rwanda

  1. Informer

    Rwanda grants South African troops safe passage out of Congo

    Rwanda says it will grant Southern African Development Community (SADC) forces in the Democratic Republic of Congo a safe passage to pull out of the war zone, potentially earning a publicity credit in the chaos. Rwanda's Minister for Foreign Affairs Olivier Nduhungirehe told The EastAfrican...
  2. B

    LIVE: DIRA YETU: SEKTA YA MADINI NCHINI RWANDA: Je ni kweli Rwanda Haina Migodi ya uchimbaji?

    11 March 2025 Dira Yetu : SEKTA YA MADINI NCHINI RWANDA : Je ni kweli Rwanda Haina M8godi ya Uchimbaji ? https://m.youtube.com/watch?v=T2NW4_-B6-4 Muongoza kipindi ndugu Masantura amewakaribisha studio wageni kujadili sekta ya madini nchini Rwanda. Kipindi hiki kitawafahamisha je ni dhana...
  3. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC tafadhalini leteni Mechi zenu Uwanja wa Namboole hapa Uganda kwani mnakubalika na msipeleke Amahoro Rwanda kwa Yanga SC wengi

    Na GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwapokeeni na kuwapa kila aina ya Ushirikiano na mtafanya vyema Kimichezo.
  4. Marie Antoinette

    Ikibazo cy'insengero mu Rwanda gikomeje kugorana

    Umuyobozi Mukuru w’Urwego rw'Igihugu rw’Imiyoborere, RGB, Dr. Doris Uwicyeza Picard, yatangaje ko batazihanganira kubona abantu bagendana insengero mu mifuka yabo aho bageze bagakodesha inzu, nyuma y’iminsi mike bakimukira ahandi kandi aho bavuye bakahasiga ibibazo uruhuri.
  5. Lord denning

    Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

    Congo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda. Sote tunafahamu namna Kagame alivyowekeza katika suala la Uhusiano wa Kimataifa. Sote tunafahamu...
  6. Faana

    Askari wa Burundi aelezea tofauti kati ya ushirikiano wa Burundi na Tanzania na ule wa Burundi na Rwanda

    Askari wa Burundi aelezea tofauti kati ya ushirikiano wa Burundi na Tanzania na ule wa Burundi na Rwanda. Akielezea jambo hilo askari huyo kutoka Burundi amesema kwamba askari wa Tanzania wanashirikiana na askari wa Burundi kuwakamata majambazi wanaofanya uhalifu Burundi na kukimbilia Tanzania...
  7. green rajab

    Wapiganaji wa FDLR inapaswa wawezeshwe zana vita ili wakaikomboe Rwanda toka mikononi mwa Gaidi

    FDLR Kimekua ni kisingizio kinachotumiwa na Rwanda ili kuhalalisha ugaidi na uvamizi wa mipaka ya Nchi nyingine huru. Sasa si muda wa Mataifa kuikemea Rwanda kwa mdomo ni muda wa kuhujumu Utawala uliopo Kigali kwa Kuwawezesha FDLR kwa zana vita, mafunzo na kusaidia taarifa za kijasusi ili...
  8. Mpigania uhuru wa pili

    Huyu nabii alitabiri Museveni kuangushwa, na Rwanda kunyimwa misaada. Uijeruman na Ubelgiji tayari zimesitisha misaada kwa Rwanda

    sikikiza kwenye video hapo chini https://m.youtube.com/watch?v=NZI68ek9aOU
  9. T

    General OMEGA. Siri kubwa ya M23. Maandalizi ya kumkabidhi serikali ya Rwanda

    Aliekuwa kiongozi wa kundi la waasi la FDLR, General OMEGA, siku za nyuma, baada ya handaki aliyokuwemo na wenzake kulipuliwa na M23, na kusababisha vifo vya badhi ya walinzi wake, na kuhisiwa kuwa na yeye amefia katika shambulio hilo, alikamatwa na M23 na kuhifadhiwa kwa siri kubwa. Msemaji...
  10. Marie Antoinette

    Mbonyunkiza Ahmed Napoleon yoherejwe mu Rwanda

    Leta Zunze Ubumwe za Amerika zohereje mu Rwanda Mbonyunkiza Ahmed Napoleon wahamijwe uruhare muri Jenoside yakorewe Abatutsi n’Inkiko Gacaca, kugira ngo aryozwe uruhare rwe. Uyu mugabo wavutse mu 1968, yagejejwe ku Kibuga Mpuzamahanga cy’Indege cya Kigali ku gicamunsi cyo kuri uyu wa wa 4...
  11. Mateso chakubanga

