SHAJARA YA MWANAMZIZIMA:
MJUE ‘MAMA KIZIMKAZI’ NA KWAO!—1
Na Alhaji Abdallah Tambaza
ILIKUWA ni Jumapili angavu yenye nuru tokea kulipopambazuka asubuhi, Agosti 21, mwaka huu, mbele ya jumba jeupe (Ikulu) la Makao Makao ya Serikali, kijijini Chamwino, yapata kilometa 35 kutoka Dodoma, mjini...
KWAKO MH MSAJILI
NIMEONA CLIP MOJA YA KIJANA MMOJA MPENDA MTANDAO KAMA NDUGUYETU YULE KIBOKO YA WACHAWI
HUYU BWANA ANASEMA HANA MPANGO WA KUFUNGUA KANISA ANAFUNGUA SEHEMU YA KUABUDIA
MWENYE DINI YOYOTE AJE NA AJALAZIMISHA MTU KUJA
AMESEMA YUKO KWENYE PROXESS ZA KUOMBA USAJILI
NAOMBA KABLA...
Wakuu habari zenu..........
Bila shaka wengi wetu tumekuwa tukisikia kuhusu bermuda triangle sehemu ambayo inapatikana bahari ya atlantic na huwa tunasikia kwamba meli yoyote ikipita eneo hilo basi huwa una uwezo wa kuzama na hata ndege inaweza kuvutwa na kuzama katika bahari hiyo....
Swali...
Salaam wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada.
1. Majohe "KWA NGOZOMA"
Huyu ngozoma nasikia yupo mpaka leo na ana bucha lake, alikuwa mfanyabiasha na alifungua duka kubwa sana maeneo hayo ya majohe wakati panaanzishwa miaka ya 2005 hivi.
2. Kwa Azizi Ali (Anayejua atuambie )
3. Kwa mpalange...
Sio kila mtu anapenda kukuona ukifanikiwa. Tumezungukwa na watu wenye roho mbaya wakiuliza lini utaanguka maisha yako
Usipotawala utatawaliwa. Usipotafta raha machungu yatakuwa mtaji wako ukiwa na maumivu ni furaha kwao
Mateso yetu kwaoo n sikukuuu
Kuanguka kwetu n shangwe usiku mzima kwenye...
Kijana anayesemekana aliingizwa chupa sehemu za haja kubwa na Mheshimiwa Naibu Waziri (Mstaafu) na Mbunge wa Babati Mjini anastahili huduma za kisaikolojia vinginevyo tutampoteza Kwa kadhia Ile.
Natumain ni wazima wa afya kwa mtu yeyote anaweza nisaidia jina la dawa na sehemu ya kuipata kuondoa michubuko sehemu ya haja kubwa pembeni ule utandu utandu wote uondoke
Linapokuja suala la umiliki wa pesa basi tunazungumzia hisia ziletwazo na pesa ambavyo kwa namna yoyote unatakiwa hisia hizo zisikushinde bali uzitawale.Wengi hatutafuti pesa kama zilivyo karatasi bali tunatafuta ile hisia ambayo mtu anakuwa nayo akiwa na pesa ndio maana leo hii mtu akiwa na...
Wa gwaan, Jah Rastafarai, Selasie I King.
Wakush mpo? Ni amanii?
Swali hili linawahusu pia ma-vegetariano (sio ma-vegan), watu wote ambao kwa sababu zao na za ki-maadili hawali wanyama (ila wanatumia bidhaa zao kiasi) naomba wote mnijibu lakini haswa hawa marasta.
Kulingana na kanuni za ulaji...
Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.
Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!
Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana...
Hii ndio sababu kuu inayowafanya wapenzi wenu watembelee maeneo ya starehe.
Utapambana sana kumzuia; lakini atasingizia anaenda kucheki mpira, mara kupata moja mbili tatu, mara kusikiliza mziki, mara kujadili mambo ya kikazi au kibiashara na marafiki zake n.k
Ila ukweli ni huu..
Kabla ya kuwekeza fedha zako kwenye ardhi na majengo, ni muhimu kupata maarifa sahihi kwa sababu kadhaa.
Kwanza, maarifa haya yatakusaidia kuelewa hali halisi ya soko la ardhi na majengo, ikiwa ni pamoja na bei, mahitaji, na mitindo ya uwekezaji inayofaa. Bila uelewa huu, unaweza kupoteza...
Mimi sio mnywaji wa pombe ila mara kadhaa nimesikia wanawake wakilamikia waume zao wenye hizo tabia, Malalamiko yanakuwa makubwa zaidi wakinywa nje kuliko wakinywea nyumbani.
Iwe ni bar, lounge, pub, kilabuni, n.k. mtu aliezoea kukesha kiasi cha kurudi nyumbani usiku au kulalia huko huko huwa...
Sasa ivi hii platform hovyo sana!
Kila nyuzi wanafuta!!
Hata nyuzi zisizo za siasa!!
Maoni binafsi
story binafsi
Yaan kifupi wanataka kila mtu awe mwandishi wa habar siyo sehemu tena ya ku interact.
Good luck Jf Nawa tabiria kifo by 2030
Bakhresa, GSM, Mo Dewji na wafanyabiashara wachache hapa Tanzania wamechana msamba, ni ndoto za abunuwasi kudhani unaweza fika hapo kwa kuacha kitu cha uhakika unachoweza fanya bila backup plan, connections, resources, n.k. utashangaa mtu anaacha kazi na hajawahi kufanya biashara eti hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.