Habari wanamember,
Kwanza kabisa nataka niweke bayana wazungu ambao nawazungumzia, hawa ni wazungu ambao walikuja huku kwetu Afrika na kututawala, kwa kesi yetu ya Tanzania nitawaongelea Wajerumani na Waingereza.
Kipimo nitakachokitumia kupima uwiano ni miaka, kwamba itatuchukua miaka mingapi...