Haya wale waliosoma Mass communication na kada mlingano.
Jaribu bahati yako hapa, Ubalozi wa Uingereza. Nchini Tanzania
Communications Officer B3 (03/21 DAR) - FCO Local Posts...
Kama kusema kuwa wabunge hawalipi kodi ndio sababu ya wewe kuitwa kwenye Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, nakushauri uweke hadharani salary slip yako kabla ya kufika mbele ya kamati ili umma ujue ukweli halisi ni upi.
Unaweza kuficha taarifa ambazo sio sahihi kwenda kwenye public...
Wale ambao mlikatwa bodi mwezi Juni ila deni halikupungua tatizo hilo limeisha baada ya hazina kufanya marekebisho na kutoa salary slips mpya.
Ahsante kwa wote waliopaza sauti pia kwa wahusika waliojitahidi kurekebisha hili kwa haraka.
Kazi iendelee.
Pia soma
Malalamiko ya Makato ya Deni la...
Hello Wadau!!
Tumekuwa na tatizo la upatikanaji wa Kilipia Mshahara (Salary Slip) kwa miezi kama miwili mfululizo
Hatimae mwezi June Salary Slip zinapatikana kwa mtandao
Nilichokiona ni kuongezeka kwa deni la Bodi ya Mikopo (HESLB) kwa zaidi ya 100%
Hiki kinanifanya nijiulize
Mosi, ni...
Umuofia kwenu!!
bado hiyo document haipatikani mtandaoni mpaka leo. maisha yetu ni kukopa na kulipa kila leo.....mwezi julai unakuja, mwezi wa kusomesha vijana wetu. jana nimefika kwenye taasisi ninayokopea wanataka na salary slip ya mwezi mei 2021 na si vinginevyo. naipata wapi, dar au dodoma?!!!
A SALARY MAY STOP TOMORROW.
Robert Mugabe's Said.
"When your salary comes in time, you eat chicken. As the salary reduces you eat products of Chicken (Eggs) and subsequently, you begin to eat chicken's foods like maize and millet.
Finally, when salary is finished, you become chicken...
Chonde chonde CRDB msitufanyie hivyo. Mnatuaibisha tulishaanza kunywa bia toka jana sasa leo kuondoa salary advance ndio nini?
Fanyeni mambo basi tunawaaminia.
Site yenyewe hii hapa:
http://watumishiportal.utumishi.go.tz/
Ni website ambayo nilijisajili na hatimaye nikawa nina-print slalary slips zangu kuanzia March 2017
Salary slip ya kwanza niliyopata kutoka kwenye website hii ni ya March 2017
Niliendelea kupata Salary slip hizi hadi December 2018...
Wadau vipi ka salary ka mwezi huu wa pesa hazitoshi.
Wenzangu mmekaona? Tuambizane maana hapa nina buku tu la bodaboda kunipeleka kwa ATM.
Nikizikoswa ndo yatakuwa majanga zaidi.
Kwa walio na simbank tujuzani.
Nipo NBC.
Halo kila mtu
I am a scientist from Germany and very interested in tanzania. This is why i applied for a funded research project with the university of dar es salaam.
Since I need the actual salaries for admitting it to our german funding agency, I wanted to ask if there is any public table...
Kama kesho utaongelea unachopanga kukifanya iwapo utafanikiwa kuwa Raisi wa nchi hii licha ya ukweli kuwa hatuna tume huru ya uchaguzi,nakushauri wewe kama mgombea uraisi(iwapo chama chako kitakuteua kuwa mgombea wao) uwe na ahadi zako kama mgombea uraisi na hizi nitazotaja hapa chini ziwe ni...
Verses hizi hapa niwekee vocal na biti unitumie PM.Ukiwa na vese za kuongezea weka hapa......Master Jay, Majani. Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki.
Kama unafanya kazi
Weka salary mezani
Tuoneee sasa Tuoneee ...tuone. (mara mbili)
Waweza weka cash,weka kreti,
Weka Fresh.weka tuonee,tuonee
Wengine...
Hello,
I am wondering what is the average monthly salary for developer/software engineer in Tanzania? Junior/Senior levels?
Je mshahara wa programa wa kompyuta ni kiasi gani kwa mwezi? wastani.
asanteni
Najua mjamaa alikopi kutoka nchi za watu ila kakopi jambo jema. Sasa ni siri ya mtu binafsi, maana enzi zile unakatwa makato na bank mara bodi ya kahawa mara makato ya NHIF. Unaambulia kiduchu na mandezi ya masijala yanakodolea salary slips zako basi daaah.
Habari wakuu.Nimejaribu kutafuta hii scale salary ya PRSS 1.1 ila nimeshindwa kupata jibu kwenye thread zilizopita.Kwa anayejua tafadhali naomba anisaidie inaanzia ngapi.Natanguliza shukrani zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.