rita

  1. Kelela

    Kero: RITA mna matatizo gani?

    Habari wana JF, Naandika uzi huu ili kuelezea kero zangu na wengine wengi kuhusu RITA kama kuna wahusika humu walifanyie kazi. Natoa kero hizi leo Tarehe 26-Julai-2022 1. Kero ya Kwanza: Namba ya Huduma kwa wateja ni BUTU. Namba ya Huduma kwa wateja ya RITA haifanyi kazi, yaani ukipiga...
  2. D

    Huduma ya RITA inatia mashaka, nawashauri wajitathimini

    Nina mashaka makubwa sana na uwezo wa watendaji RITA hususani kitengo cha usajili wa vizazi na vifo! Ukichunguza kwa makini vyeti 8 kati ya 10 vilivyotolewa na RITA lazima utakuta dosari au changamoto! Miongoni mwa dosari hizo ni kama zifuatazo! 1. Mteja anaweza kuwa anaitwa ABDALLA lakini...
  3. Jumanne Mwita

    RITA mlituletea huduma mtandao mkiwa na lengo la kupunguza foleni katika maofisi yenu, huduma hii ya online ni mbovu mno

    Kwanza kabisa ningependa kujua uwepo wenu humu kama mpo au hampo na kama mpo mje mtupe majibu kwanini huduma hii ni mbovu hivi? Ubunifu huu nauunga mkono wa kuji-hudumia au kuomba vyeti Online ila shida inayowakumba waombaji ni kubwa mno kuliko raha wanayopata baadhi. Mwaka huu ulivyo anza...
  4. Shujaa Mwendazake

    Waziri Kabudi: RITA Kuanzisha mfumo wa usajili wa ndoa kwa njia ya Mtandao

    Prof. Kabudi alibainisha hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya nne ya usajili wa matukio muhimu ya binadamu yaliyoandaliwa na RITA na kusema mfumo huo utasaidia kutoa nakala mtandaoni kabla ya nakala ya cheti cha ndoa kutolewa. “Kabla mfumo huu haujaanza kufanya kazi, wadau...
  5. mshale21

    Waziri Kabudi: Viongozi wa dini ambao hawajasajiliwa na RITA hawataruhusiwa kufungisha ndoa ya aina yoyote

    Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi amesema viongozi wa dini ambao hawajasajiliwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) hawataruhusiwa kufungisha ndoa ya aina yoyote na endapo watafungisha ndoa bila ruhusa, ndoa hiyo itakuwa batili.
  6. ngotho

    Msaada: Napata changamoto hii RITA

    Wakuu neema ya bwana iwe juu yenu naombeni msaada juu la hili. Nilikuwa nahakiki cheti cha kifo lakini katika harakati za kufungua account na kureigister waliniambia eti wananitumia TOKEN kwenye namba yangu lakini kwanzia saa nane mpaka sasa sijaona hiyo TOKEN tatizo linaweza likawa nini wakuu...
  7. A

    Uhakiki vyeti Rita ushaanza?

    Wakuu naomba kufahamishwa je uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa Rita kwa waombaji mkopo 2021/2022 ushaanza?
  8. K

    RITA badilikeni ili mambo yafanyike kimtandao

    Hivi karibuni jirani yangu huku mkoani alipata msiba wa kufiwa na mke wake. Kifo kilitokea hospitali iliyoko Dar es Salaam. Kwa kuwa kifo kilitokea Dar shughuli zote inabidi zifanyikie katika za ofisi za RITA Wilaya kulikotokea kifo. Hii ndiyo sheria ya RITA. Alimtumia wakili...
  9. Miss Zomboko

    RITA yatoa talaka zaidi ya 200 kwa Mkoa wa Dar es Salaam kuanzia Januari hadi Desemba 2020

    Wakala wa Usajili, Ufilisi, na Udhamini (RITA) umetoa vyeti vya talaka 221 katika Mkoa wa Dar es Salaam baada ya wanandoa kuamua kuachana. Akizungumza katika maonesho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Wakili Mwandamizi wa Serikali wa RITA, Edna...
  10. figganigga

    Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

    Salaam Wakuu, Vyombo vya Serikali viache double standard. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM...
  11. Infantry Soldier

    Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania eti; Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao? Nilipokuwa ninamsaidia mdogo wangu kuomba mkopo wa elimu ya juu...
  12. Murashani GALACTICO

    Tunaokutana na changamoto za uhakiki wa Vyeti vya Kuzaliwa kutoka kwenye e-Service za RITA

    Wapendwa kama title inavyojieleza hapo juu. Nimekutana na changamoto ya kuthibitishiwa cheti cha kuzaliwa cha mdogo wangu. Hapo mwanzo majibu ya uhakiki yalichelewa. Tuliwapigia bila mafanikio kwa muda mrefu. Tulikuja wapata kwa njia ya simu kuwaeleza kulikoni mbona majibu yamechelewa wakasema...
  13. kikoozi

    Nipo huku mkoani, nahitaji certificate verified kutoka RITA

    Habarini nduu zangu, Kuna ndugu yangu nimemsaidia kufanya application ya loan board, kuna zoezi la kutuma taarifa ya cheti cha kuzaliwa RITA kwaajili ya verification, zilipita week 2 wakarudisha majibu kwenye system kuwa sijafanya attachment ya cheti usika, nimefanya attachement ya cheti tangu...
  14. J

    Nimefanya uhakiki wa vyeti RITA lakini mpaka sasa sijapata majibu

    JAMANI WANAJAMII FORUM, MSAADA WENU NAOMBA NDUGU ZANGU, NIMEFANYA UHAKIKI WA CHETI CHA KUZALIWA RITA LEO NI SIKU YA KUMI NA TATU SIJAPATA MAJIBU NA KWENYE SYSTEM YAO HAIONESHI IPTION YA KUVIEW STUTUS WALA NIKIFUNGUA INBOX HAIONESH CHOCHOTE... TATIZO NI NINI JAMANI
  15. Ashura9

    Taratibu za kupata cheti cha kuzaliwa kutoka RITA Tanzania

    Taratibu za kupata cheti cha kuzaliwa: RITA Tanzania Kwa mujibu wa sheria unaweza kupata cheti katika Wilaya uliyozaliwa au katika ofisi za Msajili Mkuu, Makao Makuu ya RITA katika jengo jipya la wakala la Rita Tower lililopo Mtaa wa Makunganya maeneo ya posta mpya mkabala na Club Bilcanas, Dar...
  16. Mgiriki MTz

    Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

    Habari wana jf, Husika na kichwa cha uzi naomba kujua kama RITA wameshaanza uhakiki wa vyeti kwa njia ya mtandao kwa vijana wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB? Pia naomba kujua kama bodi ya mikopo,HESLB kama tayari wameshatoa vigezo vitakavyotumika mwaka huu? Nawasilishà. #jEshi.
  17. Clark boots

    Naomba kueleweshwa namna ya ku-verify birth certificate kupitia RITA

    I hope you are all fine, Guys, nataka kuverify cheti changu cha kuzaliwa kupitia RITA hivyo naomba kujua mambo/vitu vifuatavyo: 1. Naweza kuwatumia cheti changu kupitia email? Na kama inawezekana, email yao ni ipi? 2. Namna ya kutuma na mfumo wa malipo pia 3. Baada ya kutuma ni muda gani...
  18. sky soldier

    Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

    Maskini vijana wa watu wakishinda bss tukiwaona mtaani bado hali zao za uchumi zimeyumba zinaanza stori kwamba wamefanyia hela umalaya, ulevi au starehe za kipuuzi, Kumbe hakuna kitu kama hicho, Vijana waambulia kupewa milioni 1 tu:eek::eek: Jumanne Iddi, Walter Chilambo, Ramadhan, Kayumba...
Back
Top Bottom