safi

Sāfī (Pashto: ساپی‎ Sāpai; plur. ساپي Sāpī) is a major branch of the greater Ghurghakhti Pashtun tribe. The Safi tribe comprises a majority in the Pech Valley of Kunar and are present in significant numbers in Parwan Province (Kohi Safi), Kapisa Province, Kabul Province, Laghman Province, Nuristan Province and the whole of Kunar Province. A reasonable majority also resides in different urban and rural areas of Khyber Pakhtunkhwa, particularly Peshawar, Charsadda, Mardan, Nowshehra, Swabi. A large number also settled in Rawalpindi, Tarnol, Karachi,Lahore, Multan. They are also present in large number in Mohmand, Bajaur Agency, Federally Administered Tribal Areas and in Zhob District, Balochistan, Pakistan.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Vijiji Vyote 68 Vina Miradi ya Maji Safi na Salama

    MUSOMA VIJIJINI - VIJIJI VYETU VYOTE 68 VINA MIRADI YA MAJI SAFI NA SALAMA Miradi hiyo ya maji iko kwenye hatua mbalimbali kama ifuatavyo: *Vijiji 2 vinatumia maji ya visima virefu *Vijiji 32 tayari vinatumia maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria. Usambazaji unaendelea ndani ya vijiji hivyo...
  2. J

    Hayati Magufuli aliwahi kumfunga kiongozi yoyote kutokana na ubadhirifu kwenye ripoti ya CAG?

    Sifurahishwi na ubadhirifu unaoonyeshwa kwenye ripoti za CAG wala siutetei kwa namna yoyote ile Lakini nataka kusema tuache siasa na unafiki, ama hata ripoti za CAG zinaweza kuwa zinatolewa kisiasa kama tunazijadili kisiasa Kuna baadhi ya watu ambao wamekosa hoja ya kutetea siasa zao...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mkataba wa Bilioni 4.7 Wasainiwa Kuleta Maji Safi na Salama Kata ya Mugango na Tegeruka Jimbo la Musoma Vijijini

    MKATABA WA SHILINGI BILIONI 4.7 KUWAFIKISHIA WANANCHI MAJI SAFI NA SALAMA KATA YA MUGANGO NA TEGERUKA WASAINIWA WIZARA ya Maji imemtaka mkandarasi kampuni ya Kiure Engineering L.T.D. kukamilisha kazi ya mradi wa Maji Kata ya Mugango na Tegeruka kwa kuzingatia muda wa mkataba. Kauli hiyo ya...
  4. Stephano Mgendanyi

    Dira ya Taifa ya Kuhamia katika Nishati Safi ya Kupikia Kuzinduliwa Mwezi Juni 2023

    DIRA YA TAIFA YA KUHAMIA KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUZINDULIWA MWEZI JUNI Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba ameeleza kuwa, mwezi Juni mwaka huu utafanyika uzinduzi wa kitaifa wa Dira ya Taifa ya kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia na Mpango Mkakati wa utekelezaji wa...
  5. Titho Philemon

    Siasa safi itatokana na uzalendo wa kitaifa wa wanachama na siyo matakwa ya wenye Chama

    Licha ya uhuru wa kisiasa uliopo nchini kwa sasa ni mapema sana kusema kwamba hali ya siasa imeshakuwa shwari. Siasa inayoendelea hivi sasa ni ile ya kuvuta utayari na kuwaaminisha watu kuwa kuna kile walichokimis ambacho kimsingi kwa sasa wanapaswa kukitarajia. Hii hali ni hatari katika siasa...
  6. S

    Nchi Bora viongozi Bora siasa safi

    Sasa ni wazi kuwa katika ukanda Wa maziwa makuu Tanzania ndio nchi yenye viongozi Bora siasa safi. Hakuna mtu anayeweza kubisha juu ya hili.nchi hii sasa inafaa kwa kuishi Tanzania Ya sasa ina mpa kila mtu na fasi ya kuishi bila Hofu. Ulinzi umeboreshwa kwa kila mtu.shule hospital...
  7. NetMaster

    Umewahi kushuhudia msela kabwela, kajamba nani, maisha Uswahilini ana date na mtoto mkali wa ushuani ?

    Kiuhalisia haya mahusiano yapo tukiweka kando Bongo movie, bongo flava na ndumba ? Tuweke kando madenti wa sekondari hawa kuwapata ni rahisi lakini kwa sheria za sasa ukiingia kichwa kichwa unapigwa mvua ya kutosha. uliwahi kushuhudia ama wewe kuwa mhusika, mtoto mkali wa ushuani kadata na...
  8. M

    Mangungu karudi safi sana, mingine minne ya maumivu kwa mtani

    Ni mwenyekiti tuliyemtaka aendelee kuhudumu pale ukoloni na tumefanikiwa pakubwa, Wanayanga endeleeni kutembea kifua mbele kikubwa ni kutengeneza kabati jingine la makombe, mission imekamilika usiniulize imekamilikaje👏👏👏👏.
  9. and 300

    Uarabuni maisha safi

    Ukifika Saudia, Kuwait, Qatar, Oman l, Bahrain na UAE (Dubai, Sharjah ama Abu Dhabi) utakubali kuwa zile nchi zimebarikiwa. Mfanya usafi Msikitini analipwa yapata 5m TZS Kwa mwezi (na hakuna Kodi).
  10. The Spirit of Tanzania

    MORUWASA hivi haya ndio maji safi mnayosambaza manispaa ya Morogoro?

