sabuni

Nyamko Ana Sabuni (born 31 March 1969) is a Swedish politician who has been Leader of the Liberals since June 2019. She previously served as Minister for Integration from 2006 to 2010 and as Minister for Gender Equality from 2006 to 2013 in the Swedish government. A member of the Liberal Party, Sabuni was elected a Member of Parliament in 2002. Sabuni made history in June 2019 by becoming the first party leader in the Swedish parliament coming from an ethnic minority and the first party leader of a refugee background.

View More On Wikipedia.org
  1. Christopher Wallace

    Hizi sabuni za imperial siku hizi tunapigwa

    Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
  2. Jumanne Mwita

    Jifunze namna ya kutengeneza sabuni za maji, kufulia, shampoo, sabuni za miche na chooni

    UTANGULIZI: SURA YA KWANZA UTENGENEZAJI SABUNI ZA MAJI SABUNI ZA KUNAWIA MIKONO SABUNI ZA CHOONI SABUNI ZA KUFULIA SHAMPOO UTENGENEZAJI SABUNI ZA MICHE MAFUTA YA MGANDO (Kupaka ) SEHEMU YA PILI UTENGENEZAJI WA : BATIKI AINA ZOTE UTENGENEZAJI VIKOI SHANGA, HERENI, BANGILI UTENGENEZAJI ZURIA...
  3. M

    Uchanganyaji wa sabuni ya maji

    Wanajamii, Leo nimeona nitoe kero ambayo nimekuwa nikikutana nayo maeneo mengi hata ya serikali. Wanachanganya sabuni ya kunawia na maji. Nafikiri lengo la wachanganyaji ni ili isiishe mapema bila kujua inaweza isiwe inakamilisha lengo. Hivi hawa wachakachuaji wanatumia mwongozo Gani? Na...
  4. GENTAMYCINE

    Kuna Klabu ya Tanzania Bara imerejea leo imeacha Zanzibar 'Kashfa' ya Wachezaji kuchafua Maliwato, Kuiba Mito, Mashuka na Sabuni zao

    Na ole Wenu Watangazaji wa Vipindi vya Michezo vya Redio nchini Tanzania Kesho Jumatano tarehe 12 January, 2022 ( Mapinduzi Day ) misiwasikie mkiizugumzia hii kwani imeshaenea na Kusambaa mno huko Isles ( Zanzibar ) Na yawezekana Wachezaji wake wengi ( hiyo Klabu ambayo GENTAMYCINE bado...
  5. JF Member

    Kila kitu bei juu; Hadi Soda na Sabuni

    Maisha yanapanda kwa kasi Sana. Kila kitu bei juu! Nimeshangaa kipande cha Sabuni sasa ni 600 badala ya 500. Soda sasa ni 600 badala ya 500. Maji nayo yamepanda bei. Huduama za kijamii nazo zinasuasua Watawala mtuhurumie.
  6. Morg

    Ni sabuni gani nzuri ya kuogea mwanaume

    Ni sabuni gani nzuri ya kuogea mwanaume kwa ngozi pia na yenye Harufu nzuri sana Nawasilisha
  7. Dr. Zaganza

    Partner Anahitajika Katika Mradi Wa Mafunzo Ya Sabuni Papo Kwa Papo

    Asilia Natural Cosmetics tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 5 katika kuendesha mafunzo kwa vitendo ya bidhaa za nyumbani. Na sasa tumekuja na formula rahisi ya kuwezesha uzalishaji wa sabuni ya kipande papo kwa papo bila kusubiri masaa 24 wala kutumia jiko, wala kutumia mashine. Hivyo, tunahitaji...
  8. Dr. Zaganza

    Tengeneza Aina 10 za Sabuni ya Kipande, Papo Kwa Papo bila Mashine

    Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa
  9. Mr No fair

    Je, unajua hakuna sabuni nzuri katika mwili kama sabuni za mawingu?

    Je, unajua hakuna sabuni nzuri katika mwili kama sabuni za mawingu? Najua utauliza kivipi je unafahamu sabuni ya magadi haina expire date za sabuni zingine ? Uzuri wake unaanzia hapo Ogopa sana bidhaa ambazo baada ya muda Fulani unaambiwa eti haifai kwa matumizi na LA kujifunza hakuna sehemu...
  10. guwe_la_manga

    Nitazipatia wapi sabuni za miche za poa za kampuni ya MeTL kwa bei poa?

    Nipo Mkoani Simiyu Wilaya Ya Meatu. Huwa nanua sabuni hizi kwa bei kati ya 10500,10800 au 11000. Hizi bei na karibu katika maduka yote ya jumla jumla hapa Mwanhuzi. Ningependa kudeal na ununuzi na uuzaji wa sabuni hizi peke yake kwa ujumla na kisha kuziuza mwenye rejareja huko vijijini. Ni...
  11. Dr. Zaganza

    Nahitaji Wazalishaji wa Sabuni na Lotion waliosajiliwa TBS

    Habari wakuu, Nimepata soko la supermarkets, kwa kuanzia bidhaa ziwe na TBS kama kigezo cha kwanza. Bidhaa ziwe Sabuni,Lotion, shampoo,mafuta ya nywele na steaming. Zizalishwe Tanzania. Piga 0713 039875 Kwa maelewano zaidi
  12. M

    Ikitokea DC Sabaya akasafishika vyema na kutakata vilivyo kwa Sabuni nzuri ya Haki tuliomshadadia tutaficha wapi Minyago yetu?

    Leo Krav Maga niliamua kujipa tu Kazi binafsi ya kupitia Maamuzi ya Uchunguzi ya waliowahi kuwa Viongozi Serikalini katika Tawala mbalimbali ili Kujiridhisha na hili la aliyekuwa DC wa Moshi Ole Sabaya. Nilichokigundua tu ni kwamba kati ya Watu kama nane ambao Marais waliwasimamisha Kazi...
  13. mathsjery

    Huyu na Yule (Lyrics) - Fid Q

    Huyu na yule Huyu faida yule bure Huyu na yule Ee hee ee hee ee hee ee hee Huyu na yule Huyu faida yule bure Huyu na yule Ee hee ee hee ee hee ee hee Mmoja anaingia mmoja anatoka Huyu kazi anaililia yule kaichoka Mmoja anazaliwa mmoja anakufa Shimoni anafukiwa kwani ni ruksa Viumbe hawa...
  14. R

    Msaada utengenezaji sabuni za mche Arusha

    Habari wakuu. Naomba yeyote mwenye biashara ya kutengeneza sabuni za mche hapa Arusha tuwasiliane anipe ujuzi. Kama upo Arusha au una contact za mtu aliye Arusha naomba msaada wako. Natanguliza shukrani.
  15. Greatest Of All Time

    Unatumia sabuni gani kuogea?

    Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana. Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama...
Back
Top Bottom