Hii kampuni iliwahi kuhudumu kwenye mradi wa Mwendokasi kipindi fulani na baadae kupewa kazi hiyo Suma JKT. Sasa inaonekana kampuni hiyo imerudi tena ulingoni.
1. Je, nini kilifanya iondolewe mwanzo na sasa kurudishwa?
2. Ina maslahi gani na kampuni ya UDART? Au mmiliki/wamiliki wake ni nani...
How to Protect Yourself from Online Shopping Security Threats
Here are easy actions which will reduce your risks during online shopping.
☑️ Update Your Browser and OS. These updates protect devices from vulnerabilities and online attacks.
☑️ Use Powerful Antivirus/Anti-Malware Software. Built...
Habari za muda huu Tech Gurus?
natumia simu aina ya Camon 16.
Hii simu kwa kuhofia kwamba siku ikipotea nije niipate kirahisi, nimeacha kuweka Security lock, zile za Pattern, number, password ama Fingerprint.
Ina SWIPE tu. Je, niko sahihi kiusalama?
Je, siku ikipotea naweza kuipata?
Shikamoo mama. Pole na majukumu. Bado ninaamini kuwa wewe una utu. Endelea kuwa na utu na siyo ulegevu. Majizi ni mengi kuliko idadi za pikipiki zilizoko mkoa wa Katavi. I love you. Naomba nikupe ushauri.
Data zinaonyesha mambo yafuatayo:
1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana...
Gharama hizi hujuisha huduma zote bila ongezeko lolote kutoka kwa mteja.
Huduma zetu hujumuisha
✔Electric fence installation 23000/meter
✔Air condition supply and installation 950,000
✔Finger print registry access control 800,000
✔Gate motor installation 1,750,000
✔Intercom system installation...
Mali has approached private Russian security companies for help in its fight against terrorism following the French government’s “unilateral” decision to “abandon” the West African country.
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov confirmed to reporters during a press conference at the UN...
Katiba ya JMT ibara ya 109 (2) inampa Rais mamlaka ya kuteua Jaji Kiongozi na Majaji wengine wa Mahakama kuu, Muhimili huu wa utoaji haki unatakiwa kuwa huru katika kutekeleza shughuli zake hiyo ibara ya 107B imetamka bayana kuwa mahakama zote zitakuwa huru pasipo kuingiliwa na muhimili wowote...
Diplomats from Africa’s three representatives and that of the Caribbean at the UN Security Council are gathering in Nairobi to work on a common agenda as the continent faces three crucial crises.
The diplomats from hosts Kenya, Tunisia, Niger and the Saint Vincent and Grenadines, often known...
Wanajukwaa, nadhani serikali yetu inabidi iangalie kwa umakini mkubwa haya mambo ya ukatili ndani ya hii nchi. Kuna mambo ya ajabu mno.
Mara kwa mara naenda Mikocheni kumtembelea mchumba wangu anayeishi Mikocheni Baraka Plaza Apartments, na mara nyingi nawakuta vijana wale wale waigwa lindoni...
Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?
Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena kupita nyuma ya hao Walinzi wenye silaha nje nje, kwa akili zangu za kawaida naona hatari maana kama...
Women empowerment inalazimishwa mahali haifai.
This people are just trying to copy what men normally do but in a dangerous exaggerated way.
The Head of presidential security Tanzania Mwenye amepanga hao wanawake is doing a great injustice to Suluhu.
Don't put too many women around the...
Mvutano baina ya Vikosi vya Usalama na Waandamanaji wanaopinga Utawala wa Jeshi umeendelea Nchini humo ambapo Polisi imesema watu kadhaa wamekamatwa.
Vikosi vimetumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji katika Mji Mkuu wa N'Djamena. Imeelezwa kundi hilo limechoma bendera na kukabiliana na...
Kenya kama Mwakilishi na mteteaji wa maslahi ya kiafrica imechukua jukumu lake na kuanza kuchapa kazi kuhakikisha waafrica wanaskizwa na hoja zao zinapatiwa nguvu inayostahili.
A closed session of the Security Council to discuss the danger of the spread of mercenaries in Libya to the countries...
Kenya has signed crucial agreements on transport, security and trade with the Democratic Republic of Congo, signalling a push to improve low figures of business between them.
After a bilateral meeting between Presidents Uhuru Kenyatta and his host Felix Tshisekedi, the two sides on Wednesday...
LinkedIn imethibitisha kuwa taarifa zilizofutwa kutoka kwa watumiaji milioni 500 wa mtandao huo ni sehemu ya hifadhidata ‘database’ zilizochapishwa na wadukuzi.
Taarifa za kudukuliwa na kuuzwa kwa data ilichapishwa mara ya kwanza na tovuti ya utafiti ya Cybernews ya usalama wa kitandao tarehe 7...
There's been a security incident outside the capitol, one policeman is receiving treatment, while one officer succumbed to injuries. The suspect too, was neutralized on sight after he lunged at the officer with a knife immediately after breaching the barricades which were erected. Area under...
Shikamoo mama Samia. Nimeona uko serious sana na report ya CAG. I love you. Nchi hii imejaa notable crooks. Please deal with them.
Nenda kwenye public institutions and do something. Halmashauri nyingi ni wezi but hali ni worse kwenye public institutions. Unfortunately your CAG doesnt audit all...
Lissu started questioning whereabouts of the President on March 7th 2021. As per the Vice President our President Dr. John Magufuli was hospitalized on 6th March 2021.
This clearly shows Lissu was fed information about the health of our President by his sources which he claims are reliable...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.