    Naambatanisha picha na video. Je, haya ni maji safi na salama kutumia?
  11. Magodoro delivering ulipo

    INAUZWA Karibu ujipatie godoro lako

    Ni muuza magodoro hapa. Nimefurahi kukutana nanyi jukwaani.. Nashukuru sana. Karibu ujipatie godoro lako. Tupo kariakoo dar es salaam 0712082915 Whatsapp 0684943062 KARIBUNI SANA
  12. T

    DOKEZO Malalamiko yanayotoka ndani ya DAWASA

    Nawasalimu katika Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, DAWASA ni Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira mkoa wa Dar es salaam pamoja na baadhi ya maeneo ya Pwani. Nianze kwa kupongea juhudi inafsi zinazofanywa na serikali yetu ya kumtua mama ndoo kichwani, na juhudi za kuhakikisha kua...
  13. G

    Car4Sale Fuso inauzwa Dar, Shekilango

    Engine na kila kitu viko safi sana. Napatikana kupitia hii # 0752725614
  14. N

    Safi Sana Mzee Makamba!

    Hivyo ndivyo yanavyopaswa kujibiwa maswali ya kipashkuna, Hivyo ndivyo anavyopaswa kujibiwa mwandishi anayesukumwa na wambea wa mitandaoni, a.k.a haters badala ya utaalamu wa taaluma yake. Hivyo ndivyo wanavyapswa kujibiwa haters wa makamba wote waliopo humu mitandaoni ambao masikio...
  15. Fantastic Beast

    Hakuna kundi lililo safi ndani ya CCM, kwa sasa wanachafuana wenyewe kwa wenyewe

    Sasa ni rasmi ndani ya CCM kuna makundi 2 makubwa, lililo madarakani (Team ⁉️⁉️) na lile lililoondolewa madarakani (Team JPM✔️). 🩸Bashiru akiwa katibu mkuu CCM aliweza kugundua jinsi baadhi ya wanachama wahuni walivyokua wanajinufaisha binafsi na mali za chama. 🩸Ufanisi na uzalendo uliotukuka...
  16. Mukulu wa Bakulu

    Wakuu tutafte hela, huyu dingi anakula mali safi, anaendesha Range Rover.

    Mzee anasukuma hii mali safi kabisa.
  17. J

    Nyama Safi kabisa ya Kitimoto (my wetu) Imeandaliwa vizuri

    Nyama Safi kabisa ya Kitimoto (my wetu) Imeandaliwa vizuri imeshatolewa mafuta na ngozi ya juu! Kwa wakazi woote wa wilaya ya kinondoni mnafikiwa chap kwa haraka!! Nipe order yako mapema nikuletee Kilo 1 tsh 11,000 tu!! Free delivery nakuletea Hadi barabarani! Fanya kutupigia ujirambe aisee...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi, haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali

    Kiuhalisia nishati safi ni nafuu kuliko kuni na mkaa. Gharama tunayonunulia mkaa na kuni siyo halisi. Hiyo siyo bei yake halisi. Gharama za kuukuza mti ni kubwa kuliko hiyo bei tunayonunulia. Lakini pia bei ya mkaa na kuni hailingani na athari za ukame tutakazolipia huko mbele na tunazolipia...
  19. BARD AI

    Rais Samia ataka kikosi kazi cha nishati safi ya kupikia

    Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza kuanzishwa kwa kikosi kazi kitakachoshughulikia nishati safi ya kupikia, lengo likiwa kuanzisha safari ya kulitoa Taifa kwenye matumizi ya nishati isiyofaa. Kikosi kazi hicho ambacho hakitakuwa cha Serikali pekee, kitahusisha pia sekta binafsi na wadau wa...
  20. Roving Journalist

    Rais Samia: Lita Milioni 70 za Maji kutoka Kigamboni ziingizwe Dar es Salaam kusaidia upungufu wa Maji

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Kongamano la Kitaifa la Nishati Safi ya Kupikia, Leo Novemba 1, 2022 Prof. Anna Tibaijuka Mbunge mstaafu Profesa Anna Tibaijuka amesema Watanzania wengi wanafahamu umuhimu wa gesi lakini bado wanalazimika...
Back
Top Bottom