Sāfī (Pashto: ساپی Sāpai; plur. ساپي Sāpī) is a major branch of the greater Ghurghakhti Pashtun tribe. The Safi tribe comprises a majority in the Pech Valley of Kunar and are present in significant numbers in Parwan Province (Kohi Safi), Kapisa Province, Kabul Province, Laghman Province, Nuristan Province and the whole of Kunar Province. A reasonable majority also resides in different urban and rural areas of Khyber Pakhtunkhwa, particularly Peshawar, Charsadda, Mardan, Nowshehra, Swabi. A large number also settled in Rawalpindi, Tarnol, Karachi,Lahore, Multan. They are also present in large number in Mohmand, Bajaur Agency, Federally Administered Tribal Areas and in Zhob District, Balochistan, Pakistan.
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 1-2 Novemba 2022.
#pikia #gesi #nishati #safi #LPG #mkaa #wa #mawe #acha #kuni #mkaa #wa #miti #tunza #misitu
Wizara ya Nishati imetangaza kuandaa kongamano la nishati safi ya kupikia yaani ‘Clean Cooking Conference’ ili kuchunguza vikwazo vinavyodumaza matumizi ya nishati za kisasa za kupikia.
Kongamano hilo linalenga kupendekeza mikakati ya kufanikisha upatikanaji wa nishati safi, za bei nafuu na...
Wizara ya Nishati imetangaza kuandaa kongamano la nishati safi ya kupikia yaani ‘Clean Cooking Conference’ ili kuchunguza vikwazo vinavyodumaza matumizi ya nishati za kisasa za kupikia. Kongamano hilo linalenga kupendekeza mikakati ya kufanikisha upatikanaji wa nishati safi, za bei nafuu na...
Naomba kuwapa taarifa kuwa nina Laptop nzuri tu ambazo zimetuka na nauza kwa bei simple kabisa!
Bei yangu simple sana
1. Lenovo T430
Processor: Interl Core i5 @2.60GHz (4 CPUs)
Memory: 6G RAM
Storage: 500 GB HDD
Battery 🔋: 4 Hours
Display size 14 Inch
Second Hand
Tsh 350,000/=
2. Lenovo T440...
Wanabodi,
Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote...
Kusema la kweli hali mtaani imekuwa hatari, nimeshuhudia biashara nyingi zinafungwa, kuna mshikaji wangu alikuwa na office ya uwakala mitandao ya simu, kafilisika kabisa kafunga banda lake miezi 3 inaisha sasa, mpaka majani yameota, niliwekeza kwenye baadhi ya biashara kwa mfano nilifungua...
KUPIGA MSWAKI, SAYANSI NA UTARATIBU? AU SHAGHALABAGHALA ALIMRADI MENO YAWE SAFI?
Wote tunaweza kukubaliana kuwa kupiga mswaki ni kati ya zoezi rahisi sana kufanya mithili ya kunywa maji au uji, lakini licha ya zoezi hili kuwa rahisi bado magonjwa ya kuoza kwa meno na magonjwa ya fizi yamekua...
Katika Maisha ya kila siku, Maji hayawezi kutenganishwa na Usafi kwani vyote vina umuhimu mkubwa hususan katika Masuala ya Kiafya.
Ugonjwa wa kuhara pekee unakadiriwa kusababisha vifo vya maelfu ya Watoto kila mwaka. Wengi wao ni walio na umri chini ya miaka mitano wanaoishi katika Nchi...
Watu Bilioni 1.42 Duniani wakiwemo Watoto Milioni 450 wanaishi katika maeneo yenye hatari kubwa ya upatikanaji wa Maji. Kwa mujibu wa Takwimu za Umoja wa Mataifa, uhaba wa Maji unaathiri zaidi ya 40% ya Watu wote
Watu 3 kati ya 10 wanakosa Huduma za Maji safi na salama ya kunywa. Pia Takwimu...
Nawasalimu wote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania!
Awali ya yote nipende kumshukuru mwenyezi Mungu kwa afya njema anbayo imenipa fursa hii ya kuandika haya kwa manufaa ya ustawi wa nchi yetu Tanzania na dunia kwa ujumla.
Bila kupoteza wakati, suala la afya bora na mazingira safi ni...
Moja kati ya mambo yanayofanya uongozi wa nchi yoyote upendwe ni jitihada za wazi za kustawisha maisha ya wananchi, kutatua kero zao na kutekeleza maono yenye dhamira njema na (1/4) maisha ya watu.
Makusanyo ya Halmashauri yamezidi malengo kwa mara ya kwanza katika miaka 10 iliyopita...
Kwakuwa Serikali ya CCM inabebwa na public servants ila kwà niliyoyasikia jana CCM msije mkaiba kura, mama ni mwanamke wa kiislam msimchonganishe na MUNGU wake!
Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.
Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una...
Ripoti za ndani kabisa zinaonyesha kuwa hakuna kampuni yoyote ile iliyopokea mkopo wa bil 46 ili iweze kujenga kiwanda cha saruji huko Lindi.
Ripoti za ndani zinaonyesha wewe ukiwa waziri wa nje ulifanya janjajanja na hizo pesa zikakwapuliwa na hata huyu muwekezaji Meis industries hakupata...
Waafrika Kusini wameanza kujitambua, Operation Dudula inawataka wageni wote walioko illegally waondoke.
AK wameanza kujitambua!
Bango linasomeka“ wageni ni mzigo kwenye nchi yetu, wakwende“ !
Kwa Shuhuri yoyote iwe Harusi, Msiba, Kitchen Party, Send-off, Graduation na Chochote kile kitakachoitaji uwepo wa chakula kupikwa na mpishi.
Mpishi lazima azingatie Usafi, Ubora na Ladha Nzuri Ya Chakula kwa Mteja wake Na Kubwa Zaidi Kwenda Na muda kweny Kupika Chakula, Hivyo chakula inabidi...
Leo niko huku kanda ya ziwa Mwanza.
Nitakuwa huku kwa siku tatu,kwa wenyeji wa Mwanza ni sehemu gani unaweza kupiga bia vizuri huku ukizungukwa na totoz nyingi za maana,nimezoea sana maisha ya Dar.
Kwa mwenye ufahamu adondoshe comment.
Karibuni.
Karibu wapendwa tujenge taifa pamoja.
Tuna viwanja vizuri Sana Msumi mwisho.
Vimekaa vizuri Kama unavyoona kwenye picha.
BEI yake ni rafiki kiwanja Cha 20X20 ni milion 10..ILA maongezi yapo( Desturi yetu watanzania lazima tuongee na tuelewane.)
Kwa wenye kuhitaji mawasiliano - Direct...
Iko hivi, Marekani kwa kutaka kuikomoa Urusi wakapata mawazo ya kugomea kununua mafuta Yao. Lakini kabla hawajafikia muafaka wa kugomea mafuta ya Urusi wakaona watafuta chanzo mbadala Cha mafuta. Hapo ndio wakapata wazo la kuiomba Venezuela kwa Raid Maduro waweze kuànza téna kuchukia mafuta huko...
Awanu ya sita ni awamu ya Katiba, ni ushahidi tosha kuwa kutii na kuheshimu Katiba ya nchi kunalipa sana. Taifa limevuka salama baada ya kifo cha Mh. Rais Magufuli kwakuwa Katiba yetu haikupepesa macho juu ya Rais ajae baada ya Rais aliyeko kubata bahati mbaya. Katiba yetu ndiyo Nyangumi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.