rwanda

  1. MBOKA NA NGAI

    FDLR waliokamatwa na M23, kurudishwa Rwanda

    Leo tarehe 1 Machi, baadhi ya wapiganaji wa FDLR waliokamatwa na M23, katika vita vya Goma, vilivyoiacha Goma mikononi mwa M23, tarehe 27 January 2025, watafikishwa mpaka wa La Corniche kati ya DRC na RWanda, kukabidhiwa serikali ya Rwanda. Baada ya kupokelewa na serikali ya Rwanda, watu hawa...
  2. Marie Antoinette

    Leta y'u Rwanda yatsinze urubanza rwa Miliyari 18 yarezwemo na Mironko

    Umunyemari Mironko François Xavier yatsinzwe urubanza yarezemo Leta y’u Rwanda aho yayishyuzaga Amafaranga arenga miliyari 18 Frw ajyanye n’isoko yahawe na Leta yariho mbere ya Jenoside ryo kugura ibikoresho bya gisirikare yaguze hagati y’umwaka wa 1993 na 1994. Urukiko rw’Umuryango wa Afurika...
  3. Mateso chakubanga

    Rwanda yalalamikia vikwazo vya Uingereza dhidi yake

    Rais wa Rwanda Paul Kagame na serikali yake wamelalamikia vikwazo vilivyowekwa na Uingereza dhidi yake. Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la...
  4. MBOKA NA NGAI

    Uingereza yasitisha msaada Rwanda kwa Kuunga Mkono waasi wa DRC

    Serikali ya Uingereza imetangaza kusitisha kuhudhuria matukio yanayoandaliwa na serikali ya Rwanda na kusimamisha msaada wake kwa taifa hilo la Afrika Mashariki kutokana na waasi wanaoungwa mkono na Kigali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Soma Pia: Serikali ya Uingereza yamuita...
  5. Marie Antoinette

    Ihuriro ry'imitwe ya politike mu Rwanda ryamaganye ubuyobozi bwa DRC

    Abagize Ihuriro ry'Igihugu Nyunguranabitekerezo ry'Imitwe ya Politiki mu Rwanda, bahuriye mu nama yiga ku kibazo cy'umutekano muke wo mu Burasirazuba bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo.Nyuma y’iyi nama iri huriro ryatangaje ko rishyigikiye Perezida Paul Kagame akaba n’Umugaba...
  6. Marie Antoinette

    EU yanzuye kudafatira u Rwanda ibihano

    Inama y’Abaminisitiri b’Ububanyi n’Amahanga b’ibihugu bigize Umuryango w’Ubumwe bw’u Burayi, yanzuye ko u Rwanda rudahita rufatirwa ibihano kubera ibirego rushinjwa mu ntambara zimaze imyaka mu Burasirazuba bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo, ahubwo ibyemezo bya politike bizafatwa...
  7. MBOKA NA NGAI

    Baadhi ya wanajeshi wa SADC warudishwa nchi wanazotokea, kupitia Rwanda

    Mida ya saa moja kasoro robo, leo hii tarehe 24 Februari 2025, badhi ya wanajeshi wa SADC waliokuwa Goma, kwenye mission ya SAMIDRC, wamepitia mpaka mkubwa wa Goma na Rubavu, wakirudi makwao. Ni baada ya kuwepo DRC kulisaidia jeshi la serikali ya Congo (FARDC) kukabiliana na kundi la M23...
  8. Mateso chakubanga

    Umoja wa Ulaya (EU) waitaka Rwanda kutoa vikosi vyake Mashariki mwa Congo huku ikipanga kupitia upya makubaliano ya malighafi na nchi hiyo

    ===== Umoja wa Ulaya (EU) utapitia upya makubaliano yake ya hivi karibuni kuhusu malighafi muhimu na Rwanda kufuatia mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), amesema Mwakilishi Mkuu Kaja Kallas. Hata hivyo, jumuiya hiyo haitafuata hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo...
  9. Alvin_255

    M23 Conflict: Kabila Says Poor Governance, Not Rwanda, Is the Real Issue in DRC

    Former Democratic Republic of Congo leader Joseph Kabila stated on Sunday that the poor governance of his successor, President Felix Tshisekedi, significantly intensified the conflict in eastern DR Congo. Kabila’s comments provide a critical perspective on the ongoing DR Congo conflict and offer...
  10. Mateso chakubanga

    Huenda wakati wowote Mahakama ya uhalifu wa kivita ikatoa kibali cha kukamatwa viongozi kadhaa wa M23 na Rwanda

    Kufuatilia vikao vizito vinavyoendelea vyenye agenda ya kurudisha utulivu na amani DRC pia ushahidi na hesabu za idadi vta vifo vya raia, ubakaji, utesaji na mauaji kadhaa mamlaka za haki zinategemea kukaa na kumshauri mwendesha mashtaka mkuu wa ICC kuorodhesha ushahidi na wahusika katika...
  11. Mateso chakubanga

    Umoja wa Ulaya yaiamuru vikosi vya Rwanda na M23 kuondoka DRC Haraka bila masharti yoyote.

    Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la...
  12. Lord denning

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laitaka Rwanda kuondoa majeshi haraka nchini Congo

    Baada ya Viongozi wa Africa kufanya vikao vyao vya kunywa kahawa Dar es Salaam na Zimbabwe huku wakipiga picha kwa mbwembwe bila kuupatia suluhisho la kudumu Mgogoro wa Congo naona wazungu wameamua kuwaonesha Waafrika kwa nini wanawaitaga Nyani. Baada ya jana Wizara ya Fedha ya Marekani...
  13. Lord denning

    Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

    Wakati nchi za Afrika Mashariki zikiendelea kumpet pet Kagame, masaa machache yaliyopita Wizara ya Fedha ya Marekani imetangaza rasmi kuwawekea vikwazo Waziri wa Mambo ya Afrika Mashariki wa Rwanda Generali James Kabarebe na Msemaji wa M23 Lawrence Kanyuka Kingston kutokana na vita...
  14. Alvin_255

    Rwanda Cuts Development Ties with Belgium Over Sanctions Dispute Kigali Stands Firm Against European Pressure

    Excerpt: Rwanda has suspended its 2024-2029 development cooperation agreement with Belgium, citing Brussels' push for EU sanctions and economic pressure over alleged support for M23 rebels. This decision marks a new low in Rwanda-Belgium relations. Rwanda has officially suspended its 2024-2029...
  15. Marie Antoinette

    U Rwanda rwanze inkunga rwagenerwaga n’ubuniligi

    Mu buryo butunguranye kandi budasanzwe ku bihugu bikennye, u Rwanda rumaze guhagarika inkunga yari isigaye ku masezerano y’inkunga yari asanzwe ibihugu byombi bifitanye yari kuzaba muri 2024 kugeza 2029! Iyi gahunda y’inkunga yari mu gaciro ka Miliyoni 112.6 z’amayero! U Rwanda rukaba...
  16. Marie Antoinette

    IYO UVUZE KO FDLR ITABAHO, UBA USHAKA KUGOREKA AMATEKA Y'U RWANDA

    Perezida wa Repubulika y’u Rwanda Paul Kagame yatangaje ko umuntu wirengagiza ko umutwe w’iterabwoba wa FDLR uriho, kandi uteje ikibazo aba yirengagije amateka y’u Rwanda. Yavuze ko ibyo u Rwanda rutazabyihanganira na gato, anasaba ko Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo (RDC), iwucumbikiye...
  17. Marie Antoinette

    Perezida Denis Sassou-Nguesso asanga nta mpamvu y’ibihano ku Rwanda

    Perezida wa Congo Brazzaville Denis Sassou-Nguesso aratangaza ko nta mpamvu n’imwe yo gufatira u Rwanda ibihano, kubera urwitwazo rw’Intambara ibera mu Burasirazuba bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo-DRC ihanganyemo n’umutwe wa M23. Mu kiganiro yahaye Televiziyo France 24 ku mutekano...
  18. S

    NIPENI ABCD ZA RWANDA NATAKA NIKATAFUTE MAISHA

    Hello guys, kati ya nchi ambazo natamni kwenda ni rwanda kiukweli moyo wangu unaniambia ntafanikiwa nikiwa kule mwenyeji anipe basi maelekezo nianzie wapi mi nikifika huko kazi yoyte ntapiga mhimu iwe legally ata viabarua2
  19. I

    Bunge la Ulaya lataka kusitishwa kwa msaada wa EU kwa Rwanda kuhusu mzozo wa Kongo

    Kama kawaida waafrika ni watu wanaopenda kutafuta visingizio kwa matatizo yanayowakabili ambazo mara nyingi wanajiletea wenyewe. Mfano mzuri ni mgogoro uliopo nchini Congo unaohusisha serikali ya nchi hiyo na waasi wa M-23 ambao wengine wamekuwa wakidai kwamba huchochewa na wazungu japo hawatoi...
  20. Yoda

    Kwanini Congo haiwapigii kelele Waarabu na Wachina waache kununua madini kutoka Rwanda?

    Wateja wakubwa wa bidhaa zote za Rwanda kuanzia madini, kahawa hadi chai kwa nje ya Waafrika ni Waarabu wa UAE na China. Katika kelele zote za Congo kutaka watu wasitishe kununua bidhaa za Rwanda wanazipigia nchi za Ulaya na Marekani! Huu mbona kama ni mkanganyiko! Kwa nini Congo isiwabane UAE...
Back
Top Bottom