salary

  1. muafi

    Basic salary 390,000 - mkopo, take home Laki na thelasini, mtumishi wa umma, na bado tunataka huduma bora zenye ufanisi!

    Kuna sehemu nimeiona hii salary slip nimeshangaa sana wazee, Nchi inayoelekea uchumi wa kati, Mwaka huu bado kuna watu wanalipwa hvyo toa mkopo mtu anabaki na laki na theraaini kwa mwezi, na tunataka huduma bora na nchi imeimarika kiuchumi! Hii ni kada gani hapa nchini?
  2. K

    Habari wakuu, Hivi salary scale PMGSS 11 ni kiasi gani?

    Habari wakuu, Hivi salary scale PMGSS 11 ni kiasi gani?
  3. S

    Mshahara wa mkemia uanaeanza kazi salary scale ipi na je ni tofauti kwa tbs,gcla tpdc na wizara kwa chief pharmacist.

    Naomb kujuan salary scale ya mkemia kwa tbs,gcla na tpdc,nimr,nm
  4. I

    NMB rudisheni huduma ya salary advance

    NMB, wameondoa huduma ya salary advance bila taarifa yoyote kwa wateja. Tunaomba taarifa itolewe au huduma irudishwe.
  5. MSAGA SUMU

    Ukimya wa wanasiasa wakongwe Erythrocyte na Salary Slip wazua gumzo.

    Ukimya wa Wanasiasa wakongwe wa Chadema hapa JF ndg Erythrocyte na Salary Slip umezua mashaka makubwa kwa members wengi humu jukwaani. Maoni ya wanasiasa hawa yanaweza kushawishi au hata kwa kiasi fulani kusababisha mshindi katika uchaguzi ujao. Kwa zaidi ya miaka kumi, hamna hata siku moja...
  6. julaibibi

    Salary advance B shida nini?

    toka asubuhi ukiifungua inakuwa blank as if hamna tena? tumesha update taarifa ila ukibonyeza mshiko fasta inakaambia nenda uka update namba yako ya simu sa nashangaa tume update mpaka maa alama ya vidole vitano na mpaka hali ya ndoa mbona haiji update? na salary avans mnakata ngap?
  7. Black Legend

    No Annual Increments, No salary increase. Mama kama baba

    Nawaza kwa sauti....mabenki yamepandisha riba za mikopo, mafuta yamepanda, bidhaa za muhimu zote zimepanda lakini mishahara haijaongezwa. Si ongezeko la mwaka Wala marekebisho ya asilimia. Je ni kuwa "like mother like father"..... TANZANIA NI NGUMU SAAANA.😂😂😂😂😂
  8. africatuni

    Nahitaji kijana wa kusimamia Play Station yangu Dodoma. Mshahara 100k

    Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo. Call 0753233879 Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
  9. snboy

    Msaada kwa mwenye uelewa wa PTSS 10.1 salary scale ni sh ngapi

    Kuna taasisi imetangaza nafasi ya ajira ssalary scale yao ni PTSS 10.1. sasa nataka kufahamu ni sh ngapi kabla sjaachia hii job niliyonayo isjekuwa hakuna utofauti na hapa nilipo msaada tafadhali
  10. deliverance man

    Ajira za polisi kwa wenye fani hivi salary scale zao zinaendaje?

    Naomba kujua wadau, hivi mtu anayefanya kazi na jeshi la polisi kwa kitengo cha laboratory technician mwenye degree, mshahara unaanzia shingapi?
  11. Doto12

    Nchi ya Jirani kundi kuu la watumishi likiupiga mwingi.. Salary increase

    Wakenya hawana baba. --- Salary Enhancement for Over 100,000 TSC Educators Effective July 2024: A Detailed Examination The Teachers Service Commission (TSC) assumes a pivotal role in the recruitment, employment, and remuneration of educators across...
  12. M

    6 Effective Ways To Answer Your Salary Expectations In Job Interviews

    Bryan Robinson, Ph.D. Contributor author of Chained to the Desk in a Hybrid World: A Guide to Balance. Follow Apr 21, 2024,06:00am EDT Knowing how to negotiate your salary before a job [+]GETTY Let’s face it. Job interviews are taxing, and stress and anxiety can interfere with a good...
  13. navah

    Internship salary for absa bank

    What is the salary scale for intern in absa bank?
  14. Expensive life

    Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

    Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
  15. D

    Tunamtaka Hersi ampe mshahara mzuri Mudathir Yahya

    Mudathir Yahya: Nyota Inayong'ara wa Young Africans SC here is why?? # Uwanjani: Uchezaji wa Kusisimua Mudathir Yahya amekuwa akiwasha moto uwanjani. Uwezo wake wa kubadilisha mwelekeo, kuona vizuri uwanjani, na kudhibiti kiungo cha kati unamfanya kuwa mchezaji wa pekee. Kuanzia kuzuia pasi...
  16. D

    Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 -

    Habari, Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 - 9.
  17. mkarimani feki

    Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

    Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana. Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
  18. P

    Salary rate ya Fair Competition Commission ipoje?

    Habari zenu wakuu, Salary rate ya FCC inakuwa vipi? Kuna rate zao FCCGSS from 4 to 12 inakuwa inahesabika vipi? Asanteni
  19. M

    Mbona Govt salary zinaingia zimepigwa panga bila maelezo ya kutosha kunani jamani

    Last month nilikuta 15,000/= haipo Today 123,000/= nimevuta statement inaonesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nini?
  20. M

    NMB wanatoza riba kiasi gani kwenye Salary Advance?

    Wazee naomba kuuliza anayejua riba wanayotoza nmb kwenye salary advance
Back
Top Bottom