scholarship

  1. Meneja Wa Makampuni

    Scholarship kwa Waafrika wote angalia nchi yako

    Scholarships now open!! — Curtin University warmly welcomes students from eligible African countries to apply for the Australia Awards Africa Scholarships for our Master's degrees commencing in 2026. Curtin has a developed a holistic platform for engaging with the African continent and...
  2. F

    Erasmus Mundus GOALS Scholarship 2025/27: A Fully-Funded Master's Degree in Sports Management: Application assistance will be given

    Navigate www.researchlinktz.com and view the "Opportunities' page to see this scholarship. If you want to apply we can give assistance. You can write to info@researchlinktz.com or see contacts in the website above.
  3. A

    DOKEZO Wanufaika wa Ufadhili wa Masomo ya Masters kupitia Samia Suluhu Scholarship tumetelekezwa bila muongozo

    Licha ya kutangazwa kwa ufadhili wa masomo ngazi ya Master's Degree kupitia Samia Suluhu Scholarship na wanufaika kuorodheshwa kwenye Website ya bodi ya mikopo inayofahamika kama HESLB. Lakini takribani wiki kadhaa sasa licha ya masomo kuanza ufadhili huo unaonekana wakusuasua ambao haujatoa...
  4. C

    Fully funded scholarship for undergraduate, Masters and PhD in Turkey

    Haya ndugu zangu kama kawaida yangu ikitokea fursa nawatonya. Wengi waliniuliza kuhusu undergraduate, haya fursa ndo hiyo ya kwenda uturuki. Application ni simple sana just visit website Yao, na unaweza apply hata kama huna passport UKATUMIA national ID. Mimi kama kawaida yangu ni kuwasaidia...
  5. C

    Full funded scholarship in Taiwan

    Habari zenu, TaiwanICDF Scholarships zimefunguliwa kwa sasa. Ni full funded kwa masters na PhD Ukitaka hatua zote za application zipo kwa website Yao, nenda google alafu search TaiwanICDF scholarships, utakuta maelezo yote pale. Kama utakwama sehemu wakati wa application nitafute Whatsapp kwa...
  6. C

    Taiwan Full funded scholarship opportunity

    TaiwanICDF Scholarship is now open till 1st march. The scholarship is full funded for masters and PhD and covers flight expenses go and return. The programs are English taught. It's so easy to apply all you need is to visit TaiwanICDF website and download the guidebook there you'll find all the...
  7. S

    DOKEZO Baadhi ya wanafunzi waliopata Samia scholarship UDSM wakumbana hali ngumu kufuatia kutopata fedha za kujikimu na ada ya masomo

    Changamoto za Wanafunzi Walionufaika na Samia Scholarship – Ombi la Msaada Tunapenda kuwasilisha changamoto zinazowakumba baadhi ya wanafunzi walionufaika na Samia Scholarship katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Wanafunzi hawa wanakumbana na hali ngumu kufuatia kutopata fedha za kujikimu wala...
  8. mrPhysics

    Wajuvi wa rotary scholarship naomba muongozo

    Wanajanvi habari za wakati hu, Samahani kwa yoyote mwenyewe ABC Za rotary club of osterbay scholarship, I mean when to apply, inatumia muda gani kutoa majibu na majibu yanamfikiaje applicants please share here Thanks in advance
  9. Ojuolegbha

    Samia Health Specialisation Scholarship program 2024/25

    SAMIA HEALTH SPECIALISATION SCHOLARSHIP PROGRAM 2024/25. ORODHA YA WATAALAM WALIOPATA UFADHILI WA MASOMO MWAKA 2024/2025. JINA LA PROGRAMU & IDADI YA NAFASI 1. Super-Specialization 44 2. Mmed (Specialization) 334 3. Mdent (Specialization) 8 4. MSc. Midwifery Specialization 14 5. MSc. Nursing...
  10. Jaji Mfawidhi

    Samia Scholarship inahusu wengi, tuikimbilie, ndiye mkombozi wa wanyonge wasio na karo

