sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. Nimeona daraja la waya (cable stayed bridge) la SGR Kamata likivunjwa, shida nini?

    Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika. Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea...
  2. N

    Rais wafokee wakandarasi kwa kuchelewesha SGR kati ya Dar na Morogoro

    Habarini wana jamvi. Juzi hapa tulimsikia rais akiwa-mind wakandarasi kwa kuchelewesha mradi wa stendi mpya ya kisasa pale mbezi jambo ambalo hakulitegemea tena mbele ya mgeni wake, Rais wa Malawi. Sasa ni bora tumwambie kuhusu hili la SGR, maana tuliambiwa mwezi Novemba mwaka jana ingekuwa...
  3. S

    Jiulize; Ethiopia wana Dreamliner zaidi ya 20, SGR, barabara nzuri, flyover nyingi, lakini bado watu wake wanafia kwenye malori wakizamia Bondeni!

    Ni afadhali CCM wameamua kukaa kimya kuhusu kujisifia kwamba wameleta maendeleo nchini sijui wamenunua Dreamliner mbili, wamejenga flyover Tazara na nyingine Ubngo kwa hiyo wameleta maendeleo Tanzania, na hiyo iwe sababu ya kuwachagua tena. Maendeleo kwa ajili ya nani? Bibi yangu kule kwetu...
  4. S

    Mlituahidi SGR Dar - Moro kuwa tayari toka Novemba mwaka jana 2019, hadi leo ni visingizio tu, mara mvua, mahandaki, mara madaraja, blah blah, blah!

    Tuliambiwa kwamba awamu ya kwanza ya SGR Dar es Salaam kwenda Morogoro, kupitia Pugu, Soga, Ruvu, na Ngerengere ujenzi wake ungekamilika mwaka jana November 2019. Mkasema ooh, kuna handaki karibu na Morogoro inabidi lichimbwe limechelewasha kazi (yaani kama vile hamkujua kuwa kutakuwa na hilo...
  5. Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho. Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na...
  6. Dkt. Magufuli anaweza kuiacha miradi ya SGR na STIGLERS haijakamilika, tafadhali Tundu Lissu uimalizie

    Najaribu kupima upepo wa siasa katika makundi ya kijamii kuanzia CCM wenyewe wengi hawampi Magufuli kura ingawa wanamchekea dharani, Makundi ya wafanya kazi, Wakulima na Wafugaji, Wavuvi na wafanyabiashara hakuna aliye tayari kuipigia CCM kura. Tunakutana nao mtaani hali hali ndivyo ilivyo sioni...
  7. S

    Uchache wa abiria na mizigo wafanya SGR nchini Kenya kuendeshwa kwa hasara. Je, Tanzania tutakwepa hali hii?

    Hi ni habari katika mtandao wa The Africareport.com ambapo imeripoti kuwa, uchache wa abiria na volume mdogo ya mizigo plus madhara ya COVID19, kumesababisha reli hiyo kuendesheshwa kwa hasara na sasa wanashindwa kulipa mkopo uliotumika kujenga reli hiyo. Habari hii inaeleza kuwa, tatizo...
  8. J

    Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

    Komredi Polepole yuko mubashara Channel ten akizungumzia maendeleo ya kampeni za CCM. Kadhalika Polepole ametolea ufafanuzi baadhi ya mambo yaliyopotoshwa na wapinzani hasa Tundu Lisu ikiwemo ujenzi wa SGR na uwanja wa ndege wa Chato. Karibu. ======= POLEPOLE: Wenzetu wa Upinzani wamekuwa...
  9. Kenya is hand-twisted into submission of Mombasa port operation to Chinese via Port and SGR merge

    Yatani defends Kenya Transport Logistic Network CS tells committee move to aid Kenya’s hub position Govt says no jobs will be lost in the joint operations Ports, pipeline and railways now under Treasury
  10. Huku Watanzania wakichekelea changamoto za SGR ya Kenya, TAZARA waliyopewa kama msaada miaka zaidi ya 40 haijawapa faida yoyote

    Imekua desturi kwa baadhi ya Watanzania kusubiria kama fisi kila tangazo hasi la SGR ya Kenya, huwapa muhemko fulani hivi wa kuja kupost humu kwa raha, huku wakisahau TAZARA waliyojengewa na Mchina kama msaada imetimiza miaka zaidi ya 40 bila kuwapa faida yoyote. -------------------------...
  11. L

