Nyamko Ana Sabuni (born 31 March 1969) is a Swedish politician who has been Leader of the Liberals since June 2019. She previously served as Minister for Integration from 2006 to 2010 and as Minister for Gender Equality from 2006 to 2013 in the Swedish government. A member of the Liberal Party, Sabuni was elected a Member of Parliament in 2002. Sabuni made history in June 2019 by becoming the first party leader in the Swedish parliament coming from an ethnic minority and the first party leader of a refugee background.
Kuna mtangazaji Nguli, mwanadada Glory Robinson wa kipindi Cha Showtime wakiwa na kidebway na Bonanza sehemu ya pili sijui alipoteleaga wapi tangu alivyokuwaga RFA. Sijawahi isikia sauti yake sijui Yuko waapi, anayejua alipo...... Pls anijuze.
Caustic Soda kilo 3, Mafuta ya mawese lita 20, Sodium Silket, Maji lita 10, Rangi ya bluu 100gram.
Jinsi ya kutengeneza hatua kwa hatua
1)-Chukuwa caustic soda changanya na maji na uanze kukoroga kuelekea upande mmoja endelea kufanya hivyo hadi vichanganyikane vizuri baada ya hapo iache kwa...
Wakuu kichwa habari kinasomeka, nimeamua kujikwamua kwa kuanza kutengeza sabuni za miche, changamoto kuu nayoipitia ni upatikanaji kwa malighafii hii kwa gharama kubwa hasa ya mafuta.
Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa.
Msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya...
NATURAL SKIN SOLUTION
IMANI YETU
Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa kadri inavyowezekana
Katika kufikia lengo hili , CEO atajikita kufanya maamuzi ya aina mbili;
Moja...
Na Gordon Kalulunga
Watu wa Nyikani wanatuonya kuwa hatupaswi kuficha Sabuni kwenye Maji maana itayeyuka.
Na anayeshangaa kutokuta Sabuni ndani ya Maji bali kuona povu wakati yeye aliificha hiyo Sabuni kwenye Maji nasi tunamshangaa.
Katika suala la mmomonyoko wa maadili serikali ilificha...
Na Gordon Kalulunga
Watu wa Nyikani wanatuonya kuwa hatupaswi kuficha Sabuni kwenye Maji maana itayeyuka.
Na anayeshangaa kutokuta Sabuni ndani ya Maji bali kuona povu wakati yeye aliificha hiyo Sabuni kwenye Maji nasi tunamshangaa.
Katika suala la mmomonyoko wa maadili serikali ilificha...
Habari wana jamii forum.
Naomba kupata msaada wa Mawasiliano ya mtu au kiwanda / agent yeyote anayeusika na utengenezaji wa materials za Box kama za kutengeneza cattons za sabuni ya mche.
Mfano wa Box.
Asante
Mwenyekiti wa Mtandao wa Askari Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Afisa Mnadhimu namba moja Mkoa wa Mbeya ACP Christina Musyani, Machi 06, 2023 amewaongoza Askari Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya kuwatembelea na kutoa zawadi kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na Msingi zilizopo katika...
JIFUNZE KUTENGENEZA SABUNI ZA MAJI
Katika harakati zetu za utafutaji wa pesa leo ninaomba tuzungumzie kuhusu utengenezaji wa sabuni.Sabuni hizi unaweza kuzitumia katika kufulia,kuogea,kuoshea vyombo na kusafishia chooni.Sabuni hizi unaweza kutumia kwa matumizi yako ya nyumbani au kuuza maeneo...
Tunauza sabuni za magadi kutoka Kigoma kwa bei ya jumla na rejareja.
Tsh 29,000 Ukichukua carton zaidi ya 25 ni, na Tsh 30,000 kwa carton 1-25.
Tunapatikana Kinyerezi Mwisho, Dar es Salaam. Tunafanya delivery ndani na nje ya Dar es Salaam.
Unapochukua carton 100 au zaidi utaletewa sabuni...
Weka order yako chap, sio siku nzima unashinda kufanya usafi ndani (super ten inakurahisishia kusafidha nyumba), jamani masofa na ma kapet sio unakaa na sofa au kapeti linejaa vumbi, madoa ya vyakula au yamegina tuna sabuni spesho kwa makapet, masofa na viti.
Kufua sio siku nzima wewe ni kufua...
Wadau,
Nitaji kupata kwa wingi na kwa bei ya jumla sabuni za magadi (pichani), kama unajua chimbo au unauza kwa bei nzuri naomba ni pm. Pia natafuta watu wenye ujuzi wa kutengeneza sabuni hizi.
Kwema wananzengo?
Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja!
Asanteni
Usiku mwema!
Urari wa biashara kati ya Tanzania na Kenya umeimarika sana. Leo niliona bungeni Rashid Shangazi akiliongelea hili nikaona nijiridhishe.
Kulingana na data za benki kuu ya Kenya kuishia mwaka jana Tanzania iliuza Kenya bidhaa zenye thamani ya trilioni 1.15 huku yenyewe ikinunua zenye thamani ya...
Wanajamii, wasalaam
Nina ndoto ya kufungua biashara ya sabuni za kufulia kwa maana ya kufungua kiwanda. Kwenye tafiti nilizofanya kwa maana ya mashine/ mtambo toka chini itaigharimu kama milioni mia moja kuanza biashara hii. Naomba kama kuna aliyepo kwenye biashara hîi tayari anisaidie a,b,c...
Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei, tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi March na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi May.
Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.