sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa...
  2. Tanzania Railways Corp

    Mradi wa SGR Mwanza- Isaka

  3. MK254

    Uganda yatia saini mkataba na China ili kuwezeshwa kuunga kwenye SGR ya Kenya

    Uganda has signed a Ksh5 billion deal with China Roads and Bridge Corporation (CRBC) in order to link Kampala with the Standard Gauge Railway (SGR) in Kenya. This is in a bid to enhance trade with Uganda as well as enable easier transport of goods via SGR from Kampala to Mombasa port...
  4. selemala

    Jitihada za Kenya kuhakikisha mizigo ya Uganda, DRC, SS inapitia bandari ya Mombasa

    With an eye on the Democratic Republic of Congo and South Sudan markets, there is renewed vibrancy on the Northern Corridor, as Uganda and Kenya join forces to push the rehabilitation and seamless connection of the old metre gauge railway line, over which the two countries’ officials met this...
  5. Nyankurungu2020

    Waziri Mkuu: Treni ya SGR kuanza majaribio Julai 2021

    Hayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipotembelea stesheni ya kisasa iliyojengwa eneo la Gerezani jijini Dar es salaam. Waziri mkuu Kassim Majaliwa aliupongeza uongozi wa shirika la reli nchini TRC kwa kusimamia huo mradi huo unaotekelezwa na kampuni ya Yapi...
  6. E

    Wakati tunasonga ugali wa SGR na JNHPP, tusimwage viporo vya jana

    Kuna miradi mingi ilianzishwa awamu ya nne na baada ya awamu ya tano kuingia iliachwa kiporo kwanza. Ipo iliyokuwa na kasoro za kiutekelezaji na ipo iliyosimama kwa mapungufu ya kifedha na ipo iliachwa kwa changamoto mbalimbali, naamini kuna sababu za msingi zilizopelekea kuachwa. Lakini sio...
  7. Kasomi

    Fahamu ujenzi wa SGR unavyoendelea

    TANZANIA :- FAHAMU UJENZI WA SGR UNAVYOENDELEA Ujenzi wa Reli ya Kati kwa Kiwango cha Kimataifa (Standard Gauge Railway) ambapo ujenzi wa kipande cha Dar es Salaam - Morogoro (km 300) umefikia asilimia 90.34 na kipande cha Morogoro - Makutupora (km 422) asilimia 57.57. Aidha, tayari Serikali...
  8. MK254

    New Mombasa Bridge to Include SGR Track

    The Kenya National Highways Authority (Kenha) has begun the construction of the new Ksh4.5 billion Makupa bridge. According to the authority, the new 457-metre-long Makupa bridge is intended to accommodate the old railway line as well as the Standard Gauge Railway (SGR). The authority is said...
  9. goroko77

    Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

    Sasa najiuliza ikiwa ripoti ya CAG imeonesha madudu je, ni jinsi gani sasa kama taifa tumeingiaje uchumi wa Kati? Ikiwa tumeibiwa Sana namna hii. Kuna bandiko linatembea nazani ni kutoka timu Sukuma Gang kujibu tuhuma za Msoga gang. ===== MWAMBIENI CAG, SISI TUMERIDHIKA! 1. Mwambieni CAG...
  10. seedfarm

    Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

    Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini. Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi...
  11. T

    Mbunge adai SGR itajengwa kwa miaka 81

    Mbunge wa Handeni Mjini CCM, Reuben Kwagilwa, ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango, waangalie namna ya kufadhili miradi mikubwa kwa mfumo wa dhamana ya miundombinu ‘infrastructure bond’ ili kuiwezesha Serikali kutoa huduma za wananchi kila siku. Amesema isipofanya hivyo mradi wa ujenzi...
  12. Trimmer

    Mimi Nimeshajiandaa kusikia haya. Wewe je?

    Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea. 1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa...
  13. Meneja Wa Makampuni

    Naomba kueleweshwa uhusiano wa Bandari ya Bagamoyo na Reli ya SGR

    Habari za Leo wakuu, Nimebaki mdomo wazi mwenzenu sielewi uhusiano uliopo kati ya Bandari ya Bagamoyo na Reli ya SGR. Hivyo vitu viwili vinaingilianaje? Na je mizigo ya bandari ya Dar es salaam haiwezi kusafirishwa kupitia Reli ya SGR? Naomba kuwasilisha mada mezani
  14. J

    Dkt. Kimei: Serikali ikakope kwenye soko la nje ili ikamilishe miradi ya kimkakati SGR na Bwawa la umeme

    Mbunge wa Vunjo mh Kimei ameitaka Serikali kukopa fedha nje ili iweze kukamilishz miradi ya kimkakati ya SGR na Bwawa la umeme. Kimei amesema ni lazima miradi mikubwa ikamilike kwa wakati hivyo Serikali ikakope kwenye soko la nje ambako riba ni nafuu kati ya 5% hadi 6% Chanzo: Star tv...
  15. jingalao

    CAG atupe hasara ya kutotekelezwa kwa mradi wa umeme kwa miaka 50

    Iwapo maamuzi ya kujenga mradi wa umeme wa rufiji yalifikiwa miaka ya 70 ningependa kujua ni hasara kiasi gani nchi imepata kwa kutotekeleza mradi huu. Yaani kwa miaka takribani 50 CAG atueleze tumenunua umeme wa mitambo ya mafuta kwa Tsh ngapi? Je, tumeshindwa kuendeleza uchumi kwa kiasi gani...
  16. Nyankurungu2020

    Jiwe la msingi SGR Mwanza - Isaka kuwekwa hivi karibuni, ujenzi kuanza punde si punde

    Maandalizi kwa ajiri ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Sgr kati ya Mwanza na Isaka yamekamilika. Na jiwe la msingi litawekwa wakati wowote na rais wa JMT, SSH. Ziara ya kukagua maandalizi hayo imefanywa na waziri wa ujenzi Leonard Chamuriho akiwa na naibu wake Mwita Mwikabe na maandalizi...
  17. T

    Nilitaka kusafirisha mzigo kwa njia ya reli nikakuta gharama ni kubwa kuliko malori

    Labda sielewi au nasikiliza vibaya pindi wataalam na viongozi wetu wanapo zungumzia usafiri wa reli kua eti ni usafiri wa gharama nafuu ukilinganisha na barabara. Majuzi nilikua na tani 30 za mahindi ili nisafirishe kutoka Mbeya kuja Dar es Salam nilipoenda kuuliza bei nikaambiwa kilo moja...
  18. kavulata

    Gharama za kujenga reli SGR zitarudi baada ya muda gani kabla ya faida?

    Kuwa na reli ya kisasa inayokwenda kasi ni jambo la kiunchumi na kijamii/huduma. Lakini kutokana na hali yetu ya kiuchumi kuwa sio nzuri linafaa liwe la kiuchumi zaidi kuliko kihuduma. Yaani reli ya SGR lazima ituongezee mapato kuliko tutoa huduma, maana tanzania hatujaifikia luxury hiyo...
  19. Snowden E

    Kenya ‘haiwezi kukabidhi bandari’ kwa China kama njia ya kulipa deni la SGR

    bbcCopyright: bbc Waziri wa Afya nchini Kenya Ukur Yatani amekanusha taarifa kuwa nchi hiyo iko katika hatari ya kupoteza bandari yake kubwa kwa China ikiwa itashindwa kulipa deni lake kwa nchi hiyo, ambalo pesa zake zimetumika kwa ujenzi wa reli mpya. Reli hiyo yenye umbali wa kilomita 472...
  20. Nyankurungu2020

    Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021

    Hayo yamesemwa na Waziri wa ujenzi na uchukuzi Leonard Chamriho. Ameyasema haya baada ya kamati ya kudumu ya bunge ya miundo mbinu kutembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Sgr kipande cha Dodoma mpaka Dar es salaam. Hivyo amesema kuwa safari za Dar mpaka Morogoro zitaanza mwezi Agost baada ya...
Back
Top Bottom