SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR PARTICIPATING IN MICRO MASTERS PROGRAM ON DATA ECONOMICS AND DEVELOPMENT POLICY OFFERED BY MASSACHUSETS INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIT)
The Economic and Social Research Foundation (ESRF) - a policy research think tank in Tanzania, undertakes, and articulates research...
Wakuu nafanyeje, naomba ushauri
Nimepata connection kuna jamaa yangu flani yeye anasoma huko nje ananiambia wanasoma wanalipwa kila mwezi around 3M za kitanzania, ananiambia na mimi nikitaka nafasi napata.
Ila tatizo mimi nimeajiriwa serikalini,na ruhusa sio rahisi kupata.
Je niache kazi...
Habari zenu wanajukwaa,
Poleni kwa majukumu mbalimbali. Nimefanikiwa kuwa shortlisted kwenye round ya mwisho ya scholarship lakini wamesema nitafanya language assignment na quantitative assignment.
Je, probably ni maswali gani wanaweza kuuliza? Wale waliowah kufanya naombeni mnisaidie ndugu zangu.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri!
wakuu, mzigo umetoka!
kama uko interested in
Diploma in financial market operations
Diploma in Capital Debt markets
Diploma inSecurities & Derivatives
Huu mzigo unatolewa na ICMA , yaani International Capital Market Association. kwa wale wa finance na...
Fully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada Opportunity DeskFully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada
...
Fully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada
October 10, 2021
2.4kShares
A Perfect Time to see Insight of Fully Funded...
Wakuu naomba kuuliza hili swahili.
Unawezaje kupata Scholarship ya kusoma PhD US au CANADA.
Kama kuna mtu alishawai pata tutoe tongotongo tuweze kuelewa na ulipata aina gani ya scholarship.
Access Bank and Udacity will provide 1,000 Nanodegree program scholarships for people in Africa to build practical, in-demand, cutting-edge tech skills. The scholarship will create upskilling opportunities for scholarship recipients and give them the skills needed by many tech companies today...
Higher Education Scholarship Officer
Position: Higher Education Scholarship Officer
School of St Jude
The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. We are giving 1,800 students free, quality education and 100’s of graduates access to higher education each...
Amani iwe nanyi Wakuu,
Maisha ya sasa imekuwa adimu binadamu kumtendea wema binadamu mwingine. Imekuwa ni nadra sana kumsaidia mtu mwingine hata tu kwa mawazo. Yaani wivu, utapeli, chuki na mambo mengine mabaya yanayofanana na hayo imekuwa ndio sehemu ya walio wengi. Imekuwa ngumu zaidi kupeana...
Habari zenu wadau wa jamii forum, samahani, kiu yangu ni kufanya kazi nje hasa nchi ya Kanada na elimu yangu ni kidato cha nne kwa ufaulu wa division 3 nimemaliza mwaka 2015 masomo ya sanaa,kulingana na tafiti yangu ndogo nimeona wengi hupitia kwa njia ya masomo ili kufika huko
Je, kulingana na...
Ndugu ktk forum hii, mwanangu wa like kamaliza kidato cha NNE, na kupata division one point 12, anapenda tokea utoto wake kusomea u-pilot
Kutokana na changamoto ya kukosa ada familia tunaelekea kufeli kumfikisha ktk malengo, je naweza kupata scholarship? kwa namna yoyote, na huku mm am blind...
Students who perform well in Science subjects in their Form Six national examinations are eligible for the scholarship at the University of Dar es Salaam
You may be among those who have applied for university scholarships for international students - but were never lucky.
Although there are...
Habari za Leo ndugu na marafiki.
Leo nitaelezea hatua za kufuata wakati wa kufanya maombi ya full funded scholarship ya kusoma nje ya nchi.
Basi ili walau kupata mwanga wapi pa kuanzia fuatana na mimi katika hii video fupi.
CALL FOR SCHOLARSHIP APPLICATIONS
FROM NATIONALS OF EAST AFRICAN COMMUNITY PARTNER STATES TO PURSUE KFW- FUNDED MASTER’S STUDIES (COHORT 2) IN AN EAC PARTNER STATE OTHER THAN THEIR OWN
Opening date: 2nd October 2020
Closing date: 22nd October 2020, 17:00 hours, East African Time
Thematic...
Hi for every one and I wish God is able for every one my name is mr Derrick Deo have a problem concern about education issue come there to search a sponsor you help me to pair tuition fee for university in diploma program. Am form six leaver graduate last year but failed to join university...
Grow with Google, Andela and Pluralsight have partnered to provide a new program to support software developers in Africa on Android, Google Cloud and Mobile Web skills development tracks. The aim of this program is to continuously engage with aspiring and existing developers to help them become...
Kama kichwa kinavyojieleza,wenye vigezo changamkieni hii fursa.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na;
RSIF Regional Coordination Unit (RCU)
Administered by the International Centre of Insect Physiology and Ecology (icipe)
P.O. Box 30772 – 00100, Nairobi, Kenya
Tel +254 (20) 8632000
Email...
Mzee Fredrick Mchauru ambae ni mtanzania wa kwanza kuwai kupata scholarship nchini Tanzania ametimiza miaka 100 leo April 25. Mzee Mchauru alizaliwa tarehe 25 April mwaka 1920 huko Newala Mtwara na alisoma Sekondari ya Chidya na Minaki.
Mzee huyu alikua katibu mkuu katika serikali ya kwanza...
Na nyinyi jaribuni bahati zenu kwa kuomba scholarships nje..
Tanzania (Chevening Scholarship) | Chevening
Tanzania - University of Liverpool
Tanzania | University of South Wales
Your country
International Scholarships for Students from Developing Countries
Tanzania Embassy Site | EDUCATION...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.