ruto

Ruto, or Rutto, is a surname of Kenyan origin that may refer to:

Evans Rutto (born 1978), Kenyan marathon runner and two-time winner of the Chicago Marathon
Isaac Ruto, Kenyan politician for the United Republican Party
Paul Ruto (born 1960), Kenyan middle-distance runner and 1993 world champion
Ronald Kipchumba Rutto (born 1987), Kenyan steeplechase and marathon runner
William Ruto (born 1966), Kenyan politician and Deputy President of Kenya

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Baada ya Kuapa naanza kumuona Rais Ruto kama ni Mtu mwenye Papara, Kukomoa, Unafiki na Visasi Moyoni

    Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake. Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake. Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.
  2. GENTAMYCINE

    Rais Dk. William Ruto nimependa IQ yako, Commitment, daring na your Love for Kenyans, ila huna Uchumi wa kutenda Uliyoyaahidi

    Na hapa ndiyo Kosa Kubwa Marais wengi Wateule hasa wa Barani Afrika huwa mnafanya kwa kuja na Honey Speech zenu tena za Kusisimua na kutia Moyo ila implementation huwa ni Zero. Rais Mteule wa Kenya Dk. William Ruto baada ya kukusikiliza Kiumakini na Hotuba yako ambayo kwa 90% imelenga Uchumi wa...
  3. technically

    Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

    Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi. Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala...
  4. B

    Kwa wasiojua kuhusu Rais Ruto, aliandaliwa muda mrefu

    Watz wasiomjua RUTO ni kwamba RUTO ni mtu wa Serikali miaka na miaka. Aliingizwa serikalini na kuwa mbunge na mzee MOI kwa hiyo watanzania msishangae sana. Rais haibuki, Anaandaliwa. Kenya sio wajinga hata UHURU alikuwa anajua hili. Watz msiwe watu wa kushngaa sana!
  5. BARD AI

    Miguna Miguna athibitisha kurejea Kenya baada ya Rais Ruto kumpa kibali

    Wakili aliyehamishwa Miguna Miguna ana kila sababu ya kutabasamu baada ya Rais William Ruto kuondoa arifa nyekundu zilizotolewa dhidi yake. Katika taarifa yake mnamo Jumanne, Septemba 13, wakili huyo alibainisha kuwa alipokea hakikisho kutoka kwa Amiri Jeshi Mkuu kuhusu hali yake ya uhamishoni...
  6. BARD AI

    Rais Ruto kuwaapisha Majaji 6 waliokataliwa na Uhuru Kenyatta

    Akizungumza Jumanne, Septemba 13, Rais Ruto amesema kwa mujibu na ahadi yake ya kuunga mkono Uhuru wa Idara ya Mahakama, ameidhinisha uteuzi wa majaji ambao waliteuliwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) mwaka wa 2019. Rais aliongeza kuwa ataongoza hafla ya kuapishwa kwao Jumatano, Septemba...
  7. J

    Rais wa Uganda ahudhuria sherehe za Ruto na mobile toilet

    Kenya. Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Raisi mpya wa Kenya kwa kusafiri na ndege maalumu ya Rais huku akiambatana na washauri wake wa karibu. Katika hali ya kushangaza, Rais huyo wa Uganda ameambatana na mobile toilet katika msafara wake, mobile toilet...
  8. N

    Rais Samia kuhudhuria Uapisho wa Ruto ni kuendelea kudumisha Diplomasia

    Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea kudumisha diplomasiano na mahusiano mazuri kati ya Tanzania na Kenya pia Rais Samia Suluhu amezungumza na Rais Mteule wa Kenya, William Ruto na wameafiki kukuza ushirikiano katika biashara, kilimo na usalama kwa manufaa ya nchi zote. Uuzaji wa bidhaa za...
  9. Mystery

    Msafara wa uapisho wa Ruto, hakuna kufunga barabara!

    Ninaangalia matangazo LIVE kupitia luninga za Kenya. Jambo moja ambalo limenishangaza Sana ni kuona msafara wa Rais mteule, William Ruto, ukienda kwenye kiwanja cha Kasarani, ambako ndiyo kunakotarajiwa kwa shughuli hiyo ya uapisho, akipita barabarani bila kuzifunga barabara hizo, kwa maana...
  10. Roving Journalist

    Ruto: Tutatoa bajeti kubwa kwa Mahakama ili isimamie Demokrasia, Uhuru na Haki

    Kutoka uwanja wa Kasarani Septemba 13, 2022 Rigathi Gachagula - Naibu Rais Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagula amesema kuwa nchi hiyo haitaingilia uhuru wa watu katika kuwasiliana. Amewataka wakenya kuzungumza kwa uwazi pasipo kuogopa kuwa Serikali itaingilia mawasilano yao. Aidha...
  11. M

