salamu

As-salamu alaykum (Arabic: ٱلسَّلَامُ عَلَيْكُمْ‎, as-salāmu ʿalaykum, [as.sa.laː.mu ʕa.laj.kum]) is a greeting in Arabic that means "Peace be upon you". The salam is a religious salutation among Muslims when greeting, though it is also used by Arabic speakers of other religions, such as Arab Christians, as well as by Muslims generally. In colloquial speech, often only the first part of the phrase (i.e. Salām, "peace") is used to greet a person. The typical response to the greeting is wa ʿalaykumu s-salām (وَعَلَيْكُمُ ٱلسَّلَامُ, [wa.ʕa.laj.ku.mu‿s.sa.laː.mu]), "And peace be upon you, too." The complete phrase is as-salāmu ʿalaykum wa-raḥmatu -llāhi wa-barakātuhū (ٱلسَّلَامُ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَةُ ٱللَّٰهِ وَبَرَكَاتُهُ, [as.sa.laː.mu ʕa.laj.kum wa.raħ.ma.tu‿ɫ.ɫaː.hi wa.ba.ra.kaː.tu.huː]), "Peace be upon you, as well as the mercy of God and his blessings."
This greeting appears in abbreviated forms in many languages as some variant of salām (سَلَام, cf. Persian [sæ.lɒːm]). Among Christians, during Mass, the priest and the congregation often use the salutation, "peace be with you."

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Salamu za Heri zinapoamsha watu kutema Nyongo

    Kuwepo kwa wimbi la hamasa za chuki kujibu salamu za Heri si mambo ya kufumbia macho wala kupiga rungu. Kama taifa, tumefikaje huku? Hoja hujibiwa kwa hoja. Kwa hamasa kali zilizopo kufuatia salamu mbili hizi: Kwa hakika kuna mahali tume furuku kweri kweri. "Hatuwezi kutatua matatizo...
  2. Anna Nkya

    Rais Samia atuma salamu za pole kufuatia kifo cha mzee Kassum

    RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa pole Watanzania, wanafamilia kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha na Utawala wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Waziri Mstaafu wa Wizara tofauti kwenye Serikali ya awamu ya kwanza na pili, Al noor Kassum...
  3. B

    Mbowe: Salamu za Heri na Mshikamano kutoka Hai

    Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo: Kwa hakika: Mungu atatenda.
  4. Frumence M Kyauke

    Salamu tata

    Habari za asubuhi jirani Mmehamukaje huko?
  5. Nchi Kavu

    Salamu kwa Marioo

    Huyu msanii ni natural sana. Anaimba kama hataki ila akitoa wimbo unashika. Sasa kuna huu mpya kautoa nadhani unaitwa "Bia tamu". Bia tamu kweli. Sasa nampa changamoto au remix au ajifanyie rendition na aje na "Ndoa tamu". Nakuhakikishia mdogo wangu utakamata hadi ushangae. Ila jambo moja...
  6. Sky Eclat

    Inapotokea umemzidi umri mama mkwe unampa salamu gani

    Inapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
  7. C

    Salamu kwa mpendwa Anania,sononeko la nafsi na mapitio ya vita kubwa vya wakati huu

    Siku za hivi karibuni moyo wangu umegubikwa na simanzi nzito. Simanzi inayoletwa na kumbukumbu za zamani zenye kuhuzunisha sana. Kumbukumbu za wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki . Kumbukumbu za mambo yote tuliyofanya pamoja ambayo yalifanya maisha kuwa na maana. Kumbukumbu hizi...
  8. Kamanda Asiyechoka

    CHADEMA: Salamu za rambirambi kwa IGP

  9. Erythrocyte

    Viongozi wa CHADEMA washiriki ibada ya kumuaga Johara Mtei, Salamu za rambirambi zaendelea kumiminika

    Viongozi wa Chadema wakiongozwa na Katibu Mkuu wake Mh John Mnyika , wameshiriki ibada ya kumuaga Mke wa Muasisi wa chama hicho Mzee Edwin Mtei , ibada ambayo imefanyika katika kanisa la Azania Front , Mkoani Dar es Salaam Mungu ibariki Chadema
  10. S

    Rais Samia amemtumia pongezi Rais Mteule wa Zambia, Hakainde Hichilema

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wananchi wa Tanzania amemtumia pongezi Rais mteule wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema na kumuahidi ushirikiano. Naye Rais MTEULE Mheshimiwa Hakainde amezipokea pongezi hizo na kumshikuru Rais Samia huku...
  11. M

    Hivi unajisikiaje Mswahili mwenzako akikusalimia "jambo?"

    Mzuka wanaJF! Yani unakutana na Mmatumbi mwenzako anakusalimia JAMBO haki ya nani siitikii nanyoonya tu. Japo ni neno sahihi la kiswahili katika kusalimiana ila automatically na rasmi ni kwa wazungu kulitumia kutusalimia. Kiukweli kabisa waswahili wengi huona Ugumu kulitumia kusalimiana.
  12. instagram

    Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

    Huyu mdada sijui ana matatizo ya aina gani yani akiniambia "nikuambie kitu" basi ataomba hela. Hata kama sijamkubalia au kumkatalia ataanza na mi msg kutwa kucha kukumbushia utazani kuna hela ananidai aliniazima. Au anaweza tu akaamua akatuma msg "nakuja leo" utafikiri labda kuna hela kaweka...
Back
Top Bottom