scholarship

  1. Jamii Opportunities

    Scholarship opportunities for participating in micro master program on Data Economics and Development Policy

    SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR PARTICIPATING IN MICRO MASTERS PROGRAM ON DATA ECONOMICS AND DEVELOPMENT POLICY OFFERED BY MASSACHUSETS INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIT) The Economic and Social Research Foundation (ESRF) - a policy research think tank in Tanzania, undertakes, and articulates research...
  2. lelulelu

    Nimepata connection ya kwenda kusoma nje ila sasa ninafanya kazi. Naomba ushauri

    Wakuu nafanyeje, naomba ushauri Nimepata connection kuna jamaa yangu flani yeye anasoma huko nje ananiambia wanasoma wanalipwa kila mwezi around 3M za kitanzania, ananiambia na mimi nikitaka nafasi napata. Ila tatizo mimi nimeajiriwa serikalini,na ruhusa sio rahisi kupata. Je niache kazi...
  3. W

    Maswali gani naweza kuyapata kwenye assignment ya TDR scholarship, MSc in Epidemiology?

    Habari zenu wanajukwaa, Poleni kwa majukumu mbalimbali. Nimefanikiwa kuwa shortlisted kwenye round ya mwisho ya scholarship lakini wamesema nitafanya language assignment na quantitative assignment. Je, probably ni maswali gani wanaweza kuuliza? Wale waliowah kufanya naombeni mnisaidie ndugu zangu.
  4. KingOligarchy

    Scholarship: Watanzania changamkieni fursa

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri! wakuu, mzigo umetoka! kama uko interested in Diploma in financial market operations Diploma in Capital Debt markets Diploma inSecurities & Derivatives Huu mzigo unatolewa na ICMA , yaani International Capital Market Association. kwa wale wa finance na...
  5. Sky Eclat

    Scholarship za Canada kwa wenye vigezo

    Fully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada Opportunity DeskFully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada ... Fully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada October 10, 2021 2.4kShares A Perfect Time to see Insight of Fully Funded...
  6. Meneja Wa Makampuni

    Unawezaje kupata Scholarship ya kusoma PhD US au CANADA

    Wakuu naomba kuuliza hili swahili. Unawezaje kupata Scholarship ya kusoma PhD US au CANADA. Kama kuna mtu alishawai pata tutoe tongotongo tuweze kuelewa na ulipata aina gani ya scholarship.
  7. M

    Nafasi 1000+ za scholarship kutolewa na Access Bank and Udacity

    Access Bank and Udacity will provide 1,000 Nanodegree program scholarships for people in Africa to build practical, in-demand, cutting-edge tech skills. The scholarship will create upskilling opportunities for scholarship recipients and give them the skills needed by many tech companies today...
  8. Jamii Opportunities

    Higher Education Scholarship Officer at the School of St Jude

    Higher Education Scholarship Officer Position: Higher Education Scholarship Officer School of St Jude The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. We are giving 1,800 students free, quality education and 100’s of graduates access to higher education each...
  9. Heaven Seeker

    Je, una ndoto za kusoma nje ya nchi hususan Sweden? Niulize swali nitakujibu ninachokifahamu

    Amani iwe nanyi Wakuu, Maisha ya sasa imekuwa adimu binadamu kumtendea wema binadamu mwingine. Imekuwa ni nadra sana kumsaidia mtu mwingine hata tu kwa mawazo. Yaani wivu, utapeli, chuki na mambo mengine mabaya yanayofanana na hayo imekuwa ndio sehemu ya walio wengi. Imekuwa ngumu zaidi kupeana...
  10. Mtepa wa Mtepaza

    Nina elimu ya Kidato cha nne naweza kupata scholarship nchini Canada?