    Ngoja tumalize Uapisho wa Ruto na Maziko ya Bi. Eliza nifanye minor rushuffle kwani Wananchi Wanalalamika mno

    Ule wakati wa Mtanzania Mmoja yeye na Familia yake sasa kwenda kuishi Burundi kama anavyotutaka Wengine tukaishi huko inakaribia.
  12. OKW BOBAN SUNZU

    Kenya 2022 Raila Odinga aalikwa kuapishwa kwa Rais Mteule William Ruto, akataa mwaliko

    Kiongozi wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga hatahudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule William Ruto siku ya Jumanne. Katika taarifa yake siku ya Jumatatu, Odinga alikiri kuwa Ruto alimwalika yeye binafsi kwenye hafla ya kuapishwa lakini akasema hataheshimu mwaliko huo kwa vile...
  13. BARD AI

    Rais Uhuru akutana na Rais Mteule Ruto IKulu

    Rais mteule William Ruto saa hii anakutana na Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta na Ikulu, Nairobi. Ruto ameandamana na Mkewe Rais mteule Rachel Ruto. Ripoti zilionyesha kuwa viongozi hao wawili wanafanya mkono wa kibinafsi kabla ya kuapishwa kwa Ruto mnamo Jumanne katika uwanja wa Kasarani...
  14. Taifa Digital Forum

    Ruto kuiga mfumo wa CCM kuongoza Kenya, kuwapa madaraka ya chama wananchi

    Chama cha Rais mteule Nchini Kenya Dkt. William Ruto cha United Democratic Alliance, - #UDA kimeahidi kufuata Mfumo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuliongoza Taifa la #Kenya, Mwenyekiti wa Chama hicho JOHNSON MUTHAMA amethibitisha. ======== UDA Chairman Johnson Muthama has declared that...
  15. BARD AI

    Rais Samia kuhudhuria uapisho wa Rais Mteule William Ruto

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ataungana na Marais 17, Mawaziri Wakuu, Manaibu wa Rais 8 na Mawaziri 7 wa Mambo ya Nje waliothibitisha kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Mteule William Ruto. Samia ataambatana na baadhi ya Viongozi wa Serikali akiwemo Balozi Liberata Mulamula, Waziri wa Mambo...
  16. BARD AI

    Kenya 2022 Multi Choice pekee kuchukua matangazo ya uapisho wa Rais Mteule Ruto na kusambaza kwa wengine

    Timu ya Mawasialiano ya Rais Mteule imezuia vyombo vya habari vya nchini humo kurusha hafla ya kuapishwa kwa William Ruto na kutoa haki za kipekee za utangazaji kwa Multichoice Kenya Ltd. Tangazo hilo limepokelewa kwa hisia tofauti na wanahabari wa ndani na mashirika ya habari, huku gazeti la...
  17. BARD AI

    Kenya 2022 Urais wa Ruto kupingwa tena Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ)

    Mgombea Mwenza wa Raila Odinga, Martha Karua amegusia uamuzi wa kuhamishia Pingamizi la Urais nchini Tanzania ili kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu ulioidhinisha ushindi wa Rais Mteule William Ruto. "Nafikiria kusafiri kwenda Mahakama ya Afrika Mashariki ili tukajadili hukumu hiyo. Nina muda...
  18. M

    We are waiting for Wanjala S. Nasong'o to reflect on his article titled: Why Ruto is unlikely to succeed Uhuru!

    Does this mean William Ruto is absolutely destined to lose the August elections? Historical precedent and the dialectical odds dictate so. However, as Thomas Kuhn demonstrates in his Structure of Scientific Revolutions (1962), there are moments of anomalies where the established paradigm is...
  19. Kijakazi

    Tanzania haimo kwenye Main List ya walioalikwa Kenya Uapisho wa Ruto

    Hii si fair hata kidogo, sidhani kama nchi ilikuwa obsessed na Uchaguzi wa Kenya kama Tanzania yetu mpaka tumepeleka Rais wetu Mstaafu kusimamia uchaguzi. Yaani nimesoma gazetini wageni waliolikwa na Ruto naona Museveni, Nigeria, Ghana, AK, Ethiopia, Misri mpaka Qatar na Uingereza, China...
  20. BARD AI

    Kenya 2022 Tsh. Bilioni 3.8 kutumika kwenye uapisho wa Rais Mteule William Ruto

    Mfuko wa Hazina umetenga kiasi hicho cha fedha kwaajili ya hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule inayotarajia kufanyika Jumanne ya Septemba 13, 2022 kwenye uwanja wa Kasarani. Fedha hizo kutoka Hazina ya Serikali zitakuwa chini ya Kamati ya Makabidhiano ya Ofisi (NASC) ambayo inajiandaa kwa...
Back
Top Bottom