salary

  1. Z

    Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili, ambazo ni 25% na 50% ya monthly salary ya full-time lecturers

    Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili. Band ya kwanza iwe 25% ya monthly salary ya full-time lecturers. Na band ya pili iwe 50% ya monthly salary ya full-time lecturers. Na mikataba yao iwe one year renewable depending on kama wataendelea kuhitajiwa. Wanaweza wawe au wasiwe...
  2. Annie X6

    Salary incriment imekwenda wapi?

    Wana jf naomba kujuzwa. Mshahara uliopita ulikuwa na incriment ya July. September kitu plain. Why
  3. Jugado

    Topic ya shisha: Nipo Dynasty UNUNIO kufurahia salary, watu wanavuta shisha balaa nataka kujaribu

    Vipi Ina raha Gani sijawahi jaribu kuvuta chochote sio sigara sio nini. . N.b : ule uzi wa kuacha pombe Kwa miezi sita ushafeli napiga JB Mdogo mdogo nipo na yule mpangaji.
  4. Mlalamikaji daily

    Vipi mliochungulia salary ya July 2023, kuna nyongeza?

    Vipi kwa wale mlio na "macho marefu" mpaka huko jikoni je yaliyomo yamo?
  5. W

    Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

    Acha kabisa aisee! Nikiwa nimepagawa na changamoto iliyokuwa inanikabili bila kujua la kufanya, nikakimbilia benki moja kuomba mkopo. Kufika pale nikamuambia afisa mikopo kuwa nahitaji m15, akaniambia m10 ni utapata lakini si hizo ulizotaka. Nikaona kheri tu itaokoa kitu tena kwa kiasi kikubwa...
  6. S

    Makato ya HESLB: Rais Samia tunaomba mrudishe makato ya 8%, pia yazingatie sheria ya kubaki na 1/3 ya basic salary

    Raisi Samia, japo umetukwaza sana na hii issue ya bandari, kuna mambo mazuri umefanya hasa katika kurekebisha baadhi ya mambo yaliyofanyika wakati wa utawala Marehemu Magufuli. Moja ya eneo ulilogusa ni kuboresha masilahi ya wafanyakazi kama kupandisha watumishi vyeo, kuongeza mishahara ingawa...
  7. Mkyamise

    Msaada kuhusu salary scale za "NECTAR"

    Naomba kupata salary scale za "NECTAR" Naomba uelewe hilo neno NECTAR. Asante
  8. K

    Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

    Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari. Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima? Tupeane mbinu hizo wakuu.
  9. Daniel Aloyce Daniel

    Jamani eti TRCS salary scale 3 ni shilingi ngapi kwa ngazi ya degree na diploma?

    Natamani kujia hizi salary scale wanazo calculate vipi na ni kiasi Gani?
  10. CK Allan

    Je salary slip portal imedukuliwa?

    Kila nikiingia nakutana na huu ujumbe!! Vipi tayar hacker wamefanya Yao ama
  11. M

    vipi huko desemba salary ?

    Vipi mambo bado huko? mlioko jikoni mtujuze.
  12. J

    Nyongeza ya mshahara 8567 makato ya Benki 9500 ama kweli wadanganyika mmepigwa

    Hivi kweli maisha ya huko Bongo yalivyo tait unamuongezea mshahara mtumishi Tsh 8567 then bank wanakula makato ya Tsh 9500 kweli jamani, mtafika mbinguni mmechoka sana ndugu zangu
  13. Chief Ortambo Ikumenye

    PRSS 1 Salary scale ni pesa ngapi?

    Nisaidieni wakuu.. kuna kazi za serikalini nimeziona nataka kujitosa ila sasa scale ya mshahara ni PRSS 1.. Sasa nataka kufahamu hiyo ni pesa ngapi.. Je itatosha kufanya maisha na kuhonga?
  14. kyagata

    Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

    Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote. Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
  15. stephot

    Kuna shida gani CRDB salary advance

    Nimeingia kwenye simbanking app nikiangalia kwenye menu sioni icon ya salary advance,imetolewa au kuna marekebisho wamefanya...?
  16. Nyuki Mdogo

    Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

    Basic salary: 940,000 ...... Michango/makato yake Chakuhawata contribution 5000 PSSSF 47,000 PAYE 94,200 Nmb bank loan 42,870,300 (451,266) NHIF fund employees 28,200 ...... NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
  17. N

    "What is your salary expectation?"ni moja ya swali ninalolichukia toka kwa mwajiri

    Moja kati ya swali ninalolichukia toka kwa mwajiri ni "What is your salary expectation ?" Huwa najiuliza kwanini mwajiri aniulize hivi wakati tayari ana scale yake kashaiandaa kwa position husika Ni ngumu sana kumshawishi mwajiri aliepanga kukulipa 1,000,000 basic salary kisha akulipe...
  18. Yellescabar

    TRC salary scale

    Wadau habari, nilikuwa napenda kufahamu kuhusu trc salary scale kwa ngazi ya diploma inakuwa vipi
  19. 44mg44

    Salary ikitoka tupeane taarifa

    Kama salary imetoka naomb taarifa maana npo kijijin yaan kwa kifup sna source of information zaid ya Jf Karibun wadau
  20. Mshirazi

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014 UPDATE:
Back
Top Bottom