Asante Samia kwa Sensa ya Kihistoria Tanzania
Na Mwandishi Maalum. Twende Pamoja. Dar es salaam
Hatimaye siku iliyokuwa ikingojewa sana na kila Mtanzania, iliwadia, ya tarehe 23 Agosti, 2022, na zoezi adhimu la Sensa likaanza nchini Tanzania. Zoezi hilo limejiri siku 170 tangu Mhe Rais Samia...