Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani???
Sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo...
Russia has added blood supplies to its military buildup on Ukraine's border, Reuters reported.
This could be another sign its planning to invade, experts said.The supplies could be used to treat casualties if Russia invades.
In another sign it could be preparing to invade, Russia has now...
Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.
Putin ametoa sisitizo hilo katika salamu alizomtumia Rais Xi Jinping wa China kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 72 wa kuasisiwa Jamhuri ya Watu wa China.
Katika salamu zake hizo, Rais...
Russia has called on the United States to stop imposing its so-called “development model” on other countries, taking a swipe at President Joe Biden for claiming Washington was ending the two-decade war in Afghanistan to “remake” other nations.
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov made the call...
Mali has approached private Russian security companies for help in its fight against terrorism following the French government’s “unilateral” decision to “abandon” the West African country.
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov confirmed to reporters during a press conference at the UN...
A Russian diplomat has praised Iran’s full membership at the Shanghai Cooperation Organization (SCO) as a “very useful decision,” saying members of the Eurasian political, economic, and security alliance share the same opinion.
Raeisi has described the approval of Iran’s permanent membership in...
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.
Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.
Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.
Ila kiukweli kiundani...
Wakati ambao mashitaka kwa Mbowe yakianza na wapinzani kushangaa, Kiongozi mkuu wa upinzani Russia Alexei Navalny hapungukiwi mashitaka na anaitwa gaidi na utawala. Huko China (hongkong) kupinga Sheria au Sera za China NI uhaini kamili. Kuwa mpinzani NI ualifu tosha.
Wapinzani hawajui NI Nani...
Mahakama Jijini Moscow imepiga marufuku Mashirika yenye uhusiano na Mkosoaji mkubwa wa Serikali, Alexei Navalny, na watakaoendeleza harakati wapo hatarini kufungwa jela
Pia mtu yeyote atakayeunga mkono kwa uwazi mtandao wa kisiasa wa Navalyn ambaye anatumikia kifungo anaweza kuzuiwa kugombea...
Urusi imetishia kupunguza kasi ya Google ikiwa itashindwa kufuta kile ambacho Taifa hilo linaita ni maudhui yanayovunja Sheria huku Mamlaka ikitoa saa 24 kwa video zinazohusiana na Dawa za Kulevya na vurugu kuondolewa.
Kampuni hiyo pia umeshutumiwa kuminya Mtandao wa YouTube kwa Vyombo vya...
Mnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.
Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia...
Hiyo tunayoiita chanjo inayotengenezwa na kampuni ya Pfizer ikishirikiana na kampuni ya BioNTech ya ujerumani si sawa na chanjo zinazojulikana ambazo hutumia virusi vya ugonjwa huo huo vilivyopunguzwa makali (attenuated live viruses). Hawa wanatumia genetically engineered manufactured synthetics...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Eti ndugu zangu watanzania (wale tu mnaofuatilia siasa za kimataifa kwa muda mrefu kama mimi);
Kwanini Russia ilishindwa kumtetea Saddam Hussein wa Iraq ila kwa sasa inamkingia kifua Bashar Al-Assad wa Syria ilhali nchi hizi mbili zinapakana...
Urusi na Uchina zinashirikiana kupunguza utegemezi wao kwa dola - maendeleo ambayo wataalam wengine wanasema inaweza kusababisha "muungano wa kifedha" kati yao.
Katika robo ya kwanza ya 2020, sehemu ya biashara ya dola kati ya Urusi na Uchina ilianguka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.