sekondari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kimsboy

    Muulizeni Tony Blair ziko wapi solar alizosema atagawa kwa sekondari zote nchini za vijijini?

    Nisaidieni kumuuliza Rais Samia atuambie zile Solar tony blair aliahidi atagawa kwa shule zote za sekondari za vijijini imeishia wapi? Aliahidi toka mwaka 2013 hadi leo hatujaona kitu Pia alipewa tuzo kama mtetezi bora wa mashoga kwa miaka 30 mfululizo Habari kamili hiyo...
  2. REJESHO HURU

    Pesa za ujenzi wa madarasa sekondari ziende mapema maeneo mengi msimu wa mvua unaanza

    Tuipe hongera serikali ya awamu ya sita kwa hatua ya hiii inayoenda kufanya wito huu sio mda tena wa Kila waziri kwenda kwenye vyombo vya habari nakuanza kuongelea hizi pesa za ujenzi wa madarasa wakati bado pesa zipo hazina hazijafika katika halmashauri Pelekeni pesa haraka mwezi January siyo...
  3. CM 1774858

    Serikali kujenga madarasa mapya manne katika kila shule ya Sekondari ya Serikali. Watoto wote 1M kuanza shule Januari 2022

    Rais Samia kujenga madarasa mapya manne ( 4 ) katika kila ilipo shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Watoto wote 1M wa kidato cha kwanza nchi nzima kuanza shule Siku moja ambayo ni tarehe 06|01|2021 ==================================== Tanzania inajumla ya shule za sekondari 5,143 hii...
  4. B

    Ridhiwani Kikwete afanya ziara ya kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari

    "Nimefanya ziara kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Chalinze Modern Islamic. Sekondari hii ni alama ya mashirikiano baina ya Serikali na watu binafsi. Kupitia Serikali ya awamu ya Sita, mashirikiano haya yatazidi kuimarishwa kwa faida ya Taifa letu." Mbunge wa Chalinze Mkoani...
  5. Mkulungwa01

    Wakati nikiwa Sekondari nilikuwa kijana mpole na mwenye heshima sana

    Mshana Jr natambua uwepo wako kaka yangu, na wote wana-JF. Wakati nikiwa secondary nilikuwa kijana mpole na mwenye heshima sana kwa kila mtu(japokuwa mpaka sasa nina heshima), ilikuwa kama ni kula nikose mimi mwingine ale, nilikuwa jalala la kila mtu aliyejisikia kutoa matani yake(hata yale ya...
  6. N

    Mapenzi ya shule: Nilipata mtoto nikiwa Sekondari

    Habari waungwana, Nawasimulia kwa ufupi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo. Nilipokuwa kidato cha pili nilikuwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana, nilikuwa mpole sana na mkimya mno. Siku moja Mwalimu wa kiswahili akasema wanataka kuanzisha kikundi...
  7. K

    Naonekana sina shukrani hata sijui kosa langu

    Maisha haya yaache tu, mama yetu alifariki tukiwa wadogo tulizaliwa watatu, mimi na wadogo zangu wawili wa kike, baada mama kufariki baba alitulea mwenyew kiubishi japo kwa mzee pesa ya kula ilikua haisumbui. Nilipomaliza darasa la saba akaja kunichukua kaka yangu mtoto wa mjomba tumbo moja na...
  8. ROJA MIRO

    SoC01 Somo la Stadi za Kazi kwa Shule za Msingi unavyoweza kuzalisha ajira kwa watakaoshindwa kuendelea na Sekondari

    Kwa mujibu wa muhtasari wa somo la stadi za kazi kwa wanafunzi ambao umeadaliwa kutokana na mtaala wa elimu ya msingi kuanzia darasa la 3 hadi la 6 wa mwaka 2016 muhtasari ambao kwa sasa umefutwa,kupitia muhtasari huu mwanafunzi aligemewa kujenga stadi za usafi,mapishi tofauti,ujasiriamali,na...
  9. B

    Ushauri: Somo la Ujasiriamali liongezwe katika Mitaala ya viwango vyote vya Elimu

    Ninaishauri serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kuanzishwa kwa mtaala wa ujasiriamali katika kila level, ili iweze kuwasaidia vijana wengi pindi wanapomaliza au kuhitimu mafunzo mbalimbali waweze kukabiliana na hali ya maisha watakayokutana nayo bila kutegemea ajira kama...
  10. SAKA25

    Muongozo na vyuo vya kujiunga kwa ngazi ya Ualimu Stashahada

    UTANGULIZI Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia anatangaza nafasi za mafunzo ya Ualimu kwa ngazi ya Stashahada ya Ualimu Elimu ya Sekondari. Waombaji wa mafunzo haya ni wahitimu wa Kidato cha Sita wenye ufaulu wa Daraja la Kwanza hadi la Tatu (I-III). Wizara inakaribisha maombi ya...
  11. DustBin

