Habari za mda huu..
natumaini wote wazima
Kampuni la magari yanayojiendesha marekani(Automatic vehicles) NURO ambalo lilianjishwa California mwaka 2016 limepiga hatua katika kutengeneza automatic self driving vehicles ambazo hizo vehicles zitatumika
katika delivery services (grocery...
Self advancement.
That: the smarter you get, the less you speak. You grow to realize not everyone is worthy confrontation. Your time is valuable. Your energy priceless. You won’t waste either on people who don’t deserve them. A
That: the only people who deserve to be in your life are those who...
Ni nyumba ya vyumba viwili. Sharti la kuingia humo ni kusaini mkataba na serikali kuwa hutaiuza wala kuipangisha ni kwamatumizi yako na familia
Swali ninalo jiuliza ni kuwa wanalipa kodi au service charges? Ni jukumu la mpangaji kufanya repair kukiwa na kasoro?
Hii inaitwa investing in people...
Karate ni mchezo mtamu sana, na hautumii nguvu nyingi sana kama ndondi.
Ndondi haiwezi kukupa uhakika wa zaidi ya 50% katika suala zima la self defense.
Karate inakufundisha kila kitu even magic kama utabahatika kufikia level ya kuanzia mkanda wa blue.
Sema tu Bongo karate hailipi sana...
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman...
Kwenye kipindi Cha TBC muda huu mdahalo wa uongozi mama Anna Makinda anasema yeye alikuwa na wenzake 20 ambao ni wapinzani bungeni na anasema walikuwa ni self made opposition. Na walikuwa wakali mpaka Nyerere aliahirisha Safari yake ya Ruvuma akafika bungeni akamwambia Cleopa David Msuya hawa...
Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva.
Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao!
Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya...
There's a million routes to self improvement but they're often jumbled up and easy to misinterpret. As such, we all need help in navigating whichever route you've chosen, making important tidbits from those who've walked similar paths a very useful tool for all.
The ironic thing is, for all...
Heshima kwenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema kabisa na majukumu ya kila siku aisee.
Well, naulizia chumba maeneo ya Usa River Arusha kiwe Single Self Contained kikiwa na jiko ndani yake, kama kitapatikana chenye sebule ndani yake itapendeza zaidi wakuu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu...
S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive;
Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa...
Habari zenu wadau.
Well, naulizia chumba kwa maeneo ya karibu na Chuo cha Nelson Mandela NM-AIST naweza kupata kwa bei gani wadau...?
Ningependa kiwe ndani ya fence coz kuna uwezekano wa kuwa na gari ambayo itaweza ku-park ndani. Hata ikiwa ni chumba na sebule pia it's okay.
Naomba kujua...
Habari ya Jumapili,
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya ila kama una changamoto za kiafya, kielimu, kiuchumi. Basi nakuombea uweze kutatua hiyo changamoto.
Kwa upande wangu mimi ni kijana wa umri miaka 23, lakini nina changamoto kubwa haswa katika masuala ya kujieleza mbele za haswa...
Spika wa bunge mh Ndugai amesema endapo mbunge yoyote anajihisi au atajihisi ana dalili za maambukizi ya Covid 19 kama zilivyoainishwa na wataalamu wa afya basi ajifanyie self isolation na kuripoti hospitali haraka sana.
Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na...
Wakuu habarini, natafuta chumba self contained Dar es salaam. Maeneo ya ilala au magomeni so far the budget is up to 90k.
Kwa mwenye connection au chochote here is my contact 0759007696
Ni rahisi huku kwetu kuweka chakula kwenye sinia watu wale kwenye majamvi. Kama ni single plates basi zipakuliwe jikoni watu watolewe.
Huu utaratibu wa watu kujichikuliia nyama wenyewe, ni watu 10-15 wamwanzo ndiyo watabeba nyama zote. Unakuta mtu amepanga nyama kama mlima Kilimanjaro...
Chumba single Self ni chumba kimoja chenye choo ndani yake. Kwa mpangaji wa nyumba au mtu alowahi kupanga vyumba atakuwa wanamielewa sawa sawa.
Wapangaji wengi hapa mjini wanatafuta vyumba self. Nikimanisha either Single self (Chumba kimoja na choo ndani) ama double Self ( Chumba na sebule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.