scholarship

  1. Meneja Wa Makampuni

    Attention students and recent graduates! The Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships (QECS) have just announced their scholarship program

    Attention students and recent graduates! The Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships (QECS) have just announced their scholarship program, offering a unique opportunity to study a two-year Master's degree in a low or middle income Commonwealth country. If you are committed to creating change...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Orodha ya full funded scholarship zilizofunguliwa mpaka sasa

    DAAD Masters Scholarship 2023 for African Students (Fully-funded) | Study-In-Germany ✅ “Leadership for Africa” Programme for Chad, DR Congo, Niger, Nigeria, and Togo: Master’s Degree Scholarships in Germany - DAAD - Deutscher Akademischer Austauschdienst University of Dundee Global Citizenship...
  3. Tommy 911

    Scholarships za Master's katika Chemistry

    Habarin Wana JF, Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ndoto zangu ni kuendelea na masters baada ya kuhitimu kuhusu GPA nina 4.1 first year naimani itarange humo Hadi 3.8 minimum (final year). Hivyo ningependa kujua km kuna scholarship na namn ya kupata ktk moja...
  4. Thailand

    Kwa mnaotaka kusoma course za nje mkiwa hapa hapa bongo chekini hii scholarship ya Commonwealth Distance Learning (MA)

    Hii scholarship mwisho wa kufanya application ni 28/ 03/ 2023. Bado hujachelewa ku apply. https://cscuk.fcdo.gov.uk/scholarships/commonwealth-distance-learning-scholarships-candidates/
  5. Meneja Wa Makampuni

    Scholarship hii hapa ya bure kabisa

  6. Meneja Wa Makampuni

    Karibu Bright and Genius Editors upate huduma bora

    BRIGHT AND GENIUS EDITORS Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo: 1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali. 2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters) 3. Kuandika barua za kuomba kazi. 4...
  7. N

    Naomba kufahamishwa website zinazotoa full funded masters scholarship in Water resource Engineering

    Habari wandugu naomba kufahamishwa website zinazotoa full funded masters scholarship in water resource Engineering
  8. Justdr

    Samia Suluhu Scholarships

    Samia scholarship ni definition sahihi ya mwenye nacho ataongezewa. Ask me how?
  9. Amina68

    Samia Scholarship ilitangazwa Septemba 27, leo Septemba 29 majina ya waliopata yatolewa. Kuna sehemu tunakosea!

    Sami scholarship yatangazwa tar 27, Leo sep 29 ,majina ya waliopata yatolewa! Kuna sehemu tunakosea! MAJINA HAYA HAPA Pia soma: Thread 'Samia Scholarship ni uwekezaji wenye tija' Samia Scholarship ni uwekezaji wenye tija
  10. N

    Maeneo nane yatakayofadhiliwa na Samia Scholarship

    Kuleta mageuzi katika sekta ya sayansi na teknolojia kupitia Samia Scholarship. Ufadhili huo wa miaka mitatu hadi mitano utawanufaisha wanafunzi kwenye maeneo haya nane: Samia Scholarship itatoa Ufadhili wa 1. Ada ya mafunzo 2. Posho ya chakula na malazi 3. Bima ya afya 4.Vifaa saidizi kwa...
  11. Stephano Mgendanyi

    Samia Scholarship

    SAMIA SCHOLARSHIP Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanzisha program ya ufadhili iitwayo SAMIA SCHOLARSHIP kwa masomo ya shahada ya kwanza kwa wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika mitihani ya kidato cha 6 mwaka 2022 chini ya NECTA kwa waliosoma masomo ya; PCB, PCM, PGM, CBG, CBA...
  12. Meneja Wa Makampuni

    Dirisha la Maombi ya Samia Scholarship lafunguliwa

    Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefungua dirisha la maombi ya SAMIA SCHOLARSHIP kwa wanafunzi 640 waliopata ufaulu wa juu kwenye masomo ya sayansi katika mitihani ya Kidato cha Sita 2022. Majina ya wanafunzi hao yanapatikana kuanzia leo katika tovuti ya wizara...
  13. YEHODAYA

    Majina ya waliopata Samia Scholarship

    Majina ya waliopata Samia Scholarship yametoka tayari mwenye link atuwekee
  14. BARD AI

    Tsh. Bilioni 3 kutumika kusaidia Samia Scholarship

    Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita. Ufadhili huo ambao unaanza mwaka 2022/2023 unafanyika chini ya mpango unaojulikana kama Samia Scholarship. Akizungumza hayo leo Jumapili...
  15. kavulata

    Samia Scholarship ni uwekezaji wenye tija

    Rais wetu Mama Samia ametoa udhamini wa wanafunzi 600 katika elimu ya juu waliofanya vizuri masomo ya sayansi, sina hakika kama watanzania wengi wanalifahamu jambo hili jema kiasi hiki, maana elimu ni mti wenye mizizi mirefu sana, majani mengi na matunda yenye mbegu nyingi zisizohesabika idadi...
  16. Liverpool VPN

    Watumishi wa Umma Njooni mu "apply scholarship" za MOFCOM@China

    Halo JF ..... Mwaka jana mwezi wa 10 Wizara ya Utumishi wa Umma ilitoa Tangazo la maombi ya Scholarship kwa Masters na PhD kwa watumishi wa Umma. Kilichonishangaza ni kwamba tarehe 04/04/2022 Wizara Imeweka tena tangazo. Hii inaonyesha na kutafsirisha kwamba Watumishi wa Umma hawakuomba ili...
  17. Liverpool VPN

    Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

    Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri. Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Ndugu yangu amepata scholarship ya kwenda kusomea Ukraine

    Habarini za leo, Naomba kuuliza ndugu zangu. Ndugu yangu amepata skolashipu ya kwenda kusomea Ukraine. Alikua anauliza gharama za maisha zikoje na hali ya maisha kiujumla. Anatakiwa kuripoti mwezi huu, yeye amechaguliwa March intake. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Je, Scholarship ni mbinu ya kutengeneza Vibaraka hasa wa Kisiasa?

    JE SCHOLARSHIP NI MBINU YA KUTENGENEZA VIBARAKA WA KISIASA? Anaandika Robert Heriel. Scholarship inaweza kuwa na maana nyingi, mojawapo ni kumsaidia mtu/mwanafunzi kirasilimali aweze kupata elimu Fulani; Rasilimali hiyo inaweza kuwa Fedha, au mahali pa kuishi(makazi), au chakula, au vitendea...
  20. fatherhood

    Nawezaje kupata full Scholarship ya Postgraduate (Masters)

    Habarini wana JF Mimi ni undergraduate nimehitimu mwaka huu chuo Bachelor in Environmental Health Sciences (BSc EHS) tumezoeleka kuitwa MAAFISA AFYA. Ndoto yangu kubwa kusoma masters nchi za nje hasa hasa nchi zinazozungumza English. Natamaani nijue vyuo gan ambavo hutoa full scholarship ya...
Back
Top Bottom