school

A school is an educational institution designed to provide learning spaces and learning environments for the teaching of students (or "pupils") under the direction of teachers. Most countries have systems of formal education, which is commonly compulsory. In these systems, students progress through a series of schools. The names for these schools vary by country (discussed in the Regional section below) but generally include primary school for young children and secondary school for teenagers who have completed primary education. An institution where higher education is taught, is commonly called a university college or university, but these higher education institutions are usually not compulsory.
In addition to these core schools, students in a given country may also attend schools before and after primary (Elementary in the US) and secondary (Middle school in the US) education. Kindergarten or preschool provide some schooling to very young children (typically ages 3–5). University, vocational school, college or seminary may be available after secondary school. A school may be dedicated to one particular field, such as a school of economics or a school of dance. Alternative schools may provide nontraditional curriculum and methods.
Non-government schools, called also known as private schools may be required when the government does not supply adequate, or specific educational needs. Other private schools can also be religious, such as Christian schools, madrasa, hawzas (Shi'a schools), yeshivas (Jewish schools), and others; or schools that have a higher standard of education or seek to foster other personal achievements. Schools for adults include institutions of corporate training, military education and training and business schools.
In home schooling and online schools, teaching and learning take place outside a traditional school building. Schools are commonly organized in several different organizational models, including departmental, small learning communities, academies, integrated, and schools-within-a-school.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    SUA wakijizatiti kwenye tafiti na uvumbuzi, kulikoni Law School?

    Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga. Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi: Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi Ma lawyer...
  2. Rammyq

    Law school of Tanzania yapandisha ada na gharama nyingine, kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=

    Taasisi ya mafunzo ya uanasheria Kwa vitendo (LST) imepandisha gharama za mafunzo ya uanasheria kwa vitendo kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=. Ikumbukwe kuwa malipo hayo hufanyika Kwa mkupuo mmoja. Maswali ya kujiuliza; ~ Je, lengo la kupandisha gharama kwa kiwango kikubwa kiasi hiki ni...
  3. aka2030

    Product za Feza Schools huwa zinapotelea wapi?

    Naomba kujua Hii shule zaidi ya miaka 15 kila mwaka kitaifa matokeo ya form 4 na form 6 lazima iwepo. Ila product zake sijawahi kutana nazo sio serikalini hata private sector. Huwa zinaenda wapi?
  4. BARD AI

    Dkt. Mwakyembe akabidhi ripoti ya uchunguzi kufeli mawakili LST

    Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Harrison Mwakyembe amesema changamoto hizo pia...
  5. Pdidy

    Malori ya cement wazo yakaguliwe yote kama school bus.. Tutaishaaa

    Tumepoteza jirani na mzazi alietegemewa na watoto wake asubuhi kisa break za haya malori ya kubebea cement kufeli. Mh RTO niwapongeze kwa zoezi zuri la kukagua mabasi ya shule wengine leo watoto wanabebwa na no ....E...Shule nyingi zimenunua mabasi mapya baada ya zoezi. Tunakuomba watu tukaao...
  6. T

    Tender - Construction of the boundary wall to The School of St Jude

    Tenders are invited for the construction of the boundary wall at Moshono Campus Arusha,-Tanzania. Interested bidders must first visit the site at Sisia Campus and sign the construction guideline form prior to submission of the tender. The site visit will be done from Tuesday 1st to 11th...
  7. B

    Wanafunzi Law school ya Tanzania mnayo ya kujifunza Kenya

    Mzizi wa fitina pale law school ni ukiritimba unaozalisha miungu watu. Lawyer seeks to break Kenya School of Law monopoly Kenya walikwisha yaona hayo na hatua zinaendelea kuchukuliwa katika level mbalimbali. Kwenye uwanja wa mapambano options zote ni muhimu kuwa mezani. Ikumbukwe tofauti...
  8. B

    Maoni kuhusu Law School, Mzengwe au ajali?

    Kumekuwa na jitihada za kuona hali ya shule ya sheria (LST) inaanikwa kwa uhuru. Hata hivyo jitihada mbalimbali zimekuwa zikiyeyuka "miraculously" bila sababu halisi kuwekwa hadharani. "Hii nchi ni ngumu sana" - alisikika ndugu mmoja akiugulia maumivu moyoni. Hili ni la kamati ya majaji...
  9. B

    Wanafunzi Law School kulikoni kushindwa kujisimamia

    Waswahili wanasema ukishikwa shikamana. Ukitusubiri kina sisi hadi tuelewe kadhia yako unaweza kuwa marehemu kabla ya kupata usaidizi. Mwakyembe kasema yake: Majaji wameunda tume Yao. Nyie tume yenu iko wapi? Tume yenu si ndiyo ingekuwa forum nzuri ya kupeleka majumuisho ya shauri lenu...
  10. Mr Pixel3a

