WALIMU SITA, WANAFUNZI MIA SABA
Mwabusalu Sekondari, Meatu Simiyu
(Miaka 3, DIV I-0, II-7, III-14, IV-74, O-9)
Habari Gani Tanzania?
Shule ya Serikali ya Upili ya Mwabusalu (SLP 232) iliyopo Wilayani Meatu, Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na uhaba wa walimu kwa miaka mingi sasa. Mwaka huu wa 2021...