sabaya

Sabaya is a small town in the Bolivian Oruro Department. In 2001 it had a population of 573 inhabitants in 2001. Sabaya is the administrative center of the Sabaya Province and the Sabaya Municipality alike. It is located 200 km south-west of Oruro, the capital of the department. It is situated at 3,698 m above sea level in the valley of the Sabaya River on the eastern slopes of Pumari (4,787 m). Salar de Coipasa lies 25 km south-east of Sabaya, and the stratovolcano Tata Sabaya (5,430 m) is situated 20 km south-west of Sabaya.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Ole Sabaya bado hali ngumu: DPP amkatia rufaa kwenye kesi ya kwanza

    Hii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda . Tuendelee...
  2. JanguKamaJangu

    Mahakama yamuachia huru Lengai Ole Sabaya, yasema ushahidi wa Jamhuri una utata

    Hatima ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi inatarajiwa kujulikana leo Juni 10, 2022. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha iliyokuwa ikisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 27/2021 imepanga kwa mara ya pili kutoa hukumu hiyo...
  3. GENTAMYCINE

    Hivi yule Sabaya tuliyeambiwa majuzi kuwa anaumwa sana anatakiwa kufanyiwa Oparesheni ndiyo wa jana aliyekuwa na Furaha vile?

    Endeleeni tu kutufanya Mangumbaru ( Wajinga ) na Wapumbavu ( Mapopoma ) kwa kila mara kutufanyia Maigizo yenu wakati tunajua kuwa mnataka kumuachia ila kwakuwa mmeshajua kuwa ana Hoja nzito, mlimuonea hivyo sasa mnatafuta Mazingira ya Kumuachia ili yaishe na msionekane kama mlikuwa mnamkomoa tu...
  4. captain dunga

    Simon Simalenga, hujifunzi kwa Sabaya? Kila lenye mwanzo lina mwisho

    Habari zenu ndugu zangu. Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA. Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi. Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu...
  5. S

    Utabiri: Sabaya atafutiwa kesi zake zote, na kisha Mama atasifiwa kwa kuwa msikivu na mpango wa Mama kuonekana ana ubinadamu utakuwa umetimia

    Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za Bongoland na jinsi watawala wa awamu iliyopo wanavyofanya mambo yao, basi utagundua kile kilio cha kina Mama kinaweza kuwa ni tukio la kupangwa ili baadae jambo hilo lifanyiwe kazi na kisha zianze sauti za kusifu na kupongeza pale kijana atapoachiwa huru...
  6. Michael mbano

    Sabaya anaonekana kama mtu anayejuta na aliyejawa kisasi

    Nimemfahamu sabaya mara alipata mamlaka nikawa naona mwonekano wake wa kujiamini akiwa ktk utendaji na mahojiano kwenye vyombo vya habari. Lakini mwonekano wa sasa kwa macho namwona akiwa ktk hali tatu. Anajuta sana, amejifunza maisha halisi ya kitaa na mwonekano mwingine anaonekana mwenye...
  7. M

    Mnaomshinikiza Rais Samia amuachie huru Sabaya acheni, Mwacheni Sabaya avune alichopanda!

    Zimekuwepo kampeni za wazi mitandaoni za kumblackmail mhehimiwa rais kumtaka amuachie huru Sabaya. Wanaofanya haya wanatumia mbinu ya mashambulizi ya kisaikolojia ili kumfanya mheshimiwa rais ajisikie hatia kwa uwepo wa sababya ndani na hivyo kuchukua uamuzi wa kutumia ushawishi wake kumfutia...
  8. GENTAMYCINE

    Kama Rais anataka Kumsamehe Sabaya atoke aliko amsamehe, ila haya Maigizo ya Kitoto Mahakamani wenye akili tumeyachoka

    Tunajua kuwa Sabaya ambaye mwanzo alikuwa 'Defiant' mbele ya 'Mamlaka' sasa 'ameufyata' na kulazimishwa na Watu wa 'Kitengo' aombe Radhi ili afikiriwe na asamehewe kisha 'Muigizaji' wa Sinema aendelee tu kupata 'Credits' kwa Kazi nzuri. Siku zote Sabaya huwa akipelekwa Mahakamani hatuoni...
  9. BigTall