    Suala la Law School of Tanzania limeletwa kimkakati wa watu wachache

    Either wakufunzi kutafuta kujulikana ama kuundwa kwa schools nyingi kuwapa ulaji watu wa system.Haiwezekani kamati ya matokeo ikae iamue kabisa kutoa matokeo mabovu kiasi hiki.
  11. B

    Law School na kauli za mfa maji haishi kutapa tapa

    Sakata la wanafunzi LST kufeli limeendelea kujipambanua. Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe Inafahamika kuwa walimu LST nao ni products za vyuo hivi hivi hapa nchini. Kama vyuo vinatoa wanafunzi wasioiva hawa walimu wao walijiivisha namna gani? Kufeli uwakili kilio Afrika...
  12. M

    Namna ya kuibadili shule kuwa International school

    Habari ndugu zangu tupo na shule yetu inaitwa WILLIAM BRANHAM PRE AND PRIMARY SCHOOL ipo Mbeya - Mkoa wa Songwe Tunduma tupo kwenye mikakati ya kuifanya iwe international school. Naombeni ushauri na mawazo hatua mbali mbali za kufuata ili tuweze kuifanya international school ili niweze kushare...
  13. B

    Prof. Shivji na maoni yake kuhusu kadhia ya Law School

    Prof. Shivji ametoa maoni yake kuhusu kadhia ya Law School. Anasema Shivji: “Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.” Prof. Shivji anafahamika kwa misimamo yake. Anachozungumzia hapo ni umuhimu wa critical thinking...
  14. T

    Mwaka juzi 2020 zaidi 90% ya wanafunzi wa Law School of Kenya walifeli, mitihani, uchunguzi ukaonyesha LSK ndio wenye makosa

    Hii sakata la wanafunzi wa Law School of Tanzania kushindwa kufaulu mitihani kwa kiwango kikubwa hivi imenikumbusha sakata kama hilo kwa LSK kwa mwaka 2020 ambapo zaidi ya 90% ya wanafunzi wali fail. Baada ya matokeo kutoka na malalamiko kua makubwa, Serikali ikaamuru uchunguzi ufanyike na...
  15. M

    Law School of Tanzania: Imeondoka kwenye lengo la msingi na kuingia kwenye biashara /upigaji, kilichotokea ni mwangwi wa mhamo huo!

    Kimsingi Law School of Tanzania inapaswa kushughulika na kuwawezesha wanafunzi kupata ujuzi kwa vitendo ndiyo maana inaitwa LEGAL PRACTICAL TRAINING! Inalenga kuwapatia wanafunzi weledi katika utekelezaji wa majukumu yao kwa vitendo zaidi. Hawajaenda pale kushindiliwa tena elimu ya sheria kwa...
  16. B

    Matokeo Law School yafanyiwa ukarabati

    Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi. Tulipo kumeundwa tume ambayo composition yake ni suala jingine. Cha kushangaza kutokea kwenye website ya matokeo ya LST cohort 33 kuna ukarabati mpya! Awali kulikuwa na cases za marks dash (-) kwenye somo moja mtu kafaulu na dash (-) kwenye somo...
  17. B

    Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

    Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri. Kwa sampuli hii: 1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika taasisi hiyo (LST). “Wanafunzi wanaandaliwa vizuri (vyuoni) isipokuwa kutakuwa na shida LST...
  18. Jaji Mfawidhi

    Sakata la Law School: Sheria isomwe miaka 4, 'vyuo vya kata' vifungiwe

    Wanafunzi wazembe ambao pia ni limbukeni wa mapenzi na maisha ya Dar, wameamua kufungua kesi kushitaki chuo cha sheria kwa kufeli masomo. RUCO[RUAHA UNIVERISTY] UDSM[MLIMANI], SAUT ni vyuo vinavyotoa DIGRII kwa miaka 4 na vilivyobaki vyote ni miaka 3 ambapo pia kile chuo cha kanisa la MARTIN...
  19. Linguistic

    Adv. Bashir Yakub: Tatizo siyo Law School

    TATIZO SIO LAW SCHOOL. Tatizo ni vyuo vya sheria. Tatizo linaanza na sifa za udahili wa wanafunzi wanaostahili kusomea sheria katika vyuo, na Pili mfumo wa ufundishaji vyuoni. Kuna vyuo hadi mwenye D flat, D English, D kiswahili na D history anapata na nafasi ya kusoma sheria. Sasa hivi...
  20. B

    Tume ya Kuchunguza kadhia ya Law School inapaswa kuwa huru

    Ni hatua njema kuwa umeonekana umuhimu wa uchunguzi kuhusiana na kadhia ya Law School of Tanzania. Dk Mwakyembe kuongoza uchunguzi malalamiko mtihani Uanasheria "Hata hivyo kunahitajika tume huru si tume tu kwa jina." Ikumbukwe Dr. Mwakyembe amekuwepo sana UDSM Faculty of Law, ambao wao (eti)...
Back
Top Bottom