Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma, Hemed Chale, ametoa msaada wa chakula kwa wahanga wa maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha tarehe 28 Desemba 2024 na tarehe 2 Januari 2025 wilayani Songea, mkoani Ruvuma.
Mvua hizo zilileta uharibifu mkubwa wa...