shambulio

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Mhusika wa tukio la Salenda kama sio Mwendawazimu basi sinema miongoni mwa sinema za Kichina

    Nadharia ya ugaidi nchini na duniani ina ukakasi mkubwa. 95% ya matukio ya Ugaidi yametengenezwa (false Flag terror). Kazi yao kuu ni Kuongopea umma Kujustify propaganda walizozisambaza. Na pia ni moja ya mbinu za kijasusi za kuwaondoa watu ktk focus (ajenda wanazozijadili kwa manufaa ya...
  2. Kafrican

    Shambulio la Kigaidi Ferry Likoni: Kenya yaponea chupu chupu

    Kenya imeponea shambulio lengine la kigaidi baada ya kikosi cha Anti-Terror ATPU kushika washukiwa wawili kabla ya kuingia kivukio vha Ferry pale likoni , Washukiwa hao wawili walikua ndani ya gari aina ya probox numbari ya usajili KCE 695U. Tukio hilo la kushika hao washukiwa lilikua la...
  3. Nyendo

    Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Geoge Simbachawene ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata watuhumiwa waliowashambulia wapenzi wakiwa kwenye faragha wakidai kuwa wamewafumania. Ametoa agizo hilo leo Agosti 6, 2021 jijini Dar es Salaama baada ya kuiona video iliyosambaa katika mitandao ya...
  4. M

    IGP kwenye suala la Lissu chutama, umatusononesha sana Watanzania kwa kumshambulia mhanga kwa maneno badala ya kutafuta wahalifu

    Ndugu IGP Sirro Nimesikiliza mahojiano yako uliyofanya na mwanahabari mmoja hapa nchini ,katika mahojiano yako umeonyesha bila chembe ya shaka kuwa hauna interest ya kufuatilia, kuchunguza na hatimaye kuwafikisha katika mkono wa sheria wahalifu waliotenda tendo baya na la kinyama kabisa la...
  5. Kamanda Asiyechoka

    Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

    Mwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata. Kupitia ukurasa wake wa Twita Lissu amedai kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli...
  6. MissM4C

    Mfungwa wa tukio la Ugaidi Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya, Rashid Mberesero adaiwa kujinyonga Gerezani Kamiti

    Wakuu mnamkumbuka bwana mdogo Rashid Charles Mberesero, Mpare, aliyekuwa moja wa masterminder wa shambulio la Garisa University na kuua 148, amejinyonga Gerezani leo Mapambano mema na kaburi na Je, Sheria inasemaje? Atarudishwa Upareni na Seriakli ya Kenya? --- One of the three people who...
Back
Top Bottom