    SoC01 Stashahada kiwe kigezo au sifa ya lazima kwa Walimu wa Shule za Sekondari

    Taifa kuwa na elimu bora ni pamoja na kuwa na walimu mahiri wenye misingi ya ualimu na maadili ya kazi hiyo. Mbali na kazi ya kufundisha lakini pia mwalimu ni mlezi. Hivyo tunatarajia watoto wetu wakipelekwa shule wapate elimu bora pamoja na kulelewa kimaadili kwa ajili ya kuandaa taifa la kesho...
  12. Mwamuzi wa Tanzania

    Nitaishangaa serikali kama kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 haitatoa chakula cha mchana bure kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini.

    Habari zenu viongozi! Ni dhahiri Tanzania inakwenda kuwa serikali tajiri. Serikali ambayo haitakuwa tegemezi kwa namna yoyote ile. Kuna changamoto nyingi nchini katika sekta za afya, elimu, na uchumi. Nikianzia sekta ya elimu , serikali itoe chakula cha mchana bure mashuleni. Huku msingi na...
  13. Miss Zomboko

    Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (GESECO) imefungwa kwa muda wa wiki mbili baada ya kuungua mara 3 ndani ya siku 7

    Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule ameifunga Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (GESECO) kwa muda wa wiki mbili baada ya moto kuwaka katika bweni la wavulana usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2021. Kutokana na uamuzi huo, wanafunzi wote wametakiwa kurudi majumbani, na wanafunzi wanaosoma...
  14. Shimba ya Buyenze

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati...
  15. wajingawatu

    Shule za Serikali kufanya vizuri kuliko za Binafsi: Je, ni mkakati wa kuzifuta shule binafsi, kama walivyokuwa upinzani?

    Sioni sababu ya shule za Sekondari za Serikali kufanya vizuri kuliko za watu au mashirika binafsi. Ila naamini kuna mkakati wa kuzifuta shule za binafsi kwa njia ile ile iliyotumika kuvidhoofisha vyama vya upinzani. Wenye povu au hoja tofauti mnakaribishwa.
  16. M

    Tsh milioni 12.9 zatafunwa shule ya Sekondari Lugarawa

    Mil 12.9 zatafunwa shule ya sekondari Lugarawa Na Amiri Kilagalila,Njombe Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Andrea Tsere ameagiza jeshi la polisi kuwakamata wote walio husika na upotevu wa Mil 12.9 fedha iliyochangwa na wananchi kwa ajili ya chakula cha wanafunzi wa shule ya sekondari...
  17. Analogia Malenga

    Waziri Ummy: Michango ya kujiunga kidato cha tano kwa shule za Serikali isizidi Tsh. 188,000

    WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu, amepiga marufuku wakuu wa shule zote za serikali kutoza michango ya kujiunga na kidato cha tano zaidi ya Sh. 188,000. Amesema mkuu yeyote wa shule atakayebainika kukiuka agizo hilo, hatua kali...
  18. balimar

    Toa Maoni yako kwenye Uboreshaji wa Mtaala wa Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari

    Hello Tupo na Mkutano hapa Dodoma Uboreshaji wa Mtaala wa Elimu Awali, Msingi na Sekondari Wapenda kujenga nchi mnaombwa kutuma maoni yenu kwa namba hii 0735041169 Unaweza kutuma maoni yako Hapa mkutano unaendelea, pia unaweza kufuatili kwenye mitandao ya kijamii na TBC One Asante
  19. Replica

    Mulugo: Mwaka Kesho Serikali itashindwa kuwapeleka watoto Sekondari

    Naibu Waziri wa zamani wa Elimu na Mbunge wa Songwe, Philip Mulugo leo Bungeni amesema mwaka kesho serikali itashindwa kuwapeleka watoto Form one kwenye shule za serikali kwasababu mpango wa elimu bure ulianza miaka sita iliyopita hivyo watoto waliopo leo darasa la sita ni takribani 1.8 milioni...
  20. C

    Natafuta ajira ya ualimu wa sekondari shule ya private au kituo chochote cha elimu

    Najua kuna watu wananishangaa, na huenda wapo watakaonishauri nisubiri matokeo ya ajira zilizotoka juzi. Lakini mimi hizo nimepishana nazo. Baada ya kumaliza chuo nilirudi nyumbani (kijijini) kabla ya vyeti kitoka. Na nilipokuwa huko nilipishana na deadline ya kutuma hizi ajira za juzi...
Back
Top Bottom