Labda baadae waboreshe, ili watu wasafiri wanaokaa mbali na hiyo railway line wasogezwe labda kituoni pugu, Chalinze, kariakoo. Tofauti ya nauli ya basi na Hilo SGR ni aftatu dar Moro, Sasa sisi wa mpiji magohe ambao tumeshatengwa na Bashungwa na mbunge wake anaitwa kama sikosei mtemvu si Bora...