The Fèsta de ƚa Sènsa was a feast of the Republic of Venice held on the occasion of the feast of the Ascension (in the Venetian language, Sensa) and still celebrated as a recreation today. It commemorated two significant dates in the Republic's history; the first being May 9, 1000, when the Doge Pietro II Orseolo rescued the denizens of Dalmatia imperiled by the Slavs. The aforementioned date marked the onset of Venetian extension in the Adriatic.
The second event commemorated took place in 1177 when the Doge Sebastiano Ziani, Pope Alexander III and the Holy Roman Emperor, Frederick Barbarossa agreed to the Treaty of Venice which ended the long-standing differences between the Pontificate and the Holy Roman Empire.
On the occasion of this festival was held the ceremony of the Marriage of the Sea (It. Sposalizio del Mare). This ceremony is recreated annually with the Mayor of Venice taking on the traditional role which was historically executed by the Doge.
Tarehe 23 Agosti ni siku rasmi ya kuanza zoezi la kuhesabu idadi ya Watu waliopo ndani ya mipaka ya nchi yetu. Zoezi hili limeandaliwa kwa umakini mkubwa tena kwa muda mrefu hivyo kutoa nafasi ya kufanya majaribio mbalimbali na kutatua changamoto na hata kuweka utaratibu mzuri wa kuliendesha...
Hakuna asiyejua umuhimu wa sensa kwa maendeleo ya Taifa letu. Serikali imetenga fedha nyingi sana kwa ajili ya sensa kutokana na umuhimu wake katika nchi yetu
Lkn kuna watu wanaikwamisha serikali katika kutimiza adhima hii muhimu. Leo nikiwa kijijini nilikoenda kupumzika katika likizo yangu ya...
Leo ni siku ya Sensa. Hata hivyo mpaka kunakucha leo bado sikuwa na taarifa sahihi za sensa. Sikujua leo nisitoke nyumbani au nikitoka niache nini na nini. Tabia yangu huwa sifungui tv wala redio nyumbani na kwenye simu siangalii sana ujumbe mpaka nione ni wa kampuni za simu wenye neno pesa...
Kama kichwa kinavyojieleza.
Mzigo ungeingia leo, ili kesho tukae na familia zetu tunawangoja makarani waje watuhesabie.
Sasa hadi sahivi bila bila, tunaodaiwa madeni kesho tutaweza kweli kukaa majumbani?
Karibuni wazee wa kusema walimu mna njaa kweli kweli.
Tumekuwa tukiaminishwa kuwa lengo la sensa ni kuisaidia serikali kupata takwimu zitakazosaidia kugawa keki ya taifa kulingana na idadi ya watu katika sehemu husika. Hiyo inabaki kuwa nadharia tu ila kiuhalisia sio hivyo.
Tumeshuhudia wilaya kama Chato na sehemu nyingine wanakotoka viongozi...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
ORODHA YA MASWALI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022
Maswali yote ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanatakiwa kujibiwa na Mkuu wa Kaya husika, isipokuwa MASWALI YA HALI YA UZAZI kuanzia swali Namba 67 hadi 71 ambayo yanatakiwa yajibiwe na mwanamke...
Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona.
Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.
Tablet zinazo...
Maandalizi ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 Yamekamilika, Kazi Iliyobaki ni Moja Tuu, Tujitokeze kwa Wingi kwa Kujituliza, Tuhesabiwe!
Utangulizi
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kufanya Sensa ya Watu na Makazi ifikapo tarehe 23, mwezi Agosti 2022. Wizara ya Fedha na...
USHAURI KUHUSU SENSA YA MWAKA HUU
Wasalaam ndugu zangu.
Nikiwa kama mwananchi nilikuwa nashauri jinsi mchakato wa sensa ulivyo mwaka huu.
Mchakato wa mwaka huu ni mpana na mrefu kitu ambacho kimefanya uhitaji wa makarani kuwa wengi na bajeti pia imekuwa kubwa.
Kitu kingine ni kuhusu maswali...
Nimefikiri mara mbilimbili kuhusu sensa ya watu na makazi. Nimegundua Ili kupata takwimu sahihi kabisa Kuna umuhimu wa kuruhusu siku hiyo iwe ya mapumziko.
Itasaidia kupata takwimu sahihi lakini pia wahusika wakubwa wa hizo familia watakiwepo nyumbani na hivyo kutoa taarifa sahihi.
Hayo ni...
WAZIRI NAPE AHAMASISHA WANANCHI KUTOA USHIRIKIANO KWA MAKARANI WA SENSA
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, DAR ES SALAAM
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amewataka watanzania kutoa ushirikiano kwa makarani wa Sensa ya Watu na Makazi watakaopita kuchukua takwimu za...
Tangazo la TRA kuwatumia wapangaji kukusanya kodi ya zuio kwenye upangaji wa nyumba linaweza kuathiri zoezi la sensa kwani upo uwezekano wa baadhi ya taarifa za umiliki wa ardhi, nyumba kufichwa kuogopa kulipa kodi stahiki.
Ni muhimu kwa taasisi kama TRA kukaa kimya kuliko kutoa matamko...
Kila mmoja anafahamu kuwa tarehe 23 mwezi agosti 2022 kutakua na sensa ya watu na makazi katika nchi yetu. Ni jambo jema maana kwa mujibu wa serikali yetu wanasema inawasaidia wao kutambua wingi Wa watu kwa usawa au mgawanyo wa maendeleo.
Kuna maswali baadhi ya kujiuliza je iyo sensa inatupa...
Leo unatarajiwa kufanyika mgomo kuanzia mchana na watu waliopewa semina ya sensa kudai malipo yao ya zaidi ya siku 10. Watu wamejipanga ikifikia hadi mchana wa leo hawajalipwa watagomea semina hiyo.
Hongereni kwa kazi nzuri makarani mliopo ktk semina ya Sensa japo nasikia hamjalipwa hata thumni mpaka Leo lakini mmekuwa wazalendo kweri kweriii. Yes pigeni kazi ndugu zangu kwa bidii taifa litajengwa na watu wenye moyo.
Tunakumbushana tuu kuwa pamoja na kuwa wakati wa Magufuli tuliambiwa...
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, tangu semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata senti moja. Swali, hao wanasemina wanaishije, usafiri, nk?
Angalizo, kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu waliokaa siku nane semina wanaleta watu wao, zile...
Na Kevin Lameck
Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa mwaka 2015 zilipitisha Ajenda ya 2030 ya Maendeleo Endelevu na Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).
Lengo la tatu la ajenda hiyo lililenga afya bora na ustawi. Tangu wakati huo, WHO imekuwa ikisaidia mipango ya nchi na kufuatilia maendeleo...
Jumanne Agosti 23 2022, itakuwa ni siku ya Sensa ya sita (6) tangu Tanzania kupata uhuru. Sensa hii itafanyika kwa mujibu wa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Muda sahihi wa watu na makazi yao kuhesabiwa ni usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022.
KUMB: Taarifa zote zitakazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.