Scholarships now open!! —
Curtin University warmly welcomes students from eligible African countries to apply for the Australia Awards Africa Scholarships for our Master's degrees commencing in 2026.
Curtin has a developed a holistic platform for engaging with the African continent and...
Navigate www.researchlinktz.com and view the "Opportunities' page to see this scholarship. If you want to apply we can give assistance. You can write to info@researchlinktz.com or see contacts in the website above.
Licha ya kutangazwa kwa ufadhili wa masomo ngazi ya Master's Degree kupitia Samia Suluhu Scholarship na wanufaika kuorodheshwa kwenye Website ya bodi ya mikopo inayofahamika kama HESLB.
Lakini takribani wiki kadhaa sasa licha ya masomo kuanza ufadhili huo unaonekana wakusuasua ambao haujatoa...
Haya ndugu zangu kama kawaida yangu ikitokea fursa nawatonya.
Wengi waliniuliza kuhusu undergraduate, haya fursa ndo hiyo ya kwenda uturuki.
Application ni simple sana just visit website Yao, na unaweza apply hata kama huna passport UKATUMIA national ID.
Mimi kama kawaida yangu ni kuwasaidia...
Habari zenu,
TaiwanICDF Scholarships zimefunguliwa kwa sasa.
Ni full funded kwa masters na PhD
Ukitaka hatua zote za application zipo kwa website Yao, nenda google alafu search TaiwanICDF scholarships, utakuta maelezo yote pale.
Kama utakwama sehemu wakati wa application nitafute Whatsapp kwa...
TaiwanICDF Scholarship is now open till 1st march.
The scholarship is full funded for masters and PhD and covers flight expenses go and return.
The programs are English taught. It's so easy to apply all you need is to visit TaiwanICDF website and download the guidebook there you'll find all the...
Changamoto za Wanafunzi Walionufaika na Samia Scholarship – Ombi la Msaada
Tunapenda kuwasilisha changamoto zinazowakumba baadhi ya wanafunzi walionufaika na Samia Scholarship katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Wanafunzi hawa wanakumbana na hali ngumu kufuatia kutopata fedha za kujikimu wala...
Wanajanvi habari za wakati hu,
Samahani kwa yoyote mwenyewe ABC Za rotary club of osterbay scholarship, I mean when to apply, inatumia muda gani kutoa majibu na majibu yanamfikiaje applicants please share here
Thanks in advance
SAMIA HEALTH SPECIALISATION SCHOLARSHIP PROGRAM 2024/25.
ORODHA YA WATAALAM WALIOPATA UFADHILI WA MASOMO MWAKA 2024/2025.
JINA LA PROGRAMU & IDADI YA NAFASI
1. Super-Specialization 44
2. Mmed (Specialization) 334
3. Mdent (Specialization) 8
4. MSc. Midwifery Specialization 14
5. MSc. Nursing...
Je, Hili jina la scholarship ni sahihi?
Je, Marais wengine walipewa majina kwenye mkopo ambao fedha ni za walipa kodi?
Je, nani alaumiwe, kama kuna lawama, kwa kila kitu kukiita ch aRais hata kama yeye mwenyewe hajaagiza hivyo?
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza programu ya...
Wapendwa nimeanzisha hii thread kwa yeyote mwenye information kuhusu kuhusu hiyo scholarship inayotolewa na IHI kwa wale wenye admission za masters of public health chuo cha nelson mandela, mana mimi nina admisssion ya 2024/2025 na niliomba samia scholarship ila majibu bado na nimesikia ipo hiyo...
Kumekuwa na kelele kila kona namna ambavyo vyuo na Taasisi za elimu ya juu nchini vinavyosumbua wale wanaojiunga ili kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya shahada ya uzamili (Master degree) na uzamivu (PhD).
Ninaomba tuweke tupeane connections (michongo) ikiwemo scholarship links na vyuo vyenye...
Mi mara nyingi nawaombea wazungu waendelee kufaniakiwa kila wakati mana niwatoaji sana na wana utu. Ndo mana utawakuta watu au wanafinzi wako busy kuapply scholarships huko ulaya au marekani ila kinyume chake haiwezekani.
Miafrika ni mibahili na ina roho mbaya sana na michawi haipendani ndo...
Hello JF members,
Nimefanikiwa kuchaguliwa na moja ya vyuo vikubwa hapa nchini kujiunga na mwaka wa masomo 2024/2025 ngazi ya Cheti.
Sasa kwenye account yangu ya maombi katika chuo hicho nimewekewa na option ya "merit scholarship" nikiaswa kuomba.
Sasa nimefika hapa mbele yenu kwa wajuvi wa...
TAHADHARI :Kama ujawahi kufika Ulaya usicomment kwenye huu uzi. WAKUU nipo najianda kusaka full funded Scholarship Nchi za Ulaya, sasa nilikua naomba muongozo wa nchi za ya kwenda na maisha ya upambanaji yapoje huko yani kazi nje ya masomo na malipo kwa ujumla.
Mambo ya kufanya na kutokufanya...
Habari wana JF, Mimi ni mwanachuo wa diploma mwaka wa pili nilikuwa naulizia kwa wazoefu kuwa naweza kupata scholarship ya kusoma nje ya nchi kusomea bachelor degree na kama ni ndio, vigezo vyake na sites za ku'apply ni zipi?
Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na...
Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na...
Nipo katika mchakato wa kutuma maombi funded scholarship za ujerumani DAAD masters in international health.
Hivi mwajiri anaweza kutoa cheti cha utumishi wakati bado unafanya kazi na vilevile Recommendations Letter hasa kwa private?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.