    Habari zenu wadau wa jamii forum, samahani, kiu yangu ni kufanya kazi nje hasa nchi ya Kanada na elimu yangu ni kidato cha nne kwa ufaulu wa division 3 nimemaliza mwaka 2015 masomo ya sanaa,kulingana na tafiti yangu ndogo nimeona wengi hupitia kwa njia ya masomo ili kufika huko Je, kulingana na...
  11. C

    Msaada wa ufadhili kusomea urubani

    Ndugu ktk forum hii, mwanangu wa like kamaliza kidato cha NNE, na kupata division one point 12, anapenda tokea utoto wake kusomea u-pilot Kutokana na changamoto ya kukosa ada familia tunaelekea kufeli kumfikisha ktk malengo, je naweza kupata scholarship? kwa namna yoyote, na huku mm am blind...
  12. YEHODAYA

    Waziri wa Elimu akipongeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kuanza kutoa Scholarship kwa vipanga wanaofanya vizuri Mitihani ya Sayansi Kidato cha Sita

    Students who perform well in Science subjects in their Form Six national examinations are eligible for the scholarship at the University of Dar es Salaam You may be among those who have applied for university scholarships for international students - but were never lucky. Although there are...
  13. M

    Ni ipi Scholarship Nzuri Kwa Aliyesoma Degree Ya Human Resource Management.ili kujiendeleza na Masters?

    Naomba kujua taratibu za Scholarship kwa aliyemaliza degree ya HRM. njia za kupata scholarship
  14. E

    Hatua za kufuata wakati wa kufanya maombi ya full funded scholarship ya kusoma nje ya nchi

    Habari za Leo ndugu na marafiki. Leo nitaelezea hatua za kufuata wakati wa kufanya maombi ya full funded scholarship ya kusoma nje ya nchi. Basi ili walau kupata mwanga wapi pa kuanzia fuatana na mimi katika hii video fupi.
  15. Jamii Opportunities

    Scholarship Opportunities fully funded by EAC

    CALL FOR SCHOLARSHIP APPLICATIONS FROM NATIONALS OF EAST AFRICAN COMMUNITY PARTNER STATES TO PURSUE KFW- FUNDED MASTER’S STUDIES (COHORT 2) IN AN EAC PARTNER STATE OTHER THAN THEIR OWN Opening date: 2nd October 2020 Closing date: 22nd October 2020, 17:00 hours, East African Time Thematic...
  16. Derickdeo21

    Tuition scholarship

    Hi for every one and I wish God is able for every one my name is mr Derrick Deo have a problem concern about education issue come there to search a sponsor you help me to pair tuition fee for university in diploma program. Am form six leaver graduate last year but failed to join university...
  17. SECRET AGENT

    Developers na wenye nia ya kujifunza changamkieni hii kitu (google Africa Developer Scholarship 2020)

    Grow with Google, Andela and Pluralsight have partnered to provide a new program to support software developers in Africa on Android, Google Cloud and Mobile Web skills development tracks. The aim of this program is to continuously engage with aspiring and existing developers to help them become...
  18. Shepherd

    PASET (RSIF)PhD Scholarship in Applied Science, Engeering and Technolgy

    Kama kichwa kinavyojieleza,wenye vigezo changamkieni hii fursa. Kwa maelezo zaidi wasiliana na; RSIF Regional Coordination Unit (RCU) Administered by the International Centre of Insect Physiology and Ecology (icipe) P.O. Box 30772 – 00100, Nairobi, Kenya Tel +254 (20) 8632000 Email...
  19. Ngwanakilala

    Fredrick Mchauru - Mtanzania wa kwanza kupata scholarship atimiza miaka 100. Alikuwa Katibu Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Tanganyika

    Mzee Fredrick Mchauru ambae ni mtanzania wa kwanza kuwai kupata scholarship nchini Tanzania ametimiza miaka 100 leo April 25. Mzee Mchauru alizaliwa tarehe 25 April mwaka 1920 huko Newala Mtwara na alisoma Sekondari ya Chidya na Minaki. Mzee huyu alikua katibu mkuu katika serikali ya kwanza...
  20. majebsmafuru

    Scholarship internet links

    Na nyinyi jaribuni bahati zenu kwa kuomba scholarships nje.. Tanzania (Chevening Scholarship) | Chevening Tanzania - University of Liverpool Tanzania | University of South Wales Your country International Scholarships for Students from Developing Countries Tanzania Embassy Site | EDUCATION...
Back
Top Bottom