Ilikuwa majira ya saa 7 mchana, Kanzda ya KATI nikiwa napata chakula cha Mchana na wazee wawili ambao kwa sasa wana miaka 60, wamestaafu KAZI ya serikali, mmoja alikuwa Mchumi na mwenzake alikuwa Mkaguzi wa Ndani; Tukiwa tunafurahia coke baridi, ghafla nikaangalia fb, page ya ITV nikaona habari...