russia

  1. Bavaria

    When EU embargo comes, where will Russia sell its crude oil?

    MOSCOW, Sept 23 (Reuters) - Russia has ramped up oil shipments to Asia since Europe imposed sweeping sanctions, but still needs to re-route over a quarter of its crude exports away from Europe - or about 1.3 million barrels per day - when a full oil embargo hits in December. Russia exports...
  2. Mathanzua

    Provoking Russia into a nuclear exchange is like getting into a gun fight with an opponent who has world’s best ballistic shield

    Provoking Russia into a nuclear exchange while Russia has the best anti-ICBM missile systems is like getting into a gun fight with an opponent who is carrying the world’s best ballistic shield It is like the psychopathic NWO western leaders are begging for annihilation. Russia’s recent...
  3. Narumu kwetu

    Trump; karata aliyoicheza putini kwa weledi mwishowe akalamba joka

    Akuna asiyejua Trump na Putin ni maswaiba walioshibana na iliaminika Russia walihusika katika kuhakikisha Trump anaingia white House, na hata uvamizi wa Russia kwa Ukraine Trump alihojiwa akadai mbona Putin yupo sahihi. US na vyombo vyake vya usalama walichelewa japokua siyo sana kuugundua...
  4. Narumu kwetu

    Urusi: Ujerumani imevuka mstari mwekundu kwa kuipa msaada wa kijeshi Ukraine

    Dah nimeshangaa sana hii habari ,hivi kati ya US na Germany nani kavuka mstari mwekundu .Germany kila siku analalamikiwa na zelesky kwamba amekua akitoa ahadi hewa, juzi kaahid kutoa magari 50 , na vifaa vingine leo anaambiwa kavuka mstari,.he aliyetoa Himas hamumwoni ,hapo Germany hajatoa...
  5. JanguKamaJangu

    Urusi yaionya Marekani kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema iwapo Marekani itaamua kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu, itakuwa imevuka mpaka na kuwa ‘mshiriki katika mzozo’ baina ya mataifa hayo mawili. Marekani imeipatia Ukraine roketi za hali ya juu za mfumo wa kurushia roketi nyingi (GMLRS), ambazo...
  6. Narumu kwetu

    Russia wamerusha makombora mazito 11 kati ya hayo 9 yamedunguliwa

    Hapa kaz tuu kwenye anga Ukraine siyo maboya ,tafuten mmekosea wap Russians launch 12 missiles on eastern Ukraine, 9 of them shot down by air defence units Ukrainska Pravda Sun, September 11, 2022 at 11:00 PM·1 min read VALENTYNA ROMANENKO — SUNDAY, 11 SEPTEMBER 2022, 21:44 On the evening of...
  7. Forrest Gump

    Tuwe wawazi kidogo, wazo la Ujamaa halikuwa jema kwa ukubwa

    Sawa, najua utachoanza kusema, ooh ukabila ulikomeshwa, hakuna civil war, mabeberu wangepindua tena nchi hii, etc. Lakini twende na uhalisia wa matokeo, ni nchi gani iliyokuwa mfuasi wa ukomyunisti (kutoka kwa Mchina na Mrusi) leo ina maendeleo yenye kasi kubwa, bali tu kuwa wahanga wa sera zao...
  8. Maleven

    Live satalite image, silaha mbaya inayomuangusha Russia

    Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia. Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine. Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi...
  9. Narumu kwetu

    Russia yagoma kutoa maelezo juu ya counteroffensive inayofanywa na ukraine

    Russian wenyewe hawajasema chochote ila pro Russia wa mitandaon wameshatoa majibu yao Kremlin refuses to comment on counteroffensive of Armed Forces of Ukraine Ukrainska Pravda Fri, September 9, 2022 at 1:33 PM·1 min read IRYNA BALACHUK – FRIDAY, 9 SEPTEMBER 2022, 13:33 Dmitry Peskov, the...
  10. Narumu kwetu

    Urusi yaishiwa silaha yaamua kuagiza North Korea

    Super power mandonga aishiwa silaha, sasa akipigana miaka 2 si ataishiwa mpaka bunduki, hahaaaa super power wa mchongo anachekesha. Russia to buy North Korean artillery shells, rockets: Report Declassified intelligence from the US says that Moscow is turning to isolated state to secure weapons...
  11. Richard

    Urusi na China wafanya mazoezi makubwa ya kijeshi mashariki ya mbali yanoitwa Vostok 2022