    Ujerumani yasitisha misaada yake kwa Rwanda kufuatia mgogoro unaondelea Congo

    Wakuu, Serikali ya ujerumani leo imeitaarifu Rwanda hatua yake ya kusitisha misaada mbalimbali katika nyaja za elimu, tekinolojia na afya. Hatua hiyo imekuja baada ya kuthibitika kwamba Rwanda imepeleka wanajeshi wake nchini DRC ili awasaidie magaidi wa M23 kuvuruga amani nchini DRC. Aidha...
  12. Mateso chakubanga

    MAONI: Jumuiya ya Afrika Mashariki kuiwekea Rwanda vikwazo vya kidiplomasia na uchumi

    Baada ya baadhi ya nchi za Ulaya na Marekani kuiwekea Rwanda vikwazo pia kuwekea viongozi wa Rwanda vikwazo kwa kujihusisha na migogoro ndani ya DRC. Sasa ni dhahiri na muda muafaka kwa jumuiya za Kiafrika na kanda zake kukaa na kupiga kura hatimae kuiwekea Rwanda vikwazo kama ilivyofanya...
  13. Mateso chakubanga

    Baada ya Ubelgiji na Uingereza, Canada nayo yaiwekea vikwazo Rwanda kufuatia vita inayoendelea Congo

    Wakuu, Serikali ya Canada imefuata nyayo za Ubelgiji na Uingereza kuiwekea vikwazo serikali ya Rwanda, vikwazo hivyo vimekuja baada ya serikali ya Canada kujiridhisha kwamba Rwanda ndio chanzo cha vurugu DRC. Akitangaza vikwazo hivyo na jinsi vitakavyofanya kazi Waziri anaeshughulikia mambo ya...
  14. MBOKA NA NGAI

    Rwanda yaidai UK Euro millioni 50 za mkatapa wa wahamiaji kutoka UK

    Mahusiano ya Rwanda na serikali ya Uingeleza, siku za nyuma yalikuwa mazuri. Mwaka 2022, mwezi wa nne, enzi za waziri mkuu, Rishi Sunak, serikali zote zilisaini mkataba wa mamilioni ya Euro. Baada ya waziri mkuu wa sasa kuingia madarakani, mkataba huo ulizikwa, na serikali ya UK ikaiomba Rwanda...
  15. Marie Antoinette

    U Rwanda rurishyuza ubwongereza akayabo

    U Rwanda rurishyuza u Bwongereza Miliyoni 50 z'Amapawundi (abarirwa muri Miliyari zisaga 89 z’Amafaranga y’u Rwanda) nyuma y'uko u Bwongereza butubahirije amasezerano bwari bwaragiranye n'u Rwanda yo kohereza abimukira mu Rwanda. U Bwongereza bwari bwarasabye u Rwanda ko rwareka kwishyuza ayo...
  16. G Sam

    Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

    Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo. Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi. Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa...
  17. W

    Makamanda wa Tanzania 🇹🇿 JWTZ wanarundi Nchini Baada ya Kukaguliwa Mpakani mwa Rwanda na DRC.

    This is the trending video on Rwandan social media showing Tanzanian military officers at the Rwanda-DRC border office in Rubavu. They were repatriated from Goma after M23 seized control of the city. Reports indicate that M23 captured over 1,300 SADC troops, including soldiers from Tanzania...
  18. Mateso chakubanga

    Bunge la Ubelgiji lapitisha azimio la kuiwekea Rwanda vikwazo

    Bunge la Ubelgiji limepitisha muswaada wa kuiwekea Rwanda vikwazo vya kiuchumi na kijeshi kutokana na mchango wake wa machafuko mashariki mwa DRC. Azimio hilo lenye kurasa 11 liliwasilishwa na mbunge wa ubelgiji mwenye asili ya DRC mutyebere Ngoi kutoka chama cha kishoshalisti limeungwa mkono...
  19. Marie Antoinette

    Maj Ndayambaje wasubiye muri FDLR nyuma yo gukatirwa igifungo cya burundu, mu bashyikirijwe u Rwanda

    Umutwe witwaje intwaro wa M23 urwanya ubutegetsi bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo washyikirije u Rwanda abarwanyi 14 b’umutwe w’iterabwoba wa FDLR bafatiwe mu mirwano yabereye mu mujyi wa Goma no mu nkengero zawo muri Mutarama 2025. Mu barwanyi ba FDLR bashyikirijwe u Rwanda harimo...
Back
Top Bottom