    Je, Hili jina la scholarship ni sahihi? Je, Marais wengine walipewa majina kwenye mkopo ambao fedha ni za walipa kodi? Je, nani alaumiwe, kama kuna lawama, kwa kila kitu kukiita ch aRais hata kama yeye mwenyewe hajaagiza hivyo? Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza programu ya...
  11. Karemboo

    Ifakara Health Institute (IHI) Public Health Masters Scholarship kupitia chuo cha Nelson Mandela

    Wapendwa nimeanzisha hii thread kwa yeyote mwenye information kuhusu kuhusu hiyo scholarship inayotolewa na IHI kwa wale wenye admission za masters of public health chuo cha nelson mandela, mana mimi nina admisssion ya 2024/2025 na niliomba samia scholarship ila majibu bado na nimesikia ipo hiyo...
  12. mabutu1835

    Michongo ya elimut

    Kumekuwa na kelele kila kona namna ambavyo vyuo na Taasisi za elimu ya juu nchini vinavyosumbua wale wanaojiunga ili kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya shahada ya uzamili (Master degree) na uzamivu (PhD). Ninaomba tuweke tupeane connections (michongo) ikiwemo scholarship links na vyuo vyenye...
  13. D

    Kwanini Wazungu ndo huwa wanatoa scholarship ya kusoma na siyo Waafrika? Mmeshawahi kujiuliza?

    Mi mara nyingi nawaombea wazungu waendelee kufaniakiwa kila wakati mana niwatoaji sana na wana utu. Ndo mana utawakuta watu au wanafinzi wako busy kuapply scholarships huko ulaya au marekani ila kinyume chake haiwezekani. Miafrika ni mibahili na ina roho mbaya sana na michawi haipendani ndo...
  14. Funny boe

    Merit Scholarship ni nini?

    Hello JF members, Nimefanikiwa kuchaguliwa na moja ya vyuo vikubwa hapa nchini kujiunga na mwaka wa masomo 2024/2025 ngazi ya Cheti. Sasa kwenye account yangu ya maombi katika chuo hicho nimewekewa na option ya "merit scholarship" nikiaswa kuomba. Sasa nimefika hapa mbele yenu kwa wajuvi wa...
  15. M

    Walowahi kusoma, kufanya kazi au kuishi Ulaya na viunga vyake naombe kuyafahamu mambo haya

    TAHADHARI :Kama ujawahi kufika Ulaya usicomment kwenye huu uzi. WAKUU nipo najianda kusaka full funded Scholarship Nchi za Ulaya, sasa nilikua naomba muongozo wa nchi za ya kwenda na maisha ya upambanaji yapoje huko yani kazi nje ya masomo na malipo kwa ujumla. Mambo ya kufanya na kutokufanya...
  16. V Chief

    Je, naweza kupata scholarship ya kusoma nje ya nchi bachelor degree?

    Habari wana JF, Mimi ni mwanachuo wa diploma mwaka wa pili nilikuwa naulizia kwa wazoefu kuwa naweza kupata scholarship ya kusoma nje ya nchi kusomea bachelor degree na kama ni ndio, vigezo vyake na sites za ku'apply ni zipi?
  17. Abraham Lincolnn

    Kuanzishwa Samia Scholarship ni ishara kwamba serikali inayosimamiwa na Samia kufeli katika Elimu hususan kusimamia HESLB

    Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na...
  18. Abraham Lincolnn

    Rais anatoa wapi fedha za kuanzisha Samia scholarship? Tuache mchezo na fedha za umma kisiasa. Fedha zirudishwe HESLB!

    Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na...
  19. PathwayzZote

    Kupata music scholarship nje ya nchi

    Wakubwa habari Mwenye ujuzi na mambo ya ufadhili aje hapa Mtupeni hzi scholarship za kusoma music nje ya nchi kwasabab mim nimetafta ila sizioni
  20. Mzee Saliboko

    Mliowahi kupata funded scholarship mtupe uzoefu

    Nipo katika mchakato wa kutuma maombi funded scholarship za ujerumani DAAD masters in international health. Hivi mwajiri anaweza kutoa cheti cha utumishi wakati bado unafanya kazi na vilevile Recommendations Letter hasa kwa private?
Back
Top Bottom