Attention students and recent graduates! The Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships (QECS) have just announced their scholarship program, offering a unique opportunity to study a two-year Master's degree in a low or middle income Commonwealth country.
If you are committed to creating change...
DAAD Masters Scholarship 2023 for African Students (Fully-funded) | Study-In-Germany
✅ “Leadership for Africa” Programme for Chad, DR Congo, Niger, Nigeria, and Togo: Master’s Degree Scholarships in Germany - DAAD - Deutscher Akademischer Austauschdienst
University of Dundee Global Citizenship...
Habarin Wana JF,
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ndoto zangu ni kuendelea na masters baada ya kuhitimu kuhusu GPA nina 4.1 first year naimani itarange humo Hadi 3.8 minimum (final year).
Hivyo ningependa kujua km kuna scholarship na namn ya kupata ktk moja...
Hii scholarship mwisho wa kufanya application ni 28/ 03/ 2023. Bado hujachelewa ku apply.
https://cscuk.fcdo.gov.uk/scholarships/commonwealth-distance-learning-scholarships-candidates/
BRIGHT AND GENIUS EDITORS
Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo:
1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali.
2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters)
3. Kuandika barua za kuomba kazi.
4...
Sami scholarship yatangazwa tar 27, Leo sep 29 ,majina ya waliopata yatolewa!
Kuna sehemu tunakosea! MAJINA HAYA HAPA
Pia soma: Thread 'Samia Scholarship ni uwekezaji wenye tija' Samia Scholarship ni uwekezaji wenye tija
Kuleta mageuzi katika sekta ya sayansi na teknolojia kupitia Samia Scholarship. Ufadhili huo wa miaka mitatu hadi mitano utawanufaisha wanafunzi kwenye maeneo haya nane:
Samia Scholarship itatoa Ufadhili wa
1. Ada ya mafunzo
2. Posho ya chakula na malazi
3. Bima ya afya
4.Vifaa saidizi kwa...
SAMIA SCHOLARSHIP
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanzisha program ya ufadhili iitwayo SAMIA SCHOLARSHIP kwa masomo ya shahada ya kwanza kwa wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika mitihani ya kidato cha 6 mwaka 2022 chini ya NECTA kwa waliosoma masomo ya;
PCB,
PCM,
PGM,
CBG,
CBA...
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefungua dirisha la maombi ya SAMIA SCHOLARSHIP kwa wanafunzi 640 waliopata ufaulu wa juu kwenye masomo ya sayansi katika mitihani ya Kidato cha Sita 2022. Majina ya wanafunzi hao yanapatikana kuanzia leo katika tovuti ya wizara...
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita.
Ufadhili huo ambao unaanza mwaka 2022/2023 unafanyika chini ya mpango unaojulikana kama Samia Scholarship.
Akizungumza hayo leo Jumapili...
Rais wetu Mama Samia ametoa udhamini wa wanafunzi 600 katika elimu ya juu waliofanya vizuri masomo ya sayansi, sina hakika kama watanzania wengi wanalifahamu jambo hili jema kiasi hiki, maana elimu ni mti wenye mizizi mirefu sana, majani mengi na matunda yenye mbegu nyingi zisizohesabika idadi...
Halo JF .....
Mwaka jana mwezi wa 10 Wizara ya Utumishi wa Umma ilitoa Tangazo la maombi ya Scholarship kwa Masters na PhD kwa watumishi wa Umma.
Kilichonishangaza ni kwamba tarehe 04/04/2022 Wizara Imeweka tena tangazo.
Hii inaonyesha na kutafsirisha kwamba Watumishi wa Umma hawakuomba ili...
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.
Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika...
Habarini za leo,
Naomba kuuliza ndugu zangu.
Ndugu yangu amepata skolashipu ya kwenda kusomea Ukraine.
Alikua anauliza gharama za maisha zikoje na hali ya maisha kiujumla.
Anatakiwa kuripoti mwezi huu, yeye amechaguliwa March intake.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
JE SCHOLARSHIP NI MBINU YA KUTENGENEZA VIBARAKA WA KISIASA?
Anaandika Robert Heriel.
Scholarship inaweza kuwa na maana nyingi, mojawapo ni kumsaidia mtu/mwanafunzi kirasilimali aweze kupata elimu Fulani; Rasilimali hiyo inaweza kuwa Fedha, au mahali pa kuishi(makazi), au chakula, au vitendea...
Habarini wana JF
Mimi ni undergraduate nimehitimu mwaka huu chuo Bachelor in Environmental Health Sciences (BSc EHS) tumezoeleka kuitwa MAAFISA AFYA.
Ndoto yangu kubwa kusoma masters nchi za nje hasa hasa nchi zinazozungumza English.
Natamaani nijue vyuo gan ambavo hutoa full scholarship ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.