    Sabaya afikishwa Mahakamani, Mawakili wake wasema Sabaya ni mgonjwa, yaahirishwa hadi Juni 20, 2022

    KESI ya uhujumu uchumi na rushwa inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, itatajwa kwa mara ya pili leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi. Ole Sabaya na wenzake, ambao ni Sylvester Nyegu, John Aweyo, Nathan Msuya na Antoro Assey...
  10. Determinantor

    Wapigaji wamgeuza Sabaya fursa

    Baada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa. Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na...
  11. DR HAYA LAND

    Mwanamke kama wa Sabaya ndio namtaka, anayehangaika na wewe hadi kwenye changamoto

    Huyu Jamaa kapata mwanamke mzuri na mimi i wish to get such Woman. Mwanamke anayekomaa na we A part of challenges u face she is right woman. Nb simpendi Sabaya ila napenda nipate mwanamke kama wake. Sabaya hela zake zipo with-held zote since awe under custody (Arrested) so Mtu asinimbie habari...
  12. K

    Naiomba Serikali ifuatilie utakatishaji wa pesa unaofanya na watu wanaojiita Mawakili wa Sabaya

    Isionekane kama ushauri wangu huu ni sababu ya chuki dhidi ya jambazi sabaya lakini ukweli uko wazi kuna njama ya kutakatisha mamillion ya pesa yaliyotokana na ujambazi wa wazi wazi uliofanywa na Sabaya enzi za utawala wa kayafa kupitia mbinu ya michango ya wananchi kugharamia gharama za kesi...
  13. Tajiri Tanzanite

    Tumaini Kweka akemewe aache kutumia kodi za Wananchi kumtengenezea Sabaya kesi za mchongo ili apige pesa

    Hapo vip!! Leo natua kwa huyu mtu anaitwa Tumaini kweka ambaye ni naibu DDP wa serikali,kwanza sitaki nimjue sana kwa sasa napata kichefu chefu. Niwazi huyu mtu amemgeuza Sabaya kama project ya kujitengenezea pesa kutoka katika kodi za wananchi pasipo Samia kujua hilo.Wananchi na wanaccm...
  14. Tajiri Tanzanite

    Free Sabaya

    Binafsi kama mwanaccm hichi kitendo anachofanyiwa Sabaya kinaniuma sana na nikitendo cha udhalilishaji kwa vijana wanaopigania chama kwa kujitoa muhanga. Sabaya katika uongozi wake amekuta wilaya ya Hai inawakwepa kodi kibao, kiasi kwamba wilaya ile ilikuwa karibia ya 200 katika swala la...
  15. GENTAMYCINE

    Hivi huyu Sabaya si ndiyo alijifanya 'Mjanja' na 'atatoka' tu, sasa hivi anaomba "poo' ya nini?

    Mwambieni aanze sasa Kuyazoea Maisha ya Jela kwani alidhani alivyoipangua ile ya Kwanza ndiyo atazipangua zote? Halafu mwambieni kinachomponza hata asisaidiwe na waliom 'fix' huko ni Kauli zake kuwa akiachiwa Huru tu atakuja Kukinukisha ( yaani Kuchafuwa Hali ya Hewa siyo ya Kujamba ) kwa...
  16. N

    Kwanini Tumaini Kweka afanya majukumu ya Mwendesha Mashtaka wa Mkoa na Wilaya katika kesi za Sabaya? Je, ana maslahi binafsi?

    Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani. Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka...
  17. I

    Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

    Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
  18. kmbwembwe

    Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

    Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao. Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo. Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na...
  19. Idugunde

    Sabaya komaa mpaka mwisho, usitume viongozi wa dini kuomba msamaha

    Mwamba wa Chadema alijifanya nunda lakini mwisho wake alituma viongozi wa dini ili wamchomoe na akalia sana kwa hudhuni ya huruma. Sasa hivi habari ya katiba mpya na kudai haki za wanyonge amesahau amebaki kuhudhuria live concert sababu yeye ni Deejay
  20. voicer

    Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

    Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha. kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa. Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa...
Back
Top Bottom