Kwenye saikolojia ya mapenzi wanaume na wanawake wanapenda tofauti wanaume wengi tunapenda mwanamke kwa muonekano ila wanawake wengi wanapenda wanaume kwa njia tofauti ,cha kwanza uwe unamvutia kihisia yaan bad boy ,
Pili muonekano ingawa ni wachache sana ndio maana unaweza ukawa na muonekano...
KWENYE SAIKOLOJIA YA MAPENZI WANAUME NA WANAWAKE WANAPENDA TOFAUTI WANAUME WENGI TUNAPENDA MWANAMKE KWA MUONEKANO ILA WANAWAKE WENGI WANAPENDA WANAUME KWA NJIA TOFAUTI ,CHA KWANZA UWE UNAMVUTIA KIHISIA YAAN BAD BOY ,PILI MUONEKANO INGAWA NI WACHACHE SANA NDIO MAANA UNAWEZA UKAWA NA MUONEKANO ILA...
Tafti zinaonesha watu wengi wanaopigwa mkwara wa ghafla mbele ya kadamnasi au popote hujamba au kujikojolea!
Je kuna uhusiano gani kati ya hofu au vitisho na kujamba?
1. Ikiwa mtu amekukasirikia na ukatulia, anaweza kuwa na hasira zaidi. Lakini hatakuwa na jinsi zaidi ya kujionea aibu.
2. Ikiwa mtu anaendelea kuzungumza na huwezi kuingia kwenye mazungumzo,jifanye unaangusha kitu chini (ufunguo, kalamu, nk), jifanye unainama ili kukichukua na kuanza...
Katika maisha ya mwanadamu, Kuna vitu 4 vikubwa vinavyompa RAHA/FURAHA ( HAPPINESS).
1. MAPENZI
2. PESA
3.CHAKULA
4. MZIKI
1.MAPENZI; Hii ni furaha ya kwanza kabisa katika maisha ya mwanadamu kuanzia akiwa mtoto mpaka anakufa, mapenzi hayajali hari yoyote, uwe chizi, mgonjwa, masikini au...
Habarini,
Tangu mwanzo nilipomtoa bikra, its one year and a half. Tunapofanya romance naye kabla ya sex (kushikana, kissing) anapata hisia kubwa tu, lakini tunapofanya penetration mara nyingi (sio mara zote) tukimaliza ananiambia huwa hapati hisia yoyote au ya kutosha.
Nikimuuliza kuwa awe...
Ulishawahi kuwa kwenye uhusiano na mtu ambaye mnapendana kwa dhati? Mmeweka mipango ya pamoja na mnapambana kuitimiza. Labda mmeshatambulishana hadi kwa jamii inayowazunguka - ndugu, jamaa na marafiki. Ukiangalia mipango na maisha yako ya baadaye yote imejawa na huyo mtu. Unamuamini kupita...
Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana,kila kundi la binadamu huongozwa na tabia tofauti tofauti,hebu chukulia huu mfano,hujawahi kuta kuna kijana ametoka familia ya kitajiri tu yenye uwezo na ana akili na tabia za wastani.
Au hujawahi ona mdada alikua na mahusiano kwenye ujana wake na wanaume...
Kinacho changia wanawake wengi kuwa katika mahusiano bila ndoa ni tofauti iliyopo katika fikra ya mwanaume na mwanamke wanapo ingia katika mahusiano. Mfano mwanamke aingiapo katika mahusiano na mwanaume,mwanamke hufikiri kuwa hiyo ni hatua ya kwanza kuelekea ndoa,kitu ambacho kwa mwanaume...
Kazi ya kununua nyumba ni kazi rahisi sana ukilinganisha na kazi ya kuuza nyumba hasa kwa wanunuzi wa nyumba wasio wawekezaji.
Ni vigumu kupata wanunuzi wa nyumba kuliko kupata nyumba unayotaka endapo una fedha tayari za kununulia nyumba unayoitaka.
Kwa lugha nyingine, utatumia muda mrefu...
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.
2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya...
Saikolojia ya Mwanamke
Maelezo haya yanatoa mafunzo kuhusu tabia na akili ya mwanamke wakati anapoingia katika mapenzi na mwanaume. Na hasa mwanamke anapokuwa mrembo, fahamu atakujaribu bila hata ya yeye mwenyewe kujifahamu. Ukiweza kufaulu kwenye majaribu hayo, she feels like wow na anaanza...
(usomaji wa dakika 7)
Wangapi wanaweza kukiri kuwa wanahisi wameoa/wameolewa na mtu asiye sahihi?
Basi mimi nipo hapa kutoa ushauri nasaha pamoja na faraja kwenu.
Unajua watu wengi tuna hasira tulizozibeba ndani yetu juu ya mahusiano yetu ya kimapenzi, jinsi mahusiano yetu yalivyoenda.
Leo...
Mashabiki wengi kipenzi wa mpira wapo hatarini kufa au kuathiri afya zao kutokana na magonjwa ya moyo, Kiharusi na matatizo ya kisaikolojia kwa mjibu wa utafiti uliochapishwa katika jarida la Current problem in cardiology na katika jarida la Stress and Health mwaka 2020.

#Picha | Mwanaspoti...
MAHUSIANO YANAVYOATHIRIWA NA MAGONJWA YA HAIBA (PERSONALITY DISORDERS AND RELATIONSHIP)
Habari zenu JamiiForums, hususani jukwaa hili la stories of change. Ni tumaini langu nyote ni wazima
Haiba: Ni urithi au vitu unavyozaliwa navyo na baadhi kutoka kwenye mazingira na kukufanya au kumfanya...
Uraibu upo wa aina nyingi. Kuna uraibu wa pombe, sigara, madawa ya kulevya, na uraibu wa chakula. Leo nitajikita kwenye uraibu wa ngono.
Tofauti na uraibu wa pombe, sigara na madawa ya kulevya ambazo hazimpati yeyote, (sio kila mtu atangukia kwenye raibu hizi) uraibu wa chakula na ngono ni...
Kila mwanadamu ana nafsi (self) ya kipekee ambayo inahitaji mazingira chanya na msukumo wa ndani (internal will) ili kukuwa. Wengi wetu hatuthamini msukumo wa ndani kwenye ukuaji wa nafsi zetu bali tunathamini sana mazingira yetu kama kichocheo namba moja cha ukuwaji wa nafsi zetu. Kwa mtizamo...
Wanasaikologia mpo wapi? Na kama mpo mnafanya nini? Jamii inahitaji msaada kutoka kwenu. Wanasaikolojia ni watu ambao ni muhimu sana katika afya ya kila mtu na hapa nchini huwa tunapokea wahitimu wapya kila mwaka wa masuala ya saikolojia lakini mimi sijawahi waona.
Hivi kwanini tusiwatumie...
Thomas Edison ni mgunduzi na muasisi wa kanuni za msingi za umeme aliyeishi kati ya mwaka 1847-1931. Wakati Thomas akiwa shule ya msingi walimu wake walisema ni mjinga na hana uwezo wa kujifunza hivyo ikampasa Thomas kuacha shule na kurudi nyumbani. Aliporudi nyumbani, Thomas alianza kufundishwa...
Sitaongea mengi sana!
Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!
LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!
WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.