    Russia na China wameendelea na mazoezi ya pamoja yanoitwa Vostok 2022 ambayo yajumuisha nchi zingine zipatazo 12. Mazoezi hayo yaendelea huku bado kukiwa na vita ya Russia na Ukraine pamoja na mgogoro wa China na Marekani kuhusu kisiwa cha Taiwan. Mazoezi hayo yaloanza Alhamisi ilopita...
  12. Narumu kwetu

    Urusi yaanza kuondoka Krimea

    Habar ndiyo hiyo super power kakubali yaishe. Kakosa yote.Chezea Himas wewe. KATERYNA TYSHCHENKO – SUNDAY, 4 SEPTEMBER 2022, 22:54 Volodymyr Zelenskyy, the President of Ukraine, shared intelligence that Russian occupiers have already started fleeing Crimea and stated that this was the right...
  13. Mathanzua

    Europes' winter from hell: Thanks for your sanctions Washington,NATO and Europe on Russia

    Europe’s impending depression is not to be discounted in terms of its relevance to the other side of the Atlantic. Since the turn of the century, US exports to the European Union have soared from $12.3 billion per month to $30.4 billion. That latter amounts to $365 billion on an annual basis...
  14. Narumu kwetu

    Urusi: Tuko tayari kukaa mezani tuyamalize

    Ukiona hivi ujue mkubwa kashikwa kubaya.Sasa hivi anaomba poo ,ila itakua jambo la busara wakiyamaliza mezani kiukweli vita siyo vizuri ,sikia kwa wenzako tuu. Zelesky tunaomba ushushe asira mambo haya tuweke sawa , ---- ROMAN PETRENKO – SUNDAY, 4 SEPTEMBER 2022, 15:52 Dmitry Peskov...
  15. Narumu kwetu

    Benki za Russia zaanza kupata hasara

    Mnaodai vikwazo havina madhara kwa Russian mnajidanganya ,ni vile media za Russia zimefungiwa ila hali ni tete ,hakuna anayetaka kuwekeza Russia ,alafu limeongezwa rungu lingine mataifa zaid ya 22 ya ulaya yamefuta VISA kwa raia wa Russian yaan mtanywea kombe lenu la vikwazo humohumo...
  16. Narumu kwetu

    Himars fake zinawagharimu Urusi

    Ukraine wameweza kutengeneza Himas fake nyingi ambazo, Russian kwa kutumia makombora yake mazito yanayorushwa toka kwenye meli na submarine yamekua yakijikuata yanalenga matoi yaliyotengenezwa kwa mbao. Kumbuka kombora moja linagharimu us dollar milion1.2 na utengenezaji wake huchukua mwezi...
  17. O

    Russia iwe funzo kwa ulimwengu wa sasa, Mabunge yawe Huru

    Kwa mtu yoyote asiyehusika moja kwa moja na hii vita lazima atakuwa ana upande wake wa kushabikia. Ila jambo moja la wazi na pasi na shaka hii vita imekwamisha ustawi wa Uchumi wa Dunia nzima na kuhatarisha usalama wa kila Binadamu. Hadi sasa ukiangalia taarifa za Urusi kila siku wanatoa...
  18. N

    Wanazuoni naomba kuuliza tofauti ya fake news na propaganda : case study of Russia ukraine war

    Propaganda ni kitu kinachotajwa sana kwenye ulingo wa siasa na vita hasa pale panakuwa na pande mbili zinazochuana kupata ushawishi wa jambo flani. Hali kadhalika wakati wa vita ''propaganda" huchukua mkondo wake kama njia ya kuongeza au kupunguza hamasa ya mapigano kwenye uwanja wa medani...
  19. EINSTEIN112

    Bulgaria yaipigia magoti Russia yaiomba irudishe gas supply italipa kwa Rubble

    Bulgaria's energy minister Rossen Hristov said the country would likely go back to talks with Russia on resuming gas deliveries from state-run energy supplier Gazprom. Gazprom provided 90% of Bulgaria's natural gas until April, when it cut supplies after Bulgaria refused to pay in rubles...
  20. Narumu kwetu

    NATO bado wanamwinda Urusi kwa kila namna

    NATO wametoa tamko kuwa kama ikitokea Russia akalipua kituo cha nyuklia ,basi ajue amevunja kifungu namba 5 cha NATO. Hivyo NATO itachukulia jambo hilo kama direct provoked ,na linaashiria kuwalenga wanachama wa NATO. Hivyo italazimu NATO kuingililia direct,hapa sasa ndio patamu maana NATO...
Back
Top Bottom