Leo tarehe 1 Machi, baadhi ya wapiganaji wa FDLR waliokamatwa na M23, katika vita vya Goma, vilivyoiacha Goma mikononi mwa M23, tarehe 27 January 2025, watafikishwa mpaka wa La Corniche kati ya DRC na RWanda, kukabidhiwa serikali ya Rwanda.
Baada ya kupokelewa na serikali ya Rwanda, watu hawa...
Rais wa Rwanda Paul Kagame na serikali yake wamelalamikia vikwazo vilivyowekwa na Uingereza dhidi yake.
Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la...
Serikali ya Uingereza imetangaza kusitisha kuhudhuria matukio yanayoandaliwa na serikali ya Rwanda na kusimamisha msaada wake kwa taifa hilo la Afrika Mashariki kutokana na waasi wanaoungwa mkono na Kigali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Soma Pia: Serikali ya Uingereza yamuita...
Abagize Ihuriro ry'Igihugu Nyunguranabitekerezo ry'Imitwe ya Politiki mu Rwanda, bahuriye mu nama yiga ku kibazo cy'umutekano muke wo mu Burasirazuba bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo.Nyuma y’iyi nama iri huriro ryatangaje ko rishyigikiye Perezida Paul Kagame akaba n’Umugaba...
Mida ya saa moja kasoro robo, leo hii tarehe 24 Februari 2025, badhi ya wanajeshi wa SADC waliokuwa Goma, kwenye mission ya SAMIDRC, wamepitia mpaka mkubwa wa Goma na Rubavu, wakirudi makwao.
Ni baada ya kuwepo DRC kulisaidia jeshi la serikali ya Congo (FARDC) kukabiliana na kundi la M23...
=====
Umoja wa Ulaya (EU) utapitia upya makubaliano yake ya hivi karibuni kuhusu malighafi muhimu na Rwanda kufuatia mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), amesema Mwakilishi Mkuu Kaja Kallas.
Hata hivyo, jumuiya hiyo haitafuata hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo...
Former Democratic Republic of Congo leader Joseph Kabila stated on Sunday that the poor governance of his successor, President Felix Tshisekedi, significantly intensified the conflict in eastern DR Congo. Kabila’s comments provide a critical perspective on the ongoing DR Congo conflict and offer...
Kufuatilia vikao vizito vinavyoendelea vyenye agenda ya kurudisha utulivu na amani DRC pia ushahidi na hesabu za idadi vta vifo vya raia, ubakaji, utesaji na mauaji kadhaa mamlaka za haki zinategemea kukaa na kumshauri mwendesha mashtaka mkuu wa ICC kuorodhesha ushahidi na wahusika katika...
Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la...
Baada ya Viongozi wa Africa kufanya vikao vyao vya kunywa kahawa Dar es Salaam na Zimbabwe huku wakipiga picha kwa mbwembwe bila kuupatia suluhisho la kudumu Mgogoro wa Congo naona wazungu wameamua kuwaonesha Waafrika kwa nini wanawaitaga Nyani.
Baada ya jana Wizara ya Fedha ya Marekani...
Wakati nchi za Afrika Mashariki zikiendelea kumpet pet Kagame, masaa machache yaliyopita Wizara ya Fedha ya Marekani imetangaza rasmi kuwawekea vikwazo Waziri wa Mambo ya Afrika Mashariki wa Rwanda Generali James Kabarebe na Msemaji wa M23 Lawrence Kanyuka Kingston kutokana na vita...
Excerpt: Rwanda has suspended its 2024-2029 development cooperation agreement with Belgium, citing Brussels' push for EU sanctions and economic pressure over alleged support for M23 rebels. This decision marks a new low in Rwanda-Belgium relations.
Rwanda has officially suspended its 2024-2029...
Mu buryo butunguranye kandi budasanzwe ku bihugu bikennye, u Rwanda rumaze guhagarika inkunga yari isigaye ku masezerano y’inkunga yari asanzwe ibihugu byombi bifitanye yari kuzaba muri 2024 kugeza 2029!
Iyi gahunda y’inkunga yari mu gaciro ka Miliyoni 112.6 z’amayero! U Rwanda rukaba...
Perezida wa Repubulika y’u Rwanda Paul Kagame yatangaje ko umuntu wirengagiza ko umutwe w’iterabwoba wa FDLR uriho, kandi uteje ikibazo aba yirengagije amateka y’u Rwanda.
Yavuze ko ibyo u Rwanda rutazabyihanganira na gato, anasaba ko Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo (RDC), iwucumbikiye...
Perezida wa Congo Brazzaville Denis Sassou-Nguesso aratangaza ko nta mpamvu n’imwe yo gufatira u Rwanda ibihano, kubera urwitwazo rw’Intambara ibera mu Burasirazuba bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo-DRC ihanganyemo n’umutwe wa M23.
Mu kiganiro yahaye Televiziyo France 24 ku mutekano...
Hello guys, kati ya nchi ambazo natamni kwenda ni rwanda kiukweli moyo wangu unaniambia ntafanikiwa nikiwa kule mwenyeji anipe basi maelekezo nianzie wapi mi nikifika huko kazi yoyte ntapiga mhimu iwe legally ata viabarua2
Kama kawaida waafrika ni watu wanaopenda kutafuta visingizio kwa matatizo yanayowakabili ambazo mara nyingi wanajiletea wenyewe.
Mfano mzuri ni mgogoro uliopo nchini Congo unaohusisha serikali ya nchi hiyo na waasi wa M-23 ambao wengine wamekuwa wakidai kwamba huchochewa na wazungu japo hawatoi...
Wateja wakubwa wa bidhaa zote za Rwanda kuanzia madini, kahawa hadi chai kwa nje ya Waafrika ni Waarabu wa UAE na China. Katika kelele zote za Congo kutaka watu wasitishe kununua bidhaa za Rwanda wanazipigia nchi za Ulaya na Marekani! Huu mbona kama ni mkanganyiko!
Kwa nini Congo isiwabane UAE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.