Job Opening ID: 226753
Job Network: Internal Security and Safety
Job Family: Security
Category and Level: Field Service, FS-4
Duty Station: ARUSHA
Department/Office: International Residual Mechanism for Criminal Tribunals
Date Posted: Jan 29, 2024
Deadline: Feb 27, 2024
Responsibilities...
Wanajamvi habari za leo, nataka kufanya Masters in Computer security online, nimepata collage moja ipo spain inaitwa tech technological university, wapo nchini spain na wamekuwa wakinipigia simu mara kwa mara ili nijiunge nao.
Sasa kabla sijafikia maamuzi naomba ushauri kwenye hili jambo kama...
Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa'
Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
Habari wadau watalaamu
Ningependa kufahamu kama hiyo tittle and its content are
1. Researchable
2. Punctually Collect
Maana nimeSubmit sehem mbili ambapo sehem moja imepokelewa vizuri wakati sehem nyingine imekataliwa kabisa kuwa imekosewa.
NB: TZ-CERT (Tanzania Computer Emergency Response...
kituo cha afya mkarama kinatafuta security kwa ajili ya kuweka usalama eneo la hospital...sifa awe ni kidato cha nne na awe amepitia mafunzo ya jeshi la kujenga taifa, kwa mawasiliano zaidi nicheki pm
Position: ICT Officer II (System Security)
Qualifications and Experience
Holder of Bachelor Degree in one of the following fields; Computer Science, Information Systems, Information Technology, Computer Engineering, Telecommunication, Electronics or equivalent computer qualifications from...
Habari wanajf.
Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.
1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)
Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
Vacancy - Tigo Pesa
Post Title: Cyber Security Manager
How to Apply
If you are interested in applying for this position, kindly address your email to career.tz@tigo.co.tz
On the subject line, indicate the role you are applying for (eg. Cyber Security Manager).
Attach your CV in PDF format...
Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani.
Elimu yangu ni form four level pia na driving certificate ya magari madogo
Habari zenuu
Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi, ninataka kufunga security camera nyumbani.
Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma).
Nataka kufunga maeneo matatu.
Asanteni.
Nikiwa nimechili zangu, kidume Sina hili wala lile maeneo ya Kwa Sadara ghafla anatokea Mzee anae kadiliwa kuwa na miaka zaidi ya 82.
Mzee ni wa makamo ila anaonekama kuwa very upstea kichwani mwake.
Katika mazungumzo yetu Mzee anamsifia Rais wa awamu ya sita Kwa mengi mazuri anayoyafanya...
Wakuu na wataalaamu wa phone security,
Nini mtu afanye ili kuiwekea ulinzi smart phone ili itakapoibiwa ama kupotea aweze kuitrack?
Wezi wanaflash (factory reset) na kubadili IMEI number. IMEI NUMBER inapokuwa changed, habari kwishney, polisi wanakuwa hawana msaada wowote tena.
Je, kuna...
Kwa wale wenye Nia za kuifungua ofisi ambazo zinahitaji network au mifumo ya hospitalini au kufunga camera za usalama kwa majumbani na ofisini au sehem za biashara.... Naomba tuwasiliane nafanya kazi kwa uhakika kabisa.
Sina meng ya kuandika ila mwenywe swali karibu na mwenye kazi karibu...
Ndugu zangu kwa anaejua Taratibu zakuomba kazi kwnye hii kampuni ya GARD SECURITY WORLD mana nimengalia mtandaoni naona kingereza kingi sana afu nchi nyingi nimeshindwa kuelewa, Naomba msaada 0693206150
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.