Shambulio la 9/11, mwaka 2001, maarufu kama September ,11 attacks.
Hili ndio shambulio la kigaidi liliouwa watu wengi kwa mara moja katika historia ya dunia ,watu 2,977 walikufa na zaidi ya 25,000 walijeruhiwa ikiwemo majereha madogo na ya muda mrefu kama ulemavu.
Shambulizi lilitokea ndani...