The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".
Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea...
Habarini wana jamvi. Juzi hapa tulimsikia rais akiwa-mind wakandarasi kwa kuchelewesha mradi wa stendi mpya ya kisasa pale mbezi jambo ambalo hakulitegemea tena mbele ya mgeni wake, Rais wa Malawi.
Sasa ni bora tumwambie kuhusu hili la SGR, maana tuliambiwa mwezi Novemba mwaka jana ingekuwa...
Ni afadhali CCM wameamua kukaa kimya kuhusu kujisifia kwamba wameleta maendeleo nchini sijui wamenunua Dreamliner mbili, wamejenga flyover Tazara na nyingine Ubngo kwa hiyo wameleta maendeleo Tanzania, na hiyo iwe sababu ya kuwachagua tena. Maendeleo kwa ajili ya nani? Bibi yangu kule kwetu...
Tuliambiwa kwamba awamu ya kwanza ya SGR Dar es Salaam kwenda Morogoro, kupitia Pugu, Soga, Ruvu, na Ngerengere ujenzi wake ungekamilika mwaka jana November 2019.
Mkasema ooh, kuna handaki karibu na Morogoro inabidi lichimbwe limechelewasha kazi (yaani kama vile hamkujua kuwa kutakuwa na hilo...
Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na...
ajira
asante
basi
body
care
ccm
chadema
chato
haki
haki za binadamu
hana
hotuba
jpm
kagera
kampeni
kanda ya ziwa
kazi
kununua
kuomba
leader
lissu
lisu
maadili
mabeberu
madaraka
maendeleo
matokeo
mbunge
media
mji
morogoro
mpango
mwanza
nchi
ndege
nyumbani
party
picha
polisi
reggae
sayansi
serikali
sgr
sheria
siasa
siku
siri
song
tanga
tanganyika
tanzania
tarime
tundu lissu
ubunge
uchaguzi
uchaguzi mkuu
ukweli
ulinzi
upinzani
urais
ushindi
video
vijana
vitu
wananchi
wasanii
watanzania
wote
Najaribu kupima upepo wa siasa katika makundi ya kijamii kuanzia CCM wenyewe wengi hawampi Magufuli kura ingawa wanamchekea dharani, Makundi ya wafanya kazi, Wakulima na Wafugaji, Wavuvi na wafanyabiashara hakuna aliye tayari kuipigia CCM kura. Tunakutana nao mtaani hali hali ndivyo ilivyo sioni...
Hi ni habari katika mtandao wa The Africareport.com ambapo imeripoti kuwa, uchache wa abiria na volume mdogo ya mizigo plus madhara ya COVID19, kumesababisha reli hiyo kuendesheshwa kwa hasara na sasa wanashindwa kulipa mkopo uliotumika kujenga reli hiyo.
Habari hii inaeleza kuwa, tatizo...
Komredi Polepole yuko mubashara Channel ten akizungumzia maendeleo ya kampeni za CCM.
Kadhalika Polepole ametolea ufafanuzi baadhi ya mambo yaliyopotoshwa na wapinzani hasa Tundu Lisu ikiwemo ujenzi wa SGR na uwanja wa ndege wa Chato.
Karibu.
=======
POLEPOLE: Wenzetu wa Upinzani wamekuwa...
Yatani defends Kenya Transport Logistic Network CS tells committee move to aid Kenya’s hub position Govt says no jobs will be lost in the joint operations Ports, pipeline and railways now under Treasury
Imekua desturi kwa baadhi ya Watanzania kusubiria kama fisi kila tangazo hasi la SGR ya Kenya, huwapa muhemko fulani hivi wa kuja kupost humu kwa raha, huku wakisahau TAZARA waliyojengewa na Mchina kama msaada imetimiza miaka zaidi ya 40 bila kuwapa faida yoyote.
-------------------------...
Kufanya uchaguzi kwa pesa ya ndani, kujenga flyovers, SGR na uboreshaji wa miundombinu unaofanywa na awamu ya 5 ni matokeo ya kubadili matumizi pesa/kipato tu sio kukua kwa uchumi. Mfano, pesa zilizokuwa zinatumika kulipa mishahara kwa watumishi wa umma. Sasa wanastaafu, wengine wanakufa hakuna...
Mwaka 2017, nchi yetu ilipata mkopo wa dola za kimarekani kutoka benki ya Exim ya Uturuki ya dola za kimarekani bilion 1.2 ambazo ni sawa na takriban shilingi Trillion 2.76 za kitanzania kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha Dar es salaam mpaka Morogoro tu.
Kwa mujibu wa tweet ya mheshimiwa Zitto...
Monthly earnings from the Mombasa-Nairobi-Naivasha SGR has increased to kes 1.04 billion monthly over the last two months since the president lifted curfew to 9 pm from 7 pm.
June’s earnings amounted to nearly Sh1.04 billion after President Kenyatta eased curfew hours to 9 pm-4 am from previous...
Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper, mabasi ya kubeba Wafanyakazi na Pick-Ups kwa ajili ya kubeba Ma enginia kuwapeleka site.
Habari za...
Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.
Hadi sasa imefikia...
Kuna suala naona silielewi kwenye ujenzi wa SGR kila Rais Magufuli anapohutubia hupenda kujipambanua kuwa mradi wa SGR serikali inatumia fedha zake za ndani.
Lakini kwa kusoma sehemu mbalimbali naona kama tunakopa hela toka Mabenki ya nje mfano kipande cha Dar - Moro, kuna hela zimetoka...
Habari Mh rais Dr John Pombe Joseph Magufuli, Pole kwa majukumu mazito ya nchi kwa maana ya kitaifa na kimataifa kwa ujumla.
Awali ya yote tunatoa pongezi za dhati kabisa kwa serikali yako ya awamu ya tano, chini ya uongozi wako kwa kazi nzuri ulizozifanya na unazoendelea kuzifanya katika...
Kenyan law makers want the government to renegotiate the loan agreements signed with China for the Standard Gauge Railway (SGR) whose viability has come into question despite injection of billions of dollars into the project.
The EastAfrican has learnt that the National Treasury is seeking a...
Wakati serikali ya kenya wakitoa waraka wakutaka matumizi ya ICD ya Naivasha yawe lazima kwa mizigo inayoelekea Kampala ili kuboost matumizi ya SGR yao ambayo Sasa imekua Kama White Elephant.
CURBING VIRUS SPREAD: Transport CS James Macharia joins other government officials in...