Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au...
Durham International School, which is one of the oldest schools in England, is set to open its first branch in Africa in Nairobi, Kenya.
The school is located in the leafy suburbs of Thigiri and is expected to open in January 2021.
The school will offer the British curriculum and will start...
Mtoto Bahati S/o CORNEL, Mchaga, 8 yrs old, M/Funzi Umbwe primary school, Darasa la tano.
Mtoto huyu yupo hapa police Kawe ambapo alijieleza kuwa amepotea, alikuja jijini DSM akitokea mkoani Kilimanjaro ambako ndiko anakoishi na Baba yake Mzazi aitwae CORNEL JOSEPH MASAWE, ambae anafanya kazi...
Baada ya mashule kufungwa kupisha corona ipite zile Gari za kubeba wanafunzi maarufu kama school nyingi zilipaki majumbani, lakini baada ya mashule kufunguliwa wamiliki wa mashule wameamua kutumia mabasi machache kubana matumizi matokeo yake ni watoto kubanana sana mpaka wengine kukaa chini...
SCHOOL FEES: PRECIOUS SCHOOLS INAKOMOA WAZAZI
Kwanza ni pole kwa wale wote ambao kwa namno moja wamepoteza ndugu zao wapendwa kwa mlipuko wa ugonjwa wa Korona. Mwenyezi Mungu awape roho ya ustahimilifu kwa kuondokewa na wapendwa wetu.
Mada:
1. Baada ya Serikali kutangaza kurejea kwa shughuli...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL
Registration Numbers is S. 2544 and DS/02/7/037
Announce Vacancies for the academic year 2020/2021
We need the following staffs below starting August, 2020:
We need TWO ART TEACHERS starting August 2020:
One Art teacher for the Lower Secondary and one to teach...
Position: SCHOOL NURSE
Braeburn School Arusha requires a qualified nurse with the ability to work with young people, to be flexible as the work involves being on call during the night. To store and administer medication in line with health and safety aspects. To accompany students to hospital or...
Naomba kujua zaidi juu ya wapi napata driving school hapa dodoma na jezi gharama zipo je?
Je, naweza kupata ata kujifunza kwa minimum time ya 2 weeks?
Nisaidieni
TUNAPOKEA WANAFUNZI WA QT, FORM 4 & 6 RE-SITTERS, ENGLISH COURSE,
COMPUTER COURSE, FRENCH & CHINESE COURSE.
VIDEO PRODUCTION(SHOOTING & EDITING)
TUITION: KWA KIDATO 1 - 6 (ARTS, SCIENCE & BUSINESS)
DARASA LA 1 - 7 KWA MASOMO YOTE.
TUKO: MBEZI LOUIS, KIBANDA CHA MKAA, DAR ES SALAAM, TANZANIA...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kisarawe kuisajili shule mpya ya wasichana Kisarawe kwa jina la mkuu wa wilaya hiyo, Joketi Mwegelo.
Jokate amepokea taarifa hiyo kwa hisia na kusema hiyo ni heshima kubwa ambayo kuifikia amevumilia mengi ikiwemo baadhi ya...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.