serengeti

  1. Waufukweni

    Rais Samia ameizawadia Serengeti Girls Milioni TSh 30 kwa Kutwaa Ubingwa wa Unaf

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kiasi cha Sh30 milioni baada ya kutwaa ubingwa wa Unaf huko Tunisia wiki iliyopita. Fedha hizo zimekabidhiwa Septemba 11, 2024 na Waziri wa Utamaduni...
  2. LAZIMA NISEME

    Ngorongoro yapongezwa kwa kuboresha barabara za Hifadhi ya Serengeti

    TANAPA yapongezwa kwa hatua zake za kuboresha barabara za Serengeti kwa ufanisi zaidi, hatua ambazo zinaonyesha kujitolea kwake katika kuhakikisha utunzaji wa mazingira na maendeleo ya sekta ya utalii. Wadau wa utalii walikuwa na maombi ya muda mrefu kwa serikali kujenga barabara zenye tabaka...
  3. B

    Naomba kujuzwa gharama na utaratibu wa kutembelea hifadhi ya mbuga ya Serengeti

    Habari GTs, Naomba kujuzwa gharama na utaratibu wa kutembelea hifadhi ya mbuga ya Serengeti, kwa raia wa Tanzania wenye umri pungufu na zaidi ya miaka 18. Vile vile gharama za malazi kwa usiku mmoja for economy class, safari yangu itaanzia Mwanza. Naomba kuwasilisha.
  4. Madwari Madwari

    UMUHIMU WA WAMASAI NGORONGORO NA SERENGETI

    Hii video inamuonyesha mztaliii Ari Smith kutoka marekani akijifunza utamaduni wa wamasai akiwa akatika hifadhi zetu. Utalii wa vitu pekee hautoshi, unahitajika pia utalii wa utamaduni. Morroco ni nchi ambayo inapokea watalii wengi hawana mbuga lakini wanavutiwa na utamaduni wao...
  5. Roving Journalist

    Mwananchi awaambia TESEMA warekebishe haraka mfumo wa ukataji tiketi Busisi upande wa Serengeti

    Mdau wa JamiiForums.com ametoa maoni katika taarifa inayohusu ujenzi wa Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) ambapo ameelezea changamoto ya mfumo wa ukataji tiketi. Ujenzi wa Daraja la Magufuli wafikia Asilimia 90
  6. R

    Serengeti warudishe bia yetu pendwa

    Hii mada inawahusu wanywaji tu. Tangia Serengeti ibadilishe bia ya Serengeti larger yenye makaratasi meusu na kutuletea nyingine yenye makaratasi ya njano sio tu imebadilishwa meoneko Bali pia na ladha imebadilika. Ladha mpya sio tu haina msiaimko Bali inakera naomba Serengeti wanrudishe...
  7. Ngongo

    Serengeti Shall never die?

    Heshima sana wanajamvi, "Serengeti shall never die" Huo ni usemi wa enzi na enzi ukitumiwa hasa na watafiti wa hifadhi za mazingira na wanyama waliotumia muda mwingikufanya tafiti mbali mbali za wanyama na mazingira yao. Leo wakati namaliza ziara au ukipenda utalii niliotumia siku kadhaa...
  8. H

    TANAPA wanajua moto unaowaka Serengeti unafukuza watalii?

    Kunachangamoto ya moto imekuwepo Serengeti mwezi wote wa sita na sasa hivi inaendelea hasa maeneo ya North(Kogatende) wakati huu ambapo ndio msimu wa utalii upo juu (peak) Tunajua huwa TANAPA wanachoma kila mwaka mwezi wa tatu hadi wa tano ila baada ya mvua kuendelea hadi msimu wa utalii...
  9. mzee wa liver

    Bye bye Serengeti bia

    Aisee hii bia ya Serengeti nilikuwa naipenda sana lakini Kwa Sasa Wacha niipe talaka tatu wamekuja na sticker la hovyo kabisa rangi mbaya sana utafikiri ya chama kile chakavu mtakosa mapato msiporudisha sticker ya zamani kiwanda chenu kinaenda kufa kifo Cha Mende
  10. Jidu La Mabambasi

    Serengeti beer, sticker label yenu mpya ni ya hovyo!

    Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi. Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio cha togwa! Kiwanda cha Serengeti warudishe sticker za zamani, ama sivyo narudi kunywa Mtikila!
  11. Hakuna anayejali

    Kwenu kampuni ya bia Serengeti

    Bia aina ya pilsner imeandikwa bei elekezi 1700, klwanini inauzwa 2000 na maeneo mengine 1800 tofauti na mlichoandika?
  12. Godee jr

    Serengeti Lager tunaomba logo ya zamani

    Kwa heshima kubwa naomba Serengeti mrudishe logo ya zamani. Hii mpya ni mbaya sana. Imefanana sana Balimi na hichi kitu sijakipenda. Sijui nani alifanya huu utafiti na kuamua kuja na hii aisee ila ni mbaya. Acha nyeusi ibaki nyeusi na kijani ibaki kijani
  13. edwin89

    Makreti ya bia kampuni ya serengeti yanauzwa

    Kreti za serengeti zipo 100 zinauzwa na chupa zake. Kwa wanaofungua stoo ya bia za jumla. Elfu 10,000 kwa kreti moja.karibu sana.
  14. chamilo nicolous

    Hoja za Mbunge wa Serengeti zifanyiwe kazi

    Naomba nende kwenye mada moja kwa moja. Leo Tarehe 27 febr Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti. Katika ziara hiyo, Mh Waziri Mkuu alifanya kikao na watumishi wa Umma, Katika kikao hicho, baadhi ya viongozi wamejikuta...
  15. S

    Serengeti Queens wamekula 3 kutoka kwa vitukuuu wa Madiba

    Mechi imeisha kwa Serengeti girls kupata kipigo cha 5 kasoro 2 yaani 0-3 ndani ya Azam Complex. Mwendelezo wa machungu ya AFCON.
  16. Erythrocyte

    Serengeti: Mkutano Maalum wa CHADEMA Watikisa

    Siku zote tumesema humu na kwingineko kwamba Nchini Tanzania , hakuna chama cha siasa kinachoweza kuizidi CHADEMA kwa wanachama (Pitieni tovuti ya CHADEMA DIGITAL) sasa hapa chini ni Mkutano Maalum wa Chama hicho Wilaya ya Serengeti , hebu jionee mwenyewe .
  17. J

    TANAPA: Mwarobaini wa miundombinu korofi Serengeti wapatikana

    Kamishna Kuji atoa maelekezo mahususi Serengeti Na Edmund Salaho/Serengeti. Kamishna wa Uhifadhi - TANAPA Juma Kuji leo amefanya ziara ya kukagua miundombinu katika Hifadhi ya Taifa Serengeti na kuiagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Serengeti kushughulikia mara moja maeneo korofi ya...
  18. Jamii Opportunities

    Warehouse Co-Ordinator at Serengeti Breweries January, 2024

    Position: Warehouse Co-Ordinator Worker Type: Regular Primary Location: Moshi Purpose of Role: To ensure that inbound and outbound inventory SAP/WMS postings happen real time and are support by the right documentation for a specific warehouse. They system should always reflect what is on the...
  19. Jamii Opportunities

    Technical Operator-Packaging at Serengeti Breweries January, 2024

    Position: Technical Operator-Packaging Worker Type : Regular Primary Location: Moshi Top accountabilities Adheres to Environment, Health and Safety procedures and standards Performs equipment shutdowns according to the SOP Run the equipment at the rated speed Capture data and update on...
  20. Jamii Opportunities

    Area Business Development Manager at Serengeti Breweries Limited (SBL) January, 2024

    Position: Area Business Development Manager Worker Type: Regular Primary Location: Dodoma Scope The ABDM role will be critical to the overall SBL strategies in developing and driving our trade & and distribution/coverage strategy as well as operational excellence in achieving 100% distribution...
Back
Top Bottom