sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. Nyankurungu2020

    Ujenzi wa SGR Mwanza-Isaka kuanza wakati wowote

    Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu. Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000. Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za Kitanzania...
  2. Nyankurungu2020

    Kipande cha Dar - Pugu chasababisha kuchelewa SGR Dar - Morogoro kuanza kutumika

    Kwa mujibu wa gazeti la The East African ni kuwa mfumo mzima wa umeme utakaotumika kuendesha treni kwenye awamu hii ya kwanza toka Dar mpaka Morogoro umekamilika. Na ulikuwa ufanyiwe majaribio mwezi mwishoni mwa mwezi April. Mpaka sasa vituo vinne vikubwa vya kupoza umeme vimeshaunganishwa na...
  3. MK254

    Kufikia Mei 2022, shughuli zote za SGR zitakua kwenye mikono ya wazawa

    Wazawa wazalendo wa nchi hii wanaendelea kurithi shughuli zote za SGR kutoka kwa Wachina, wamepokea mafunzo na elimu maalumu inayohusu teknolojia ya SGR, pia chuo kimeboreshwa kuendelea kupokea wanafunzi zaidi, safi sana ndugu zetu, tuiboreshe nchi yetu. =========================== The Railways...
  4. Elius W Ndabila

    Ijue SGR, mwarobaini wa uchumi wa Tanzania

    SGR NDIO MWAROBAINI KATIKA KASI YA UCHUMI WA TANZANIA. Na Elius Ndabila 0768239284 Standard Geuge Railway (SGR) ni reli ya kisasa ambayo hutumia umeme. Ujenzi wa reli hii ya kisasa ya SGR tunaweza kusema inakuja kama mbadala iliyoachwa na Wakoloni. Historia inasema kuwa treni tunazotumia sasa...
  5. MK254

    Multibillion rail project connecting SGR to Uganda border approved

    Kenyans in the western region are set to enjoy the return of the rail service after a Ksh3.7 billion project to connect the Standard Gauge to the Malaba border was approved. Treasury CS Ukur Yatani, in the supplementary budget for 2020/21, allocated funds for the line connecting Naivasha -...
  6. Nyankurungu2020

    Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

    Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu. Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019...
  7. O

    Kenya is the first country in Africa to use SGR Double Stack Container freight Train 2021

    The Ksh. 480 Billion ( $4.8 Billion ) Mombasa–Nairobi - Naivasha Standard Gauge Railway is a standard-gauge railway in Kenya that connects the large Indian Ocean city of Mombasa with Nairobi the country's capital and largest city and inland container depot of Naivasha. This SGR runs
  8. R

    Baadhi ya maeneo yameinuliwa hivyo kutengeneza mto katikati ya SGR na reli ya zamani, hapa drainage system ipo wapi?

    Leo nimeenda kule chini kucheki ule mradi, nimebaki nashangaa tu yaani huu mradi mtasubiri sana. Wamemwaga hardcore alafu baadhi ya maeneo ardhi imeinuliwa hivyo kutengeneza mto ktkt ya SGR A na reli ya zamani sasa hapa drainage system ipo wapi au watatumia pump maana maji yana tabia ya kupenya...
  9. Tanzania Railways Corp

    Tangazo: Kongamano la wadau kujadili fursa katika mradi wa SGR

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa Kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) inapenda kuwaalika wafanyabiashara, watoa huduma, wakandarasi, wasafirishaji wa mizigo na wadau wote katika Kongamano la wadau utakaofanyika jijini Mwanza katika...
  10. M

    SGR Morogoro mwageni maji kwenye diversion

    Kuna maeneo mawili ambapo wajenzi wa reli ya kisasa SGR wamefanya mchepuko wa barabara katika manispaa ya Morogoro,moja ni Kihonda na ya pili ni mbele kidogo Lutheran Junior seminary. Shida kubwa ni kuwa hawamwagillii maji hizi diversion ni hii inasababisha vumbi jingi. Mnaowakagua...
  11. Roving Journalist

    Tanzania na China zasaini mkataba wa uendelezaji wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR kutoka Mwanza - Isaka

    TANZANIA NA CHINA YASAINI MKATABA WA KUJENGA RELI YA KISASA (MWANZA-ISAKA) Serikali ya Tanzania na China vimeingia makubaliano ya kujenga reli ya kisasa ya Kilometa 341 kutoka Mwanza hadi Isaka Hicho ni kipande cha tano, ambapo kipande cha Kwanza ni kutoka Dar mpaka Morogoro, Cha pili ni...
  12. U

    China yajitosa Ujenzi wa SGR ya Tanzania

    Imeripotiwa na gazeti la Mwananchi la leo, januari 6; Chato. Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya China, Wang Yi anatarajiwa kutua nchini Tanzania kesho Januari 7, ambapo pamoja na mambo mengine atashuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa awamu ya tano ya reli ya kisasa (SGR) inayotoka Mwanza...
  13. MK254

    Kenya sasa ina kila sababu za kukamilisha kipande cha SGR kilichosalia maana Uganda wameamua kujenga SGR 2,700km

    Kenya ilikua imesitisha kukamilisha kipande kidogo kilichokua kimesalia cha kuunga hadi Uganda baada ya hao Waganda kutoonyesha "seriousness" kwenye hili la SGR, ila sasa wao wamesaka mkopo wenyewe na tayari wameanza mipango na mikakati ya ujenzi, kwa vile tulikua tumekamilisha asilimia kubwa...
  14. Pascal Mayalla

    The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

    Wanadodi, Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu. Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida...
  15. Sherlock

    SGR fully booked till 3rd January as air fares rise ahead of Christmas

    The Standard Gauge Railway (SGR) passenger train service from Nairobi to Mombasa is fully booked until December 27, 2020 as travelers flock the coastal city to enjoy the festivities. Bus operators are also fully booked with some increasing their operations upwards of 75 buses daily to meet the...
  16. S

    Serikali hii ya Magufuli itakuwa na ubavu wa kugomea masharti magumu ya Wachina ilhali wanataka kukamilisha miradi hii ndani ya miaka mitano?

    Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa...
  17. Miss Zomboko

    China kuisaidia Tanzania ujenzi wa SGR na mradi wa umeme Mto Rufiji

    China imesema itaangalia namna ya kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge railway) na bwawa la kuzalisha megawati 2,115 za umeme katika mto Rufiji (Bwawa la Mwl. Nyerere). Hayo yamesemwa na Rais wa...
  18. S

    Ulaya na Marekani wakibana, hata miradi kama SGR na Ujenzi wa Bwala la Umeme vyote vitakwama

    Ulaya na Marekekani wakibana na Marekani wakatumia influence yao kwenye mashirika kama Benki ya dunia, nchi hii miradi mingi itakwama na hata hiyo SGR na ujenzi wa Bwawa la Umeme vyote vinaweza kuathirika ikiwemo kukwama kabisa kwa miradi hiyo. Hata kama fedha za hii miradi hazitoki Ulaya na...
  19. Tony254

    Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

    Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania. Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover. Hili daraja...
  20. mugah di matheo

    Uchaguzi 2020 Majaliwa Kasimu: Tutaanza ujenzi wa SGR nyingine Mtwara

    Akizungumza Jana mjini Mtwara bwana majaliwa amedai kuwa "uchambuzi wa kimazingira umekamilika na punde tukiingia madarakani tutaanza ujenzi wa reli mpya toka bandari ya Mtwara hadi liganga na mchuchuma zaidi ya umbali wa 1000km" Chanzo China Radio international kiswahili (CRI kiswahili)...
Back
Top Bottom