Na Rehema Mwakasese Soma Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani
  13. Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani

    Who is this guy? Why did he do this & under what capacity? Is he the "de-facto spokesperson" for Tanzanians living in the US? Aliwakusanya akina nani na kukusanya maoni yao halafu baadaye kuyapeleka uko Mwananchi? Anafanya kazi ubalozini? Mimi naichukulia hii kitu kama ni "kujikweza kusiko na...
  14. M

    Richmond nyingine yaibuka Mwanza

    Richmond kubwa zaidi yaibukia Mwanza *Ni mkataba wa umeme wa Sh155 bilioni *Ulisainiwa na serikali Oktoba 2006 *Mitambo haijawahi zalisha umeme *Mwekezaji analipwa Sh9bn kila mwezi Na Waandishi Wetu MKATABA wa Sh155.2 bilioni wa Kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura...
  15. Richmond, EPA kuibukia Butiama

    Richmond, EPA kuibukia Butiama Mwandishi Wetu Machi 12, 2008 Raia Mwema Azimio la Butiama kuitikisa CCM Wahusika wadaiwa kuanza kutoa rushwa UAMUZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupeleka vikao vyake vya juu vya Kamati Kuu yake (CCM) na kile cha Halmashauri Kuu (NEC) kijijini Butiama, una...
  16. K

    Richmond yaibukia Uganda

    Richmond yaibukia Uganda Waandishi Wetu Machi 5, 2008 Soma Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond Vyuo vikuu watoa tamko juu ya EPA, Richmond SAKATA ya kampuni hewa ya kufua umeme wa dharura, Richmond Development LLC, ya Marekani, limevuka mipaka na kujadiliwa...
  17. Vyuo vikuu watoa tamko juu ya EPA, Richmond

    Wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini Iringa vya Mkwawa, Ruaha na Tumaini, wamefanya maandamano mjini hapa na kutaka bei ya umeme ishuke mara moja. Aidha wanafunzi hao pia wametaka waliochangia kupanda kwa huduma hiyo ya kijamii wafikishwe mahakamani haraka, wafungwe maisha au kunyongwa...
  18. Mwanyika: Sihusiki na kashfa ya Richmond

    na Mwandishi Wetu | Tanzania daima MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika, amesema hana tatizo licha ya kutakiwa kujiuzulu na Kamati Teule ya Bunge, iliyopewa kazi ya kuchunguza mchakato wa zabuni ya Kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond. Aidha, Mwanyika alishindwa kuweka...
  19. Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Ni kuwa mjadala wa Richmond ndio unaanza japo mbunge wa Kigoma Mjini ndugu Peter Serukamba alimtaka spika kumpa ufafanuzi kwanza kuwa ni kwanini Waziri mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea kwenye kamati husika. Waziri mkuu kaamua kujitoa kwenye meza na amekuwa mchangiaji wa kwanza kuchangia...
  20. Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

    Mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge jana jioni, Waziri Mkuu aliitisha kikao cha Mawaziri na Manaibu wao akidai ni kikao cha KIKAZI. Katika kikao hicho aliwaambia kwamba serikali ilikua na nia njema katika suala zima la Richmond na kwamba mawaziri wanaothubutu kushabikia ripoti ya Richmond...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…