    Flyovers, SGR na uboreshaji wa miundombinu awamu ya 5 Tz ni matokeo ya kubadilisha matumizi ya pesa sio kukua kwa uchumi

    Kufanya uchaguzi kwa pesa ya ndani, kujenga flyovers, SGR na uboreshaji wa miundombinu unaofanywa na awamu ya 5 ni matokeo ya kubadili matumizi pesa/kipato tu sio kukua kwa uchumi. Mfano, pesa zilizokuwa zinatumika kulipa mishahara kwa watumishi wa umma. Sasa wanastaafu, wengine wanakufa hakuna...
  12. M

    Deni la ujenzi wa reli ya SGR ni kitanzi kitakachotunyonga tusipokuwa makini

    Mwaka 2017, nchi yetu ilipata mkopo wa dola za kimarekani kutoka benki ya Exim ya Uturuki ya dola za kimarekani bilion 1.2 ambazo ni sawa na takriban shilingi Trillion 2.76 za kitanzania kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha Dar es salaam mpaka Morogoro tu. Kwa mujibu wa tweet ya mheshimiwa Zitto...
  13. Kenya SGR: Cargo earnings grow to kes 1.04 billion monthly in 2020

    Monthly earnings from the Mombasa-Nairobi-Naivasha SGR has increased to kes 1.04 billion monthly over the last two months since the president lifted curfew to 9 pm from 7 pm. June’s earnings amounted to nearly Sh1.04 billion after President Kenyatta eased curfew hours to 9 pm-4 am from previous...
  14. I

    Tetesi: Hali si shwari SGR muda huu. Wafanyakazi wanadaiwa kuanzisha mgomo

    Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper, mabasi ya kubeba Wafanyakazi na Pick-Ups kwa ajili ya kubeba Ma enginia kuwapeleka site. Habari za...
  15. I

    Mkandarasi wa ujenzi wa SGR Tanzania, Yapi Merkezi adaiwa kuwa na hali ngumu kiuchumi

    Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo. Hadi sasa imefikia...
  16. U

    Naomba kueleweshwa kuhusu fedha zinazotumika kujenga mradi wa SGR

    Kuna suala naona silielewi kwenye ujenzi wa SGR kila Rais Magufuli anapohutubia hupenda kujipambanua kuwa mradi wa SGR serikali inatumia fedha zake za ndani. Lakini kwa kusoma sehemu mbalimbali naona kama tunakopa hela toka Mabenki ya nje mfano kipande cha Dar - Moro, kuna hela zimetoka...
  17. Rais Magufuli tusaidie sisi vijana wasomi kwenye mradi wa SGR

    Habari Mh rais Dr John Pombe Joseph Magufuli, Pole kwa majukumu mazito ya nchi kwa maana ya kitaifa na kimataifa kwa ujumla. Awali ya yote tunatoa pongezi za dhati kabisa kwa serikali yako ya awamu ya tano, chini ya uongozi wako kwa kazi nzuri ulizozifanya na unazoendelea kuzifanya katika...
  18. Renegotiate SGR loan terms to avoid default, House tells Kenyan Treasury

    Kenyan law makers want the government to renegotiate the loan agreements signed with China for the Standard Gauge Railway (SGR) whose viability has come into question despite injection of billions of dollars into the project. The EastAfrican has learnt that the National Treasury is seeking a...
  19. SGR Kenya yakalia kuti kavu: Wafanyabiashara Uganda wakataa kulazimishwa kutumia Naivasha ICD

    Wakati serikali ya kenya wakitoa waraka wakutaka matumizi ya ICD ya Naivasha yawe lazima kwa mizigo inayoelekea Kampala ili kuboost matumizi ya SGR yao ambayo Sasa imekua Kama White Elephant. CURBING VIRUS SPREAD: Transport CS James Macharia joins other government officials in...
  20. Tetesi: Uganda wamekataa SGR ya Kenya na ardhi waliopewa bure huko Naivasha

    Wakuu, Ukajanja wa Kenyatta umekwisha. Hongera Museveni, wacha linchi la njaa na ukabila likule ujeuri wao. ======
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…