security

  1. 100 others

    Nilikuwa naikubali Israel kwenye cyber security, kumbe wachovu tu mbele ya Iran

    Israel ambayo ili hack kaspersky 2014 na kuwapa taarifa NSA kuhusiana na uvujishwaji wa taarifa unaofanywa na kampuni hio, inasemekana kaspersky ilikuwa ikishirikiana na FSB (KGB zamani) kudukua taarifa mbali mbali za watumiaji, baada ya hapo USA ika ban kaspersky kutumiwa kwenye vitengo vyoote...
  2. Hisha Sorel

    Strict Internet and information Laws is a must for Tanzania security. My case in 800 words or less

    As President Bill Clinton mocked the Chinese president Jiang Zemin for his nation’s naivety in attempting to control the internet, the great firewall of China as it was pejoratively known, the crowd joined. At the time, in 2000s, this response was sensible considering how unknown the internet...
  3. Tony254

    Kenya itajoin UN Security council kwanzia Kesho January 1 2021

    Baada ya Kenya kuchaguliwa kujiunga na Security council, Kenya itaanza kuwakilisha Afrika rasmi kwenye security council kuanzia Kesho. Asanteni Tanzania kwa kutuchagua. https://www.the-star.co.ke/opinion/2020-12-31-kenyas-two-year-tenure-in-united-nations-security-council-commences/...
  4. Environmental Security

    Mchango wangu kwa idara ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira

    Habarini wanajamii intel... Leo nimeona ni vema namimi kutoa contribution yangu kwa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira - Environmental Security Kabla sijaendelea naomba kudeclare; *Mimi ni kijana MTANZANIA mzalendo kwa taifa langu. *Mimi ni...
  5. Neter

    Black man beaten to death by supermarket security guards in Brazil

    WARNING: GRAPHIC CONTENT In a Carrefour supermarket, 40-year João Alberto dies after security agent kneels on his back for four minutes; protests erupt across Brazil Note from BBT: When I first heard the slogan Black Lives Matter some years ago, one of my first thoughts was, if black lives...
  6. Intelligence Justice

    The Shift of Political Diplomacy to Economic and Security Diplomacy

    Esteemed Great Thinkers There is fast shift of the political diplomacy to economic and security diplomacy in teh current era that Tanzania should not grant a room to be aggressively superseded and call it a junk for fear to be blamed. The country has to vigorously engage in strategic economic...
  7. Q

    Uchaguzi 2020 US Foreign Affaires: We call on Tanzanian security forces to immediately cease violence

    Engel Statement on Elections in Tanzania Bronx, NY—Representative Eliot L. Engel, Chairman of the House Committee on Foreign Affairs, today made the following statement: “It has been tragic to see Tanzania, once a promising democracy, slide into autocracy under John Magufuli’s leadership...
  8. The Palm Tree

    Tundu A. M. Lissu & "Protocol Security" yake....

    Nimefurahi kusoma taarifa nyingi humu kuhusu "convoy" ya Tundu Lissu inavyoendelea katika mikoa 10 kuzifuata saini za wadhamini ili wampe uhalali wa kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.... Safari ilianzia Dodoma mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa...
  9. Mnyamahodzo

    China - Tanzania Security wameshindwa kuilinda miundombinu ya UDART (Mwendokasi)

    CT Security ndiyo waliopewa jukumu la kulinda miundombinu ya Mradi wa mabasi ya mwendokasi: Kimara hadi Kivukoni, Morocco hadi Gerezani, Depot yao pale Jangwani na feeder stops kama zile za Shekilango, Kinondoni. Katika feeder posts sasa hivi kumeshaanza kufunguliwa bolt na nuts zake...
  10. X_INTELLIGENCE

    Mwenye kuifahamu Nguvu Moja Security

    Ndugu zangu, Rejea kwenye post yangu NATAFUTA KAZI MAJI YAMENIFIKA SHINGONI. nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi GARDAWORLD nalipwa 240,000/= kwa mwezi hapo makato yote yamesha katwa. Japo nina diploma ya uandishi wa habari, nimetafuta kazi inayoendana na elimu yangu takribani miaka...
  11. YEHODAYA

    Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

    Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa. Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering. Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
  12. B

    Kiti Security Council, hatukusimama na ndugu zetu?

    Kenya mara nyingi imejinasibu kwa maneno na vitendo kuwa ni ndugu zetu. Rais Kenyatta ameutamka u ndugu huo mara kadhaa ikiwamo katika sekeseke la mipaka yetu inayoendelea kutatizika na virusi vya Corona. Pamoja na matamko, rais Kenyatta alirejesha marundo ya pesa na dhahabu yaliyokuwa...
  13. Don YF

    UN Security Council election: South Africa supports Kenya

    South Africa is more reasonable than our immediate southern neighbours, wanajua the most important and economically strong country in East Africa as they confess; strategic for them and for the good of Africa. Hawana wivu, forward looking not backward thinking and negative like. Wanajijua...
  14. kikoozi

    Msaada wenu wajuzi wa computer: Bitlocker password kwenye external HDD

    Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
  15. Jamii Opportunities

    Business Development Executive Security Services at G4S

    Business Development Executive Security Services Are you excited by the benefits that technology enabled safety & security solutions can offer customers? Do you have proven success in selling services that deliver value & effectiveness & have a pipeline to convert? Interested in developing...
  16. Mag3

    Tanzanian doctors sound alarm over hidden coronavirus cases...‘Corona is considered a security issue, not a public health issue’

    The New Humanitarian ...Amsterdam The New Humanitarian spoke to five Tanzania-based doctors and medical specialists about the response, either by telephone or email. All only agreed to speak on condition of anonymity, such was their fear of reprisals from a government whose human rights record...
  17. Jamii Opportunities

    Senior Manager; Forensic & Security at NMB Bank Plc

    Position: Senior Manager; Forensic & Security Deadline: 2020-05-21 Job Purpose To develop and implement anti-fraud policies and procedures to ensure reduction of fraud cases; Ensuring that all fraud related occurrences assigned for further investigation are quickly and thoroughly investigated...
  18. KITAU TRANSPORT AND GPS

    SOFTWARE Funga GPS kwenye magari, pikipiki yako na komesha wizi

    Habari Wadau wa Jamii Forum, Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu. Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
  19. mbutamaseko

    Kukosa mishahara sekta binafsi: Ni muda wa Social Security Funds kutoa hata 30% ili watu wajikimu

    Kulingana na yanayotokea kwa watu kukosa mishahara mfano shule binafsi kama tusiime, st Anne Marie na zingine nyingi ilhali watumishi hao wanachangia vizuri tu nssf. Serikali aioni haja ya kuruhusu watu wachukue sehemu ya asilimia 30 tu ya mafao yao ili kujilinda kipindi hiki cha janga la...
  20. BenKaile

    Wito fanya ufutaji wa akaunti zako kwenye applications au kompyuta kabla huja uninstall programu husika

    Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia. Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
Back
Top Bottom