Habari za jiona wapendwa.poleni na majukumu ya maisha.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika..ninarafiki yangu (me)lakini sasa ni kama ndugu maana tulipotoana ni mbali.Yes.
Yuko kwenye hotel industry kwa muda kidogo na sasa anataka kwenda kufanya kazi Serengeti Four Seasons...
February 18, 2020
Serengeti, Tanzania
Mr Adam Kighoma Malima the Governor of Mara region in Tanzania decide to go to the Savannah plains of Serengeti National park and tell the world right in the middle of wild beast about the uniqueness and beauty that can only be experienced and enjoyed...
Ulishawahi kusikia ujenzi holela?
Basi tazama hiyo picha hapo utajifunza kitu. Huwezi amini kuwa hayo ni majengo ya mojawapo ya hoteli za kitalii zinazoendelea kuibuka kama uyoga ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti!
(Ninazo picha nyingi sana, nitaambatanisha nyingine very soon!).
Hivi NEMC...
By: Eric Allard
I’ve been in Tanzania for 30 years now and i'm proud of where this nation is at when compared to what it was when I first arrived. It was a good decision to move here then and I’ve experienced the country’s economic and infrastructure growth over the 30 years. I’ve also run my...
Serengeti ni miongoni mwa jimbo ambalo mbunge wake aliunga mkono juhudi za mtukufu mkuu wawakuu kwa utendaji wake.
Juzi paliripotiwa kuwepo na uhaba wa chakula wilayani hapo. Kitendo cha ukosefu wa chakula (ambao umepigwa marufuku na mtukufu Rais) ulisababisha watoto watatu kupoteza maisha kwa...
Wiki Iliyopita nilipokuwa Nasafiri kwenda Serengeti na familia kupitia Mwanza, baada ya kutua na AirTanzania uwanja wa Ndege Mwanza majira ya Saa mbili kasoro Asubuhi...nilivutiwa na ndege moja Private Jet (Pichani)iliyokuwa imepaki pembezoni mwa kiwanja kwa ninavyozifahamu ndege (As